Diamond afunguka "LIVE" Kuhusu kuachana na wema, BMW chanzo

Haha haaaa wewe nae tokea ufungue a/c insta umekua adimu kama nini...mwenzio nimepahama labda nirudi kwa hii habari njema

Niko busy tu wala sipo insta miee nikiingia hata kupika ntashindwa aiseeee umbeaa utakua umbea tuu
 
Yule mwanamke pale alipo hajitambui hata ukimuweka ndani hesabu kuugua presha.Mwanamke gani hana staha mbele za watu mjuaji yeye,mzuri yeye,mropokaji yeye,bingwa wa vigodoro,mama wa makiss aaargggghhhh!!!!

Vibabu yeye ni shidaa
 
Niko busy tu wala sipo insta miee nikiingia hata kupika ntashindwa aiseeee umbeaa utakua umbea tuu

Shoga acha tu mimi nilikua sina time na mume akirudi mimi na simu tu akiangalia ni insta....hahahaaa ikafutiliwa mbaliiiii sina hata mzuka nayo tena naogopa nisikamatwe
 
Tunaenda kushangaa na kujua si ajabu nchi ilishauzwa.Na pia tunaenda kuangalia habari za tezi dume

Hahaaa tezi dume ndio habari ya siasani na escrow sasa hivi...nitachangia nini mimi?
 
Shoga acha tu mimi nilikua sina time na mume akirudi mimi na simu tu akiangalia ni insta....hahahaaa ikafutiliwa mbaliiiii sina hata mzuka nayo tena naogopa nisikamatwe

Hhhhhhhaaa yaaan hizi simu ni ugonjwa aiseee zikipotea zirudi za tochi tu watu wataandamanajee
 
Uwiiiiiiiiiii jamaniii Heaven ataumiajee anaipenda hii couple mpaka basii
Mi nimefurah waachanee tuuu halaf wakirudiana safari hii warumi tuwaendee kwa mganga tuwarushie vipande haiwezekani watuaibisheeeeee mfyuuuu

Tujipongeze aiseeeh maana tulisimama upande wetu no matter what, hatimaye imekuwa, walioumia pole yao, waipende tu couple ya nuhu na shilole hiyo ingine wasahau tu sasa ivi
 
Last edited by a moderator:
Subiri tu itaijua...wewe usifungue mapema eeeh subiri hadi ule ban

Aaa kuna mtu alinikonyeza nishaikumbuka halaf niliipa makavu siku moja nilikua sijui kama ni wewee
 
Wala siwaamishi bali Mimi ndivyo ninavyo amini! Lakini muda huongea ...

Naomba niwe wa mwisho kuamini kuwa Diamond na Wema wameachana ...hii nayo ni project ...time will telll

It seems u love the couple, pole bro, ila hakuwa mwanamke mzur wa kutilia n diamond, ila ndo hvyo, ndomo alimpenda wema ila wema alipenda pesa zaidi, pole team wema popote mlipo
 
It seems u love the couple, pole bro, ila hakuwa mwanamke mzur wa kutilia n diamond, ila ndo hvyo, ndomo alimpenda wema ila wema alipenda pesa zaidi, pole team wema popote mlipo

Kiukweli hata mimi naona ndomo alimpenda wema kiukweli...lakini wema naona alirudi kulipa kisasi alishaumizwa sana na ndomo...huwezi kusema alifuata pesa maana kwa CK aliziacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…