Diamond afunguka "LIVE" Kuhusu kuachana na wema, BMW chanzo

Hahahaaaa nakumbuka enzi hizo ilikua hatariiii mimi nilikua nasoma tu hata kufungua id sijui...
Pia ligi ya hao uliowa mention ilikua hatareeer

Zamanii kama una moyo mdogo huingiii,ukikoment utashangaa unapatwa tusi hilooo ilikua shida sasa hivi mbona hamnaa hhhhhaaaaa unakoment kwa raha zako tu
 
sasa na vile vipande vya daidomo kwenye IN MY USHUZI ya mama ubaya, ataviondoa au? najiuliza tu

Aviondoe vya nini?nae anatumia fursa ya kumtumia ndomo kibiashara sio kila siku atumiwe yeye tu
 
Kuna fa...la huwa anaiba ID yangu kule kwa mange bwana. Nikimchamba mange anabana

Nilichukia shogaaa nikasema mrembo kashindwa kusoma tu mpaka ajiunge hukuuu kumbe limekuigilizaaa ndo ujue jf inakimbiza mbayaaaa dadeeekiii
Hua unamchamba kwa id ipi ??
 
kuachana jambo la kawaida diamond na wema kwa maskendo ni balaaa.....
 
Mchikini mundi umekwisha chacha ndo ukome uache upareeeee mwanamke matunzo babue
 
Nilichukia shogaaa nikasema mrembo kashindwa kusoma tu mpaka ajiunge hukuuu kumbe limekuigilizaaa ndo ujue jf inakimbiza mbayaaaa dadeeekiii
Hua unamchamba kwa id ipi ??
Muda Sana linatumia id yangu sijui majina yameisha. Naandika mrembo by nature jf
 
Wema na diamond wanacheza na akili zetu na sisi tumekubali kuchezewa..kweli kabisa hata hyo ndoa ya u.taifa naona itakuwa maigizo wakusanye hela zenu wasepe

Watakusanya za wengine mimi hawalambi kitu,bina nisimulie huyu kichenchede anaetumia id yako
Basi utashanga unakuta mtj kajiandika Dinazarde unadhan mimi kumbe sio mfungulie mashtak ye anashindwa kua mbunifu mfyuuuuuu
 
Shoga acha tu mimi nilikua sina time na mume akirudi mimi na simu tu akiangalia ni insta....hahahaaa ikafutiliwa mbaliiiii sina hata mzuka nayo tena naogopa nisikamatwe

ndo mana mi siko active sana mana ngosha akija simu naweka pembeni kabisa siku hata siku nzima siingii naogopa
 

AHAHahah aahaa ilikuwa shidaaa, maana kuna watu wanachamba nyie hapana, ila sisi tunavyopenda umbea tumekomaa tu mpaka leo, ila Matola kanichamba nyie ilikuwa nikiona jina lake najinyea kabisa aaaaaaaaah aaaah
 
Last edited by a moderator:
Bora wewe presha iliyokupanda mie natetemeka sijui nataka kuanguka kwa umbea......lol

Moyo apa wabaridi yan kuna donge limenikaa apa rohoni,yan umbea huu nitakufa siku si zangu
 
AHAHahah aahaa ilikuwa shidaaa, maana kuna watu wanachamba nyie hapana, ila sisi tunavyopenda umbea tumekomaa tu mpaka leo, ila Matola kanichamba nyie ilikuwa nikiona jina lake najinyea kabisa aaaaaaaaah aaaah

Lakini mpaka mkawa marafikii hhhhhhhhaaa,akikuta habari za dai anatukana hiviii bila kumtaja Daimond hili jukwaaa mnawashwaa eee
Alikuonea sanaa binam yangu halaf usiende kule unakochambana wanakutafutia ban na ukipigwa ban zinakujaga nyuz na maubuyu ya kutoshaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa nakumbuka enzi hizo ilikua hatariiii mimi nilikua nasoma tu hata kufungua id sijui...
Pia ligi ya hao uliowa mention ilikua hatareeer

Aaaaah aaaah ilikuwa shidaa, si masihara warumi vichambo tu nimevipata sana tena vya haja
 
ndo mana mi siko active sana mana ngosha akija simu naweka pembeni kabisa siku hata siku nzima siingii naogopa

Hhhhaaaaa,mi hua nikiulizwa unafanya ninii najibu haraka naangalia tv hhhhaaa wakati nimo jamiii hhhhhhhaaaaa yaan huwi comfontable kusema nimo jamii hhhhhaaaa
 
Yaan zamani tulichambwaa haswa wewe mi nilikua nakusaidiaa,nawe basi ukichambwa kidogo tu huyo utatoa tusi moja ,,yanakuwah kureport unalimwa ban hhhhhhhaaaqq

AAaaaaah khaaa, tumetoka mbali binamuu, nilichambwa kweli sio utani yan mpaka leo nipo nina roho ngumu
 

hahahahaaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…