Kabla ya mwaka hujaisha watupe tuzo aiseeh!!
Na wale mliokua mnasubiri nilale uchi kona baa tgo juu niwape pole......
Wabongo bwana ni watu hushinda JF 24 hours kila post wanaponda hasa za Wema na Diamond , za Sitti Binti Kasri kimyaaaaa cc.WARUMI :mmph:
watu ambao hawataki Majukwaa Mengine kama Siasa na Dini i!:confused3:
Watu ambao wanatumia Muda wa kazi kukaa mbele ya compyuta zao za Chongo na Kuponda weeee wakati sura zao kama vichogo vya Compyuta zao
Wema & Diamond miaka 800 acha Muvi iendelee Babu we ! :coffee:
naangalia tamthilia ya tv one ntakuja baadae
binamu warumi chokozo limeanza huku ila hata ka kompyuta ya chogo au ugoko ujumbe si unafikaa aah!si unafika lakini jamani?
Unapeeenda kuchonganisha mwenyewe ! muone :shetani:
Dinazarde, nifah, Honey Faith, geniveros kujen uku tucheze kiduku, yale maombi yetu ya siku nyingi yamejibu, hatimaye NDOA hakuna tena
Heaven Sent na Princess Sayuni sijui wako wapiii
Dinazarde, nifah, Honey Faith, geniveros kujen uku tucheze kiduku, yale maombi yetu ya siku nyingi yamejibu, hatimaye NDOA hakuna tena
Wakina mwafulan mliokuwa mkisubiria ndoa ya wema na ndomo uwanja wa taifa mtasubir sana mpaka mchanganyikiwe ***** zenu, kama mlikuwa mnapenda couple ya ndomo na mama ubaya ndo vile haipo tena, tengenezen couple yenu tuh na nyie
Hahahaa!loh!kumbe kalio mtepesho si la bure lile jameni!chezea mtandao pendwa wewee.