Diamond afunguka "LIVE" Kuhusu kuachana na wema, BMW chanzo

Diamond afunguka "LIVE" Kuhusu kuachana na wema, BMW chanzo

Yaan halaf warumi akanipm "binam mbona umejiqoute ukajichamba mwenyeweee aisee nilichekaaaa, ,,nae siku hajaqoute mchambo wake akajichambaa kidogo nizimiee kwa chekoo

Hahahahaha mbavu zangu mieeeee woiiiiiii
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaha mbavu zangu mieeeee woiiiiiii

Ungekuwwpo siku hiyo ungecheka mpaka ufeeee ungeonaa hua siisahauu
Halaf ni ile mkichambwa warumi anakuja pm kwako anakuambia mmmmhhh binam tunalichamba lakini lina roho ngumu linachamba hilooo hhhhhhhhgaaaaa
 
Na hapo ndo napompendea Diamond hutakiwi toa pesa hovyo hovyo kama Ck,

Hapo chacha mtoto ana akili sana yule utahongaje wakati ndo kwanza muvie inaanza,huyo wema anajifanya anajua sana pesa ahamie BOT amuache mondi wa bi sandra na kina zari, weraaaaà
 
Alikuwa ni mwanamke, halafu sijawahi kumuona humu jukwaan hata siku moja, so ikanipa hofu kidogo, sasa wewe nikuogopee nini?? Toka lini mchawi akamuogopa mchawi mwenzie? Ebu nipishe mie usiniletee mabalaa apa

Hhhhhhaaaaa id ngeni ni kweli ungeenda ingekua shidaaaaa
 
Hapo chacha mtoto ana akili sana yule utahongaje wakati ndo kwanza muvie inaanza,huyo wema anajifanya anajua sana pesa ahamie BOT amuache mondi wa bi sandra na kina zari, weraaaaà

Weraaaaaaaaaa ulikua wapiiii
 
Weraaaaaaaaaa ulikua wapiiii

Niliibiwa sim mwenzio sasa hiki kimeo majanga,mida ya mchana naona tu post ubusy nashindwa changia, siku mbili hizi nimekondaaa umbea naupata wapi mie sinta nae akanibania basi ikawa tashtit kilo tano nimepungua hakyanani ubuyu wa zenji muhimu kwa afya
 
Niliibiwa sim mwenzio sasa hiki kimeo majanga,mida ya mchana naona tu post ubusy nashindwa changia, siku mbili hizi nimekondaaa umbea naupata wapi mie sinta nae akanibania basi ikawa tashtit kilo tano nimepungua hakyanani ubuyu wa zenji muhimu kwa afya

Hhhhhhhhaaaaaa uwiiu halaf nimeona kwa sinta eti jf wanakupenda kinomaaa
 
Ungekuwwpo siku hiyo ungecheka mpaka ufeeee ungeonaa hua siisahauu
Halaf ni ile mkichambwa warumi anakuja pm kwako anakuambia mmmmhhh binam tunalichamba lakini lina roho ngumu linachamba hilooo hhhhhhhhgaaaaa

Hahahahahah nawapenda mpaka natetemeka u know Dinazarde warumi shikamooooo lv bag ya koku inawahuu
 
Last edited by a moderator:
Ungekuwwpo siku hiyo ungecheka mpaka ufeeee ungeonaa hua siisahauu
Halaf ni ile mkichambwa warumi anakuja pm kwako anakuambia mmmmhhh binam tunalichamba lakini lina roho ngumu linachamba hilooo hhhhhhhhgaaaaa

Ahahaah ahhahh aiseeh ni nomaa, maana inabid nije kwa Pm kupata mbinu mbadala ya kuwadhibit maadui, maana walikuwa wanakuja wengi uku unachambwa kule unachambwa, nakumbuka kuna mtu alikuwa ana comment kunitetea mimi nae si nikaanza kumchamba tena wakat alikuwa ananitetea, yan ilikuwa ni shidaaa
 
Niliibiwa sim mwenzio sasa hiki kimeo majanga,mida ya mchana naona tu post ubusy nashindwa changia, siku mbili hizi nimekondaaa umbea naupata wapi mie sinta nae akanibania basi ikawa tashtit kilo tano nimepungua hakyanani ubuyu wa zenji muhimu kwa afya

Ahahaa pole binamu kwa kuibiwa simu, karibu umbeani
 
Back
Top Bottom