Mkuu umenichekesha sana, najua ulitaka kumaanisha kuwa alichukia sana na kumwaga bidhaa zilizokuwepo humo sokoniAlitaka hadi kupigana
Kwa maudhui yaliyohitaji kanisa, hata msikiti ungefaa tu. Kwanza wahusika wote wawili Diamond na Zuchu ni waislam.Kwani wimbo wake umelenga msikitini?
Ndo akajaribu basi Msikitini aone. Unawajua waIslam wewe au unawasikia?Hapa mumemuonea tu, maana sijaona tatizo la hiyo scene kanisani, nadhani hata ingefanyika msikitini sitegemei waislamu wangejilipua kwa yale mabomu yao
1. Lissu na Lema wameendelea kulelewa na wazungu maana yake walisingizia kwamba wamekimbia sababu ya Magufuli.Unafungiaje wimbo wakati ushawekwa Youtube na umezamwa zaidi ya mara milioni 18?
BASATA wakitaka kufanya shughuli zao za usimamizi waweke sheria ya kwamba kama msanii ni Raia wa Tanzania na anataka kuendelea kuwa Raia wa Tanzania basi haruhusiwi kuachia kazi zake mahali popote pale duniani na kwenye mitandao bila ya kibali cha BASATA.