Diamond aisimamisha Qatar na kuweka heshima kwa Africa

Diamond aisimamisha Qatar na kuweka heshima kwa Africa

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Msanii namba moja Africa Diamond Platnumz au mashabiki wake wanapenda kumuita Simba mnyama mkali amekuwa trend namba moja nchini Qatar.

Diamond amefanikiwa kuwa trending namba moja kwenye waandaaji hao wa World Cup akiwa na wimbo wake Watasubiri alomshirikisha malkia wa muziki Africa ya Mashariki yani Zuchu wa Kopa.

Yani kwa kifupi mpka kizazi hiki tunakufa wote hatatokea msanii ataeweza kutrend namba moja Qatar au nchi yoyote nje ya East Africa zaidi ya Diamond lakini wale wenye roho za husda watasema inawezekana so kama inawezekana mwambie msanii wako nae atrend hata nusu saa tu nchi kama Qatar.

Jamani Simba kashindikana fanyeni tu ushabiki kuchangamsha muziki ila huyu jamaa sio binadamu wa kawaida. 😂😂😂

20220402_001029.jpg
 
Msanii namba moja Africa Diamond Platnumz au mashabiki wake wanapenda kumuita Simba mnyama mkali amekuwa trend namba moja nchini Qatar.

Diamond amefanikiwa kuwa trending namba moja kwenye waandaaji hao wa World Cup akiwa na wimbo wake Watasubiri alomshirikisha malkia wa
Flying high..! Usimuonee wivu aliyepewa kapewa..!
 
Quatar ina wakaz only 3 million , kule hata wasanii hamna na mambo ya intertainment yapo chini, Wana issue zao za mafuta, gas + international flight, umbea wa kushinda YouTube kama watz hawana

Hata viwanja vya WC mashindano yakiisha vitakuwa useless na wamepanga kuvibomoa au kugawia nchi zingine, na hata timu Yao wachezaji hamna, kuna wajuba wa West Africa wamezamia na kuomba uraia na wataitumikia timu ya Taifa kwenye michuano.

Kutrend quatar sio mchongo kivile kama unavyotaka kuaminisha
 
Quatar ina wakaz only 3 million , kule hata wasanii hamna na mambo ya intertainment yapo chini , Wana issue zao za mafuta, gas + international flight , umbea wa kushinda YouTube kama watz hawana ....

Hata viwanja vya WC mashindano yakiisha vitakuwa useless na wamepanga kuvibomoa au kugawia nchi zingine , na hata timu Yao wachezaji hamna , kuna wajuba wa West Africa wamezamia na kuomba uraia na wataitumikia timu ya Taifa kwenye michuano ...
Kutrend quatar sio mchongo kivile kama unavyotaka kuaminisha
Watavunja viwanja [emoji1787][emoji2]
 
Quatar ina wakaz only 3 million , kule hata wasanii hamna na mambo ya intertainment yapo chini , Wana issue zao za mafuta, gas + international flight , umbea wa kushinda YouTube kama watz hawana ....

Hata viwanja vya WC mashindano yakiisha vitakuwa useless na wamepanga kuvibomoa au kugawia nchi zingine , na hata timu Yao wachezaji hamna , kuna wajuba wa West Africa wamezamia na kuomba uraia na wataitumikia timu ya Taifa kwenye michuano ...
Kutrend quatar sio mchongo kivile kama unavyotaka kuaminisha
Wanavigawaje hivyo viwanja tukamshauri hengaya
 
Quatar ina wakaz only 3 million , kule hata wasanii hamna na mambo ya intertainment yapo chini , Wana issue zao za mafuta, gas + international flight , umbea wa kushinda YouTube kama watz hawana ....

Hata viwanja vya WC mashindano yakiisha vitakuwa useless na wamepanga kuvibomoa au kugawia nchi zingine , na hata timu Yao wachezaji hamna , kuna wajuba wa West Africa wamezamia na kuomba uraia na wataitumikia timu ya Taifa kwenye michuano ...
Kutrend quatar sio mchongo kivile kama unavyotaka kuaminisha
Maelezo yako yamejaa maumivu makali, chuki, roho mbaya ya kimaskini na ukosefu wa matumaini ya kutoboa kwenye maisha.

Tulia hivyo hivyo maana maumivu yanakuja zaidi tena by surprise.
 
Yaan makerubi wa domokaya wanavyo haha na domo wao, hadi wanachizika uwiiiiiih. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Ukute ring tone yako ni ngoma za zuchu na playlist yako 2/3 ni wasafi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ni wivu tu
 
Back
Top Bottom