Diamond aisimamisha Qatar na kuweka heshima kwa Africa

Diamond aisimamisha Qatar na kuweka heshima kwa Africa

Wacha awe Domo,ila ana pesa!
Akitoka nje,huyo ni wetu sote ushabiki na uchawa wa kiba na mond,tuuache pale terminal 3.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] limekupata hili kerubi wee, poleeeeeh.
 
Ukute ring tone yako ni ngoma za zuchu na playlist yako 2/3 ni wasafi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ni wivu tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie huyu niweke ngoma za zuchu? Sasa nyimbo gan yake ya kuweka mie?

Hahahah makerubi kazi mnayoooo, woiiiiiiiiiiih
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie huyu niweke ngoma za zuchu? Sasa nyimbo gan yake ya kuweka mie?

Hahahah makerubi kazi mnayoooo, woiiiiiiiiiiih
Sukari[emoji6][emoji6] au hii nyingine inayibamba mi siijui jina naamini unayo na unajua mashairi mwanzo mwisho

Nimegugo inaitwa "mwambieni"
 
Quatar ina wakaz only 3 million , kule hata wasanii hamna na mambo ya intertainment yapo chini , Wana issue zao za mafuta, gas + international flight , umbea wa kushinda YouTube kama watz hawana ....

Hata viwanja vya WC mashindano yakiisha vitakuwa useless na wamepanga kuvibomoa au kugawia nchi zingine , na hata timu Yao wachezaji hamna , kuna wajuba wa West Africa wamezamia na kuomba uraia na wataitumikia timu ya Taifa kwenye michuano ...
Kutrend quatar sio mchongo kivile kama unavyotaka kuaminisha
Yani baada ya mashindano wana mpango wa kugawia viwanja chi zingine😂🙌🏽!
 
Sukari[emoji6][emoji6] au hii nyingine inayibamba mi siijui jina naamini unayo na unajua mashairi mwanzo mwisho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeh sanaa siwezi weka nyimbo za zuchu ktk play list angu. hana ushawishi kwangu,

Khaaaaah wee lol.
 
Ukitendwa utaziweka hadi status [emoji23][emoji23][emoji23]
Mariooo yupo na atawajibika ktk hilo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
WCB wanitue kabisaa, hawana nafas kwangu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] limekupata hili kerubi wee, poleeeeeh.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui kwa nn ukienda tofauti na mawazo ya wengine unaishia kutukanwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui kwa nn ukienda tofauti na mawazo ya wengine unaishia kutukanwa
Mie nawaweza wote hawa makerubi wa domokayaa humu ndani, ko hawanisumbui hata kidogo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nitakuamisha JF ili ni onyo la mwisho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee umeanza kuvurugwa?

Poleeeeeh
Haya nihamishe sasa hapa JF, km wee kweli unaweza.

Hivi huyo unaejaribu kumtishia unamjua au unamsikia?

Nacheka km chizi woiiiiiiiiih. Khaaaaah
 
Back
Top Bottom