NOSWEAT
JF-Expert Member
- Aug 11, 2019
- 332
- 324
Watakapo aanza kugawa hivyo viwanja mwambie aje hatushtue tupate Japo kimojaWanavigawaje hivyo viwanja tukamshauri hengaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakapo aanza kugawa hivyo viwanja mwambie aje hatushtue tupate Japo kimojaWanavigawaje hivyo viwanja tukamshauri hengaya
Amtishe nan sasa? Sie yeye awaulize chawa wenzake balaa langu wanalijua. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha kutisha watu ewe ndorobo!
Hiyo mwambieni unaiskilizaga hadi ukaeza kuigoogle [emoji28]Sukari[emoji6][emoji6] au hii nyingine inayibamba mi siijui jina naamini unayo na unajua mashairi mwanzo mwisho
Nimegugo inaitwa "mwambieni"
Wanawake hawawi hiv dada kuna vitu vyakuchukia ila sio kama hiviAmtishe nan sasa? Sie yeye awaulize chawa wenzake balaa langu wanalijua. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kavurugwa huyu shost. Uwiiiiiih.
Sasa hilo anza na huyo chawa mwenzio, aliyekua ananitisha eti anasema atanihamisha JF, tena umueleze kwa upana kuhusu balaa langu, na aangalie wa kuwatisha, asiwe anakurupuka tyuuh.Wanawake hawawi hiv dada kuna vitu vyakuchukia ila sio kama hivi
Yaani viwanja walivyotengeneza kwa pesa wakaajiri mafundi ,ma contractor ,ma engineer baada ya kombe la dunia vitavunjwa ?Ndyoooooh mbna iko wazi kabisa.
Ndyooooh mbna taarifa ilishatolewa mbna. Iko wazi.Yaani viwanja walivyotengeneza kwa pesa wakaajiri mafundi ,ma contractor ,ma engineer baada ya kombe la dunia vitavunjwa ?
Leta verified source hapa chiniNdyooooh mbna taarifa ilishatolewa mbna. Iko wazi.
Ndio maana yake Mkuu,kuna viwanja vimejengwa ili kazi ikiisha vifunguliwe,Qatar ni nchi ndogo ila ni nchi tajiri sana.Yaani viwanja walivyotengeneza kwa pesa wakaajiri mafundi ,ma contractor ,ma engineer baada ya kombe la dunia vitavunjwa ?
Aisee kweli qatar ni balaa Mkuu sources ya habari ni wapi nami nikajisomee au nioneNdio maana yake Mkuu,kuna viwanja vimejengwa ili kazi ikiisha vifunguliwe,Qatar ni nchi ndogo ila ni nchi tajiri sana.
Nimeandika zuchu latest song acha dharau[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]Hiyo mwambieni unaiskilizaga hadi ukaeza kuigoogle [emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wee mtu khaaah, bas bhana.Leta verified source hapa chini
Tofauti na hapo ushabiki maandazi utakufanya uone huna akili
[emoji23]We ndorobo , kipi kisichowezekana mbele ya pesa, au unadhani Qatar ni manzese ..hamuangalii habari hamfuatilii habari, mnafuatilia mandorobo wenzenu akina diamond na zuchi wamefanya nini leo.
Nini sasa maana vijana wa siku hizi tunalishana matangopori [emoji3] kama kwenye vijiwe vya kahawa siku unaropoka mbele za watu na watu wanakuuliza ulisikia wapi hapo unaanza kujing'ata ng'ata[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wee mtu khaaah, bas bhana.
Sijakataa mwanangu kinabo [emoji3]. Kama qatar pesa hamnaWe ndorobo , kipi kisichowezekana mbele ya pesa, au unadhani Qatar ni manzese ..hamuangalii habari hamfuatilii habari, mnafuatilia mandorobo wenzenu akina diamond na zuchi wamefanya nini leo.
Pia wamesema baada ya kombe la dunia watagawa baadhi ya viwanja kwa nchi zingine😂😂Sasa hapa ndio naanza kuamini mashabiki wa muziki hasa kiba na Diamondi wote ni maandazi tu [emoji23][emoji1787][emoji38]
Huyu mwengine anashabikia Diamondi ku trend qatar ka kijinchi kidogo wakati Davido amekuwa included ktk watarishaji mziki kwenye hilo kombe la dunia
Huku wa kina kiba fans wanasema qatar wanavunja viwanja walivyojenga kwa ajili ya kombe la dunia nawaambia walete sources holaaa
Sasa kweli nakosea kuwaita maandazi
Eti cocastic ?[emoji3]