Diamond aitwa TRA kuhojiwa

Diamond aitwa TRA kuhojiwa

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
IMG_20170223_110103.JPG


Ofisi za serikali zimeendelea kumuandama diamond platnumz Taarifa iliyoanza kutoka Feb 22 na kusambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ni pamoja na hii ya Diamond Platnumz kuitwa Makao Makuu ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa ajili ya mahojiano mafupi. Kupitia post yake aliyoipost instagram Diamond Platnumz ameandika.

>>Mapema leo nilipo ripoti makao makuu ya TRA baada ya kuitwa ili kuelezea ni namna gani nayapata mapato yangu na namna gani nalipa kodi ya serikali’. Hii itakua ni mara ya pili kwa Diamond Platnumz kuitwa na mamlaka hiyo,mara ya kwanza ilikua mwaka mmoja uliopita ambapo Mamlaka hiyo ya Mapato ilimkadiria kodi ambayo Diamond alitakiwa kulipa na kwa bahati nzuri Diamond Platnumz aliilipa hiyo pesa.
 
Nahisi wanamtumia kama urimbo (kibiashara/hamasa) ili wananchi wa kawaida nao wahamasike kulipa kodi...maana wasanii wapo wengi sana but why only diamond?

Kuhusu kupiga picha na huyo kiumbe nazani ni ndoto ya wengi, so ni ufagio kdg kuuza nae, maana hata afande nani cjui yule alisema ni bahati pia kupiga picha na mwanamuziki maarufu afrika na duniani kama diamond.
 
Ofisi za serikali zimeendelea kumuandama diamond platnumz
Taarifa iliyoanza kutoka Feb 22 na
kusambaa kwa kasi kwenye mitandao
ya kijamii ni pamoja na hii ya Diamond
Platnumz kuitwa Makao Makuu ya
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
kwa ajili ya mahojiano mafupi.
Kupitia post yake aliyoipost instagram
Diamond Platnumz ameandika
>>’Mapema leo nilipo ripoti makao
makuu ya TRA baada ya kuitwa ili
kuelezea ni namna gani nayapata
mapato yangu na namna gani nalipa
kodi ya serikali’.
Hii itakua ni mara ya pili kwa Diamond
Platnumz kuitwa na mamlaka
hiyo,mara ya kwanza ilikua mwaka
mmoja uliopita ambapo Mamlaka hiyo
ya Mapato ilimkadiria kodi ambayo
Diamond alitakiwa kulipa na kwa bahati
nzuri Diamond Platnumz aliilipa hiyo
pesa.
View attachment 473630
the real definition of success,komaa kijana
 
Back
Top Bottom