Decree Holder
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 2,559
- 3,745
- Thread starter
-
- #21
Una tatizo kubwa kwenye argumentation skills zako. Unawezaje kucriticise bila kuonesha mbadala? Nikisema haujielewi utasema nimekutukana?Kichwa cha habari kimekaa kihovyo hovyo.... jifunze kuandika, otherwise waache wafanye wasanii wapate pesa na wafanyabiashara na wananchi waburudike
Kwani WCB ndio wa kwanza kuandaa matamasha mbona EFM wanaandaa,akina majizo kipindi cha kwafujo DJ walikuwa na matamasha yao ina maana nao walikuwa wanashindana na CMG.Wewe ndio juha Refer kichwa cha habari chako.Ila leo WCB wanaandaa tamasha lao unaona wanataka kushindana na CMG,acha mentality za kijinga.Kila kitu nimeeleza kwenye content huo ni ushindani wa kibiashara. Kuja na hilo tamasha ni katika kuboresha huo ushindani. Kwa kuwa wewe ni team Mondi unataka kuuhadaa umma kuwa Mondi hashindani huu ni ujuha. Huwa nashangaa sana napoona msanii anasema hashindani na mtu. Nimewahi kuwasikia wasanii mbalimbali wakisema hawashindani na mtu wakati in real sense wanafanya mziki biashara, biashara ni ushindani. Wabongo badilisheni mentality zenu.
Wafanyabiashara wote ni washindani wanashindana, kwani haujui kuwa EFM wanashindana na cloudsfm,radio one, east Africa radio? Kwa hiyo unataka niseme Wasafi media wao hawashindani? Yaani waingie kwenye soko la ushindani si kwa ajili ya kushindana? Acheni ***** nyie hayo mateam yenu yasiwafanye mjitoe ufahamu kwamba hamjui biashara ni kushindana? Fair Competition Act ilitungwa kwa ajili hiyo hata Mondi mwenyewe anajua anashindana, na anajua kuna watu wanashindana naye!Kwani WCB ndio wa kwanza kuandaa matamasha mbona EFM wanaandaa,akina majizo kipindi cha kwafujo DJ walikuwa na matamasha yao ina maana nao walikuwa wanashindana na CMG.Wewe ndio **** Refer kichwa cha habari chako.Ila leo WCB wanaandaa tamasha lao unaona wanataka kushindana na CMG,acha mentality za kijinga.
Mjadala wangu haujajikita kwenye timu(Acha kubadilisha magoli),ila wewe mwenyewe na mitazamo yako ya kijinga,zamani kulikuwa na matamasha kibao tu (Kwafujo dj's walikuwa wanaandaa matamsha mengi tu),lkn sijasikia ujinga na upuuzi kama huu uliouweka hapa wewe(Refer kichwa cha habari yako ) .Ila leo WCB wanaanda tamasha lao unasema wanashindana na CMG,si upuuzi,kwa hiyo kila afanyapo WCB anashindana na CMG.Wafanyabiashara wote ni washindani wanashindana, kwani haujui kuwa EFM wanashindana na cloudsfm,radio one, east Africa radio? Kwa hiyo unataka niseme Wasafi media wao hawashindani? Yaani waingie kwenye soko la ushindani si kwa ajili ya kushindana? Acheni ***** nyie hayo mateam yenu yasiwafanye mjitoe ufahamu kwamba hamjui biashara ni kushindana? Fair Competition Act ilitungwa kwa ajili hiyo hata Mondi mwenyewe anajua anashindana, na anajua kuna watu wanashindana naye!
Kwa hiyo boss unataka kusema WCB haipo kwenye soko la ushindani nchini?Mjadala wangu haujajikita kwenye timu(Acha kubadilisha magoli),ila wewe mwenyewe na mitazamo yako ya kijinga,zamani kulikuwa na matamasha kibao tu (Kwafujo dj's walikuwa wanaandaa matamsha mengi tu),lkn sijasikia ujinga na upuuzi kama huu uliouweka hapa wewe(Refer kichwa cha habari yako ) .Ila leo WCB wanaanda tamasha lao unasema wanashindana na CMG,si upuuzi,kwa hiyo kila afanyapo WCB anashindana na CMG.
Wapo lkn si kwa kila wakifanyapo ufanye comparison na CMG. Kwafujo Djs akina Majizo walikuwa wanaandaa matamasha lkn sijasikia kuwa wanaandaa kwa nia ya kushindana na CMG. Tatizo jamaa kichwa chake cha habari alivyokiweka utazani CMG peke yao ndiye mwenye mamlaka na kuandaa matamasha tz, mwengine akianzisha nongwa. Kwanza Kwafujo walikuwa wa kwanza kuandaa matamasha kabla ya hao CMG.Kwa hiyo boss unataka kusema WCB haipo kwenye soko la ushindani nchini?
Hujamuelewa tu. Comparison na clouds haiepukiki kwa sababu fiesta ndiyo tamasha linalofanya vizuri kwa sasa. Ingekuwa siyo sawa kama angelinganisha wasafi festival na kijitamasha cha ajabu.Wapo lkn si kwa kila wakifanyapo ufanye comparison na CMG. Kwafujo Djs akina Majizo walikuwa wanaandaa matamasha lkn sijasikia kuwa wanaandaa kwa nia ya kushindana na CMG. Tatizo jamaa kichwa chake cha habari alivyokiweka utazani CMG peke yao ndiye mwenye mamlaka na kuandaa matamasha tz, mwengine akianzisha anashindana naye. Kwanza Kwafujo walikuwa wa kwanza kuandaa matamasha kabla ya hao CMG.