Diamond aja na Wasafi Festival kushindana na Fiesta?

Diamond aja na Wasafi Festival kushindana na Fiesta?

clouds bwana ..wanafikiri wao ndo madon mjini kwamba wao ndo wanashikilia mafanikio ya mtu..wapuuz sana
 
Clouds media wamefanya kazi kuifikisha hapo ilipo!....biashara ya media siyo mchezo!
Hamna kitu kigumu chini ya jua, as long uwe na plan. Kabla ya cloudsfm kulikuwa na Radio one na radio free Africa. Kutoka na plan zao CMG kuwa nzuri , radio one ishappromoka sasa hivi cloudsfm. Hamna mtu aliyezaliwa kuwa namba moja ila juhudi zako, kujituma na mipango ndio humfanya mtu afanikiwe.
 
Inategemea wewe umeliangalia from what perspective!
Binafsi naona ni creativity, dogo kaona ana fan base kubwa.
Akaamua aje na idea ya kutumia fan base hiyo kuingiza kipato extra.
Hapo atapata wadhamini kibao na itasaidia wasanii wengine ambao hawapo WCB kujipatia maslahi mazuri.
Unlike kama ujira wanao pata wakienda kuperform kwenye matamasha ya Fiesta ambayo wasanii huambulia vilaki tatu tatu.
Diamond sio mbinafsi anajua kuhustle kwenye industry ni nini.
Nadhani undergrounds watapata platform pia kwenye matamasha hayo.
Sasa kama hiki sio creativity sijui ulitaka agundue darubini ya kumuona Mungu ndio ukubali!?!?

This is not Creativity buddy its something he should/should have done. you cannot call doing what you are supposed to do creativity? yaani mwanamuziki kuandaa matamasha ya muziki ni creativity? kweli?

Craetivity is more than that friend but it all depends with our thinking. it may be creativity to you but to me its not!!

The term creative might be subjective to some of us.
 
Wasafi Beach Party 2017 haikua kama walivyotarajia, matokeo hayakuwa makubwa
 
Wasafi Beach Party 2017 haikua kama walivyotarajia, matokeo hayakuwa makubwa
Ilikuwa zaidi ya walivyotarajia Jangwani ilikuwa nyomi na Iringa napo show ilifanyika uwanjani na watu walijaa ukibisha nenda YouTube kajionee. Yaani kitu kisiwe successful, alafu uandae tena, ukiona mpaka wanaandaa tena jua ilikuwa successful.
 
This is not Creativity buddy its something he should/should have done. you cannot call doing what you are supposed to do creativity? yaani mwanamuziki kuandaa matamasha ya muziki ni creativity? kweli?

Craetivity is more than that friend but it all depends with our thinking. it may be creativity to you but to me its not!!

The term creative might be subjective to some of us.
Well ni mtizamo wako na naheshimu sasa ni vizuri utuambie hiki anachotaka kufanya ni nini, kama sio creativity.And what term nilitakiwa nitumie?
 
Mkuu unachanganya mambo,nazungumzia Brand sizungumzii mtu,Mtu anapita tu,Mtu anapokeza vijiti kwa wengine lakini brand itaendelea kuwepo,Kusaga/Ruge/Seba/Simalenga hata wakiondoka kwenye management watakuja new bloods na kuendeleza brand ya fiesta,Brand ya Fiesta ndio nayozungumzia na si mtu anayeindesha fiesta.
Clouds TV na EATV yupi alianza?
 
Brz king kong FIESTA siku hizi haina mvuto na amsha amsha kama zile za zamani sijui vyuma vimewakaza
May be "irons are tightening" 😀😀😀😀😀 hahaa "they are fighting with their conditions" 😀😀😀😀😀.
 
Mkuu unachanganya mambo,nazungumzia Brand sizungumzii mtu,Mtu anapita tu,Mtu anapokeza vijiti kwa wengine lakini brand itaendelea kuwepo,Kusaga/Ruge/Seba/Simalenga hata wakiondoka kwenye management watakuja new bloods na kuendeleza brand ya fiesta,Brand ya Fiesta ndio nayozungumzia na si mtu anayeindesha fiesta.
Acha mahaba, hata WASAFI ni brand pia
 
SOMENI MICHAEL PORTER COMPETITIVE FORCES NDIO MTAMUELEWA VIZURI SIMBAAAA
 
Kama habari hii ni ya ukweli,Hakika Huyu dogo anaweza akawa ndiye mkombozi halisi wa wasanii,Mungu bariki kazi za Diamond platnumz,dogo ana juhudi na maono sana,bariki sana,muepushe na husda za wana wa Adam
 
Back
Top Bottom