Natokea Kanda Maalum
JF-Expert Member
- Dec 22, 2016
- 749
- 1,310
Kamanda mpinga ana hadhi ya kukaa kituoni kuandikisha waharifu?Sasa Kamanda Mpinga na madawa wapi na wapi???
Mbona vitu vidogo ivo hamtumii hata logic hapo...yani akili zenu wabongo sijui mnawaza nn.
Hahaha Mtoa mada kadandia treni kwa mbele au tuseme amekurupukaHajapotosha sema alikuwa hajui amedandia taarifa tu
Hapo kwenye red,sawa boy wetu mzuri tumekusoma.
Ni siku kadhaa tangu mwana Jf mwenzetu alipoleta habari kuhusu huyu
Mwanamziki nguli" Naseeb Abdul. Aka Diamond platnumz.. Kuendesha gari akiwa ameachia mikono huku akicheza"
Hatimaye leo serikali imedhihirisha, kweli ukifanya kosa lazima uadhibiwe
Haiangalii cha maarufu wala_ _ _
Mi wenu boy mzuri aksante
Huu ni ujinga tu.tukienda police kama mimi hapa majuzi nimekamatwa nimefunga mitaa ya kuwindia ndo nipige picha nirushe mtandaoni?yaani hii dunia jamani..!!!Baada ya fununu na malalamiko mengi hatimaye Diamond nae kaitwa kutoa maelezo polisi.
Hata hivyo,bado haijafahamika kaitwa kwa tuhuma gani.
Tetesi ni kwa kosa la kuendesha gari huku akicheza wimbo wa Marry you na kuachia usukani akiwa na familia yake kwenye gari,au tuhuma za madawa ya kulevya zinazomuandama.
Swali ni je,Diamond nae atalala kituo cha polisi na kufikishwa mahakamani kama wenzie?
My take; kama ni suala la madawa ya kulevya basi WCB wengi wana tuhuma za madawa ya kulevya.
Wakiwemo Dansa Mose Iyobo,Queen Darling na Shetta.
Haki itendeke na sio janjajanja za kuitwa polisi na kuachiwa ili kutufunga midomo tuliokuwa tunapiga kelele.
Nifah
=======
UPDATES;
=======
Si kweli kwamba Diamond aliitwa kuhojiwa sababu ya kujihusisha na Madawa ya Kulevya, Bali aliripoti Polis baada ya Video yake kusambaa ikimuonesha akivunja sheria za barabarani.
Haya ndio Maneno aliyoyaandika Diamond...
View attachment 470892
Leo nilireport kituo kikuu cha polisi wa usalama barabarani kutokana na Vidoe Clip tuliyopost naendesha gari barabarani bila kufunga mkanda na pia kuachia usukani na kucheza.... Nikapewa Onyo na Kulipa faini kulingana ya Mujibu wa sheria... Tafadhali watanzania na Vijana wenzangu...
Tuhakikishe tunafunga mikanda pindi tupandapo na tuendeshapo Magari Maana ni Hatari kwa Maisha yetu na inaweza kukupeleka kunyea debe pia..
Huoni kuwa na kamanda naye alikuwa amejiandaa kupiga picha.Huu ni ujinga tu.tukienda police kama mimi hapa majuzi nimekamatwa nimefunga mitaa ya kuwindia ndo nipige picha nirushe mtandaoni?yaani hii dunia jamani..!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa hiyo kuanzia sasa hivi baada ya kulipa faini tunatwanga photoMhalifu anaenda kupiga picha na polisi. Si amethibitika kuwa ni mkosaji na amepigwa faini. Kwa hiyo baada ya hapo ni muda wa picha.
Daah ngoja na mm siku nakamatwa baada ya kupigwa faini ntamuomba trafiki nipige nae picha.. sijui ataniongezea faini
Jamaa amekujibu hapo chiniMhalifu anaenda kupiga picha na polisi. Si amethibitika kuwa ni mkosaji na amepigwa faini. Kwa hiyo baada ya hapo ni muda wa picha.
Daah ngoja na mm siku nakamatwa baada ya kupigwa faini ntamuomba trafiki nipige nae picha.. sijui ataniongezea faini
Huoni kuwa na kamanda naye alikuwa amejiandaa kupiga picha.
kwa namna flani ni sawa maana akiorusha diamond ni kama kampeni flani inawafikia vijana wengi na kuwakumbusha kufunga mkanda kuliko mtu ambaye siyo mashuhuri hata akipiga picha akaweka watakaoona na kufuatilia wachache.
Nadhani kamanda mpinga pia kosa la diamond kalitumia kama kufikisha ujumbe kwa wengine kwa picha.
The problem ni kwamba, hata huyo police constable hawezi kupiga picha na wewe let alone kamishina!!!Huu ni ujinga tu.tukienda police kama mimi hapa majuzi nimekamatwa nimefunga mitaa ya kuwindia ndo nipige picha nirushe mtandaoni?yaani hii dunia jamani..!!!