Diamond ajisalimisha Polisi baada ya kuvunja sheria za Barabarani

Diamond ajisalimisha Polisi baada ya kuvunja sheria za Barabarani

Aisee nilikua na shughuli zangu central police nikakuta huyu kijana anachukuliwa maelezo sijajua ni maelezo gani ila pia si mgeni machoni mwangu japo jina lake nimelisahau.

edacc14d37966f2fb88b514c4ff74fa5.jpg
 
132786ba03fc8169c24020e47bc93fe8.jpg



Ni siku kadhaa tangu mwana Jf mwenzetu alipoleta habari kuhusu huyu
Mwanamziki nguli" Naseeb Abdul. Aka Diamond platnumz.. Kuendesha gari akiwa ameachia mikono huku akicheza"


Hatimaye leo serikali imedhihirisha, kweli ukifanya kosa lazima uadhibiwe
Haiangalii cha maarufu wala_ _ _

Mi wenu boy mzuri aksante
 
Tuwe makini sanaa na vitu tunavyopost mitandaoni awamu hii watu watanyoooka zaidi ya ruler
 
132786ba03fc8169c24020e47bc93fe8.jpg



Ni siku kadhaa tangu mwana Jf mwenzetu alipoleta habari kuhusu huyu
Mwanamziki nguli" Naseeb Abdul. Aka Diamond platnumz.. Kuendesha gari akiwa ameachia mikono huku akicheza"


Hatimaye leo serikali imedhihirisha, kweli ukifanya kosa lazima uadhibiwe
Haiangalii cha maarufu wala_ _ _

Mi wenu boy mzuri aksante
Hapo kwenye red,sawa boy wetu mzuri tumekusoma.
 
Baada ya fununu na malalamiko mengi hatimaye Diamond nae kaitwa kutoa maelezo polisi.

Hata hivyo,bado haijafahamika kaitwa kwa tuhuma gani.
Tetesi ni kwa kosa la kuendesha gari huku akicheza wimbo wa Marry you na kuachia usukani akiwa na familia yake kwenye gari,au tuhuma za madawa ya kulevya zinazomuandama.

Swali ni je,Diamond nae atalala kituo cha polisi na kufikishwa mahakamani kama wenzie?
73a079b65bbded700bae457eff8dd63e.jpg


My take; kama ni suala la madawa ya kulevya basi WCB wengi wana tuhuma za madawa ya kulevya.
Wakiwemo Dansa Mose Iyobo,Queen Darling na Shetta.

Haki itendeke na sio janjajanja za kuitwa polisi na kuachiwa ili kutufunga midomo tuliokuwa tunapiga kelele.

Nifah

=======

UPDATES;

=======

Si kweli kwamba Diamond aliitwa kuhojiwa sababu ya kujihusisha na Madawa ya Kulevya, Bali aliripoti Polis baada ya Video yake kusambaa ikimuonesha akivunja sheria za barabarani.

Haya ndio Maneno aliyoyaandika Diamond...

View attachment 470892
Leo nilireport kituo kikuu cha polisi wa usalama barabarani kutokana na Vidoe Clip tuliyopost naendesha gari barabarani bila kufunga mkanda na pia kuachia usukani na kucheza.... Nikapewa Onyo na Kulipa faini kulingana ya Mujibu wa sheria... Tafadhali watanzania na Vijana wenzangu...

Tuhakikishe tunafunga mikanda pindi tupandapo na tuendeshapo Magari Maana ni Hatari kwa Maisha yetu na inaweza kukupeleka kunyea debe pia..
Huu ni ujinga tu.tukienda police kama mimi hapa majuzi nimekamatwa nimefunga mitaa ya kuwindia ndo nipige picha nirushe mtandaoni?yaani hii dunia jamani..!!!
 
Huu ni ujinga tu.tukienda police kama mimi hapa majuzi nimekamatwa nimefunga mitaa ya kuwindia ndo nipige picha nirushe mtandaoni?yaani hii dunia jamani..!!!
Huoni kuwa na kamanda naye alikuwa amejiandaa kupiga picha.
kwa namna flani ni sawa maana akiorusha diamond ni kama kampeni flani inawafikia vijana wengi na kuwakumbusha kufunga mkanda kuliko mtu ambaye siyo mashuhuri hata akipiga picha akaweka watakaoona na kufuatilia wachache.
Nadhani kamanda mpinga pia kosa la diamond kalitumia kama kufikisha ujumbe kwa wengine kwa picha.
 
Mhalifu anaenda kupiga picha na polisi. Si amethibitika kuwa ni mkosaji na amepigwa faini. Kwa hiyo baada ya hapo ni muda wa picha.

Daah ngoja na mm siku nakamatwa baada ya kupigwa faini ntamuomba trafiki nipige nae picha.. sijui ataniongezea faini
 
Mhalifu anaenda kupiga picha na polisi. Si amethibitika kuwa ni mkosaji na amepigwa faini. Kwa hiyo baada ya hapo ni muda wa picha.

Daah ngoja na mm siku nakamatwa baada ya kupigwa faini ntamuomba trafiki nipige nae picha.. sijui ataniongezea faini
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa hiyo kuanzia sasa hivi baada ya kulipa faini tunatwanga photo
 
Mhalifu anaenda kupiga picha na polisi. Si amethibitika kuwa ni mkosaji na amepigwa faini. Kwa hiyo baada ya hapo ni muda wa picha.

Daah ngoja na mm siku nakamatwa baada ya kupigwa faini ntamuomba trafiki nipige nae picha.. sijui ataniongezea faini
Jamaa amekujibu hapo chini
Huoni kuwa na kamanda naye alikuwa amejiandaa kupiga picha.
kwa namna flani ni sawa maana akiorusha diamond ni kama kampeni flani inawafikia vijana wengi na kuwakumbusha kufunga mkanda kuliko mtu ambaye siyo mashuhuri hata akipiga picha akaweka watakaoona na kufuatilia wachache.
Nadhani kamanda mpinga pia kosa la diamond kalitumia kama kufikisha ujumbe kwa wengine kwa picha.
 
Huu ni ujinga tu.tukienda police kama mimi hapa majuzi nimekamatwa nimefunga mitaa ya kuwindia ndo nipige picha nirushe mtandaoni?yaani hii dunia jamani..!!!
The problem ni kwamba, hata huyo police constable hawezi kupiga picha na wewe let alone kamishina!!!

Na ukipiga wakati upo ndani lazima ule kibano... kwahiyo usiongee mambo ambayo huwezi kuyafanya hata kama ungetaka kufanya hivyo!!!
 
Back
Top Bottom