Diamond akiri kumpenda Omotola wa Nigeria

Diamond akiri kumpenda Omotola wa Nigeria

Yaani kama kweli diamond kasema hivo basi kiki zake za kimaku maku! Hivi OMO SEX huyu alivyo matawi zamaradi kajitiaga kumuuliza kama anamjua KANUMBA akasema hajawahi hata msikia! Anaweza kuwa analiwa sana tu lakini hakika sio kwa level za diamond, yaani yeye kumpata ZARI bac anaona anaeza pata demu yeyote! Yeye asubiri akwanguliwe vijisenti vyake then ndukii arudi tena kwa MUHESHIMIWA buana.

Kwanza kabisa diamond sio mtoto kiasi hicho kuongea upuuzi huo, amefanyiwa interview na media zaidi ya 10, je wanayoiongelea ni ipi???

Hata hivyo, never underestimate the power of love & attraction, unaona kama omotola yupo juu kila mtu ana nyota yake, afu diamond anakubalika kinoma nadhani ndio msanii wa kimataifa mwenye nidhamu zaidi ukiwataja 3
 
Mmmh baba ubaya na wewe umezidi, tutaanza kukuita baba nisipitwe maana usione uchi unautaka mxiuuu, bahati mbaya mastaa wa nigeria wanajielewa na huyo omotola kaolewa na billionea sasa sijui utamdanganya na nini, au utampa murrano kimeo kama ya mama ubaya??
Strategy za kibiashara hizo, japo historia inamuhukumu mdau.
 
​Safi kijana kwa kujua kucheza na akili za watu

Kama global wanacheza na akili za watu kwanini diamond asicheze nazo? Kuna watu washaamini hivyo? Zamani nilikuwa nawashangaa sana ma star wa mbele kitu kidogo tu mtu ataongelewaaa, kwa sasa naelewa kwanini, Publicity is publicity.
 
Yaani kama kweli diamond kasema hivo basi kiki zake za kimaku maku! Hivi OMO SEX huyu alivyo matawi zamaradi kajitiaga kumuuliza kama anamjua KANUMBA akasema hajawahi hata msikia! Anaweza kuwa analiwa sana tu lakini hakika sio kwa level za diamond, yaani yeye kumpata ZARI bac anaona anaeza pata demu yeyote! Yeye asubiri akwanguliwe vijisenti vyake then ndukii arudi tena kwa MUHESHIMIWA buana.

Povuuuuu teh teh!
 
Kwanza kabisa diamond sio mtoto kiasi hicho kuongea upuuzi huo, amefanyiwa interview na media zaidi ya 10, je wanayoiongelea ni ipi???

Hata hivyo, never underestimate the power of love & attraction, unaona kama omotola yupo juu kila mtu ana nyota yake, afu diamond anakubalika kinoma nadhani ndio msanii wa kimataifa mwenye nidhamu zaidi ukiwataja 3

Narudia tena OMO SEX hawezi share shuka na tandale type!
 
Niandikeni na mimi, namkubali kitambo, watoto 4 cjui lkn anaonekana mbichiii, anakula nini huyu mrembo
 
We dada unahasira sana na DIAMOND vipi aliahidi kukuoa halafu kakumwaga nini maana umekosa hata hoja ya kujibu

Umejuaje kama na hasira?..hoja ipi hiyo unayoizungumzia labda.
 
Back
Top Bottom