balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Iondoe wewe na kiperepere chakohizo avatar mnazoweka mnawaaibisha wahusika wa hizo picha.
Yaani unakuta mtu kapost kitu
ukiangalia avatar na kitu alichoPost hata haviendani..
nakushauri umuondoe huyo mtu
hapo humtendei haki.. siamini kama angeona picha inatumiwa na mtu kama kama angekuangalia tu!
Kweli Kabisa AFCON haijawahi toa timu ikacheza walau nusu fainali ya kombe la dunia achilia fainali na kuchukua kombe.CAF limejaa rushwa ya akina Hayattou na kupendelea timu za waarabu.Bora aliyeimba na R Kelly,ana nafuu.Kiba ni mkubwa kuliko hizo tuzo za AFCON!
Naskia wameahirisha,walikosea kumtangaza diamond,sasa hivi Show kapewa Kiba....Shirikisho la soka barani africa CAF limemchagua diamond platnumz na kumlipa mamilioni kutumbuiza kwenye sherehe za uzinduzi wa michuano ya mataifa africa yatakayofanyika nchini Gabon maarufu kama Afcon2017
Michuano hiyo itafanyika mapema mwakani 2017
Uganda ndo taifa pekee ya africa mashariki lililofanikiwa kufuzu
Akiongea kwenye kipindi cha Times Fm manager wa diamond sallam ameongeza kuwa diamond tayari ana booking mpaka julai 2017. Kama unamtaka inabidi usubiri hadi julai
watu wa Gabon hawajui Lupela[emoji23][emoji23][emoji23]Naskia wameahirisha,walikosea kumtangaza diamond,sasa hivi Show kapewa Kiba....
Kwani waliomwita wamempa show baada ya kusikia anachoimba au wamemwita ili wakaanze kuangalia kama ana cha kuimba!??•JE AMEFANIKIWA KUTUNGA WIMBO UTAKAOENDANA NA SHUGULI HIYO KAMA KWINGINEKO AU ATATUIMBIA MADUDU YAKE
Ila ni Jambo zuri hata kuitwaKwani waliomwita wamempa show baada ya kusikia anachoimba au wamemwita ili wakaanze kuangalia kama ana cha kuimba!??
kutokuwa kwake na kitu ndo kumemfikisha kwnye hayo mafanikio aliyonayo, hao unaowaona wewe wana kitu wana show ngapi kwa mwaka? nini mwaka hata kwa mwezi tu, wanapata show ngapi?Iv diamond ukiwaweka ay, mwana fa nani mkali uyo domo sioni kitu kumpamba tu
kama wewe unavyoropoka hapa na kuzalilisha wanaume wenzio woteAtaenda ametanguliza domo lake mbele kutudhalilisha kwa kuropokwa mambo ya uzinzi hadharani.
Ni mambo ya ajabu kwa kweli umefanya vyema kuwaambiaAcheni mambo ya kijinga hayo!