Jamaa ni empty headed
kwa mastaa wa bongo ni kawaida.wapo wengine wanavua nguo hadharani
Tatizo Amekulia Tandale Na Mbaya Zaidi Amekimbia Umande Na Ndomana Hajitambui.Kutokana Na Umburula Alionao Ndomana Anaiga Hata Mambo Kishenzi Ambayo Hayafai Katika Jamii.Matusi Kama Haya Hayakubaliki Katika Jamii Ya Kitanzania.Ukiwa Kama Kioo Cha Jamii Unatakiwa Uwe Na Dhima Ya Kua Mfano Bora.Kwa Umburula Alionao Anataka Kujifananisha Wanageria Wakati Yeye Ni Mtanzania.
Siwezi Kua Fan Mtiifu Wa Mburula Kama Huyu!
shule za sekondari zimeshafunguliwa dogo.ebu rudi shule sasa!
Mkuu naninkakwambia DIAMOND ANAHITAJI MAMBURURA KAMA WW MUMPE GUNDU AWE MLINZI WA WANYAMA PORI KWA KUJITOLEA KAMA KIBAKULI????
WASAAAAAAFI HATUNA SHIDA HIZO TUNAVUNJA TU VIZA
HIYO ZAWADI YAKO KUTOKA KWA PRESIDENT
Dada yangu mbona unajishushia heshima yako kwa kutetea vitu vya kipuuzi kama hivi....hata kama kuna watu hawampendi na wanamuombea mabaya mbona hiyo ni kawaida hapa duniani.....kwanini asitumie chuki zao kama changamoto za kawaida za kimaisha...
ndio maana hata kura sikupiga, niliadhimia hivyo tangu alipoonesha unafiki kwenye KTMA, ..
saiz kawa nominated tena category sita na 1 ya collabo ila kwq ujinga wake sitathubutu kumpigia kura, bora niache tu maana mtu anabebwa lakini habebeki
Msanii anatokea kwenye jamii hilo ni la kwanza, ukimuona anabehave kama anavyobehave ujue ndivyo jamii yake ilivyo. Hii ndiyo maana halisi ya neno msanii ni kioo cha jamii (Reflection).
Wasanii wetu ni malaya, wana matusi na tabia kibao mbaya just like wanajamii wengine walivyo , wala msitake kumbebesha msanii umalaika kwamba ye anapaswa kufanya mazuri tu! Wala wasanii kuwa inspiration kwa young generation haiwapi wao mzigo wa kuwafundishia watoto wenu maadili mema.
Kwahiyo tujitahidi kila mmoja wetu alee mtoto wake katika maadili mema ili tutengeneze wanajamii wabaadae (wakiwemo wasanii) wenye maadili mema.
Diamond ajafika umaarufu wa Lucas aka mr nice lkn Leo hii you wapi? Juma nature, ay, fa, jaydee, pr j, na ze like
Ebu thibitisha kwa facts n evidence kuwa diamond bado hajafikia umaarufu wa mr. Nice...au ndo bado ubongo wako ni wa miaka ya 70 wakati unaishi miaka ya 2000 sasa!
OK mm ni miaka ya 70 koz ww ni wa 2010's ndo maana hujui kutofautisha ukweli wa mambo
Tatizo Ulilonalo Unadhani Jf Ni Mahali Pa Kuleta Ubishi Wa Kitoto Dogo.Inaonekana Balehe Yako Ya Kwanza Imekujia Vibaya.Ila Ukirudi Shule Msalimie Ticha Wako Wa Nidhamu.
Hii ni ishara dhahiri juu ya tusi kubwa si kwa wanaompinga tu hata kwa wale waliomfanikishia kuchukua tuzo hiyo,
umeishiwa hoja unakimbilia sekondari????
Mtanyooka tu!!!
Na baaado!!!!
Tatizo Amekulia Tandale Na Mbaya Zaidi Amekimbia Umande Na Ndomana Hajitambui.Kutokana Na Umburula Alionao Ndomana Anaiga Hata Mambo Kishenzi Ambayo Hayafai Katika Jamii.Matusi Kama Haya Hayakubaliki Katika Jamii Ya Kitanzania.Ukiwa Kama Kioo Cha Jamii Unatakiwa Uwe Na Dhima Ya Kua Mfano Bora.Kwa Umburula Alionao Anataka Kujifananisha Wanageria Wakati Yeye Ni Mtanzania.
Siwezi Kua Fan Mtiifu Wa Mburula Kama Huyu!
kwa haters wote hoyo ndio zawadi pekee hakuna namna nyingine tenaa
Usiwe hata sie hatukutaki. Halafu acha kumuiga Dogofgod Mwandiko wake
Ndio nini ulicho ni qoute?
Tatizo Amekulia Tandale Na Mbaya Zaidi Amekimbia Umande Na Ndomana Hajitambui.Kutokana Na Umburula Alionao Ndomana Anaiga Hata Mambo Kishenzi Ambayo Hayafai Katika Jamii.Matusi Kama Haya Hayakubaliki Katika Jamii Ya Kitanzania.Ukiwa Kama Kioo Cha Jamii Unatakiwa Uwe Na Dhima Ya Kua Mfano Bora.Kwa Umburula Alionao Anataka Kujifananisha Wanageria Wakati Yeye Ni Mtanzania.
Siwezi Kua Fan Mtiifu Wa Mburula Kama Huyu!