Diamond alewa sifa na kutukana hadharani

Mimi ni mshabiki wa diamond, lakini yeye kama icon ya taifa, hakutakiwa kufanya hivyo. Hata kama kuna haters, unawapuuza
 
Tunachoomba uongozi wa nchi ujao uwekeze nguvu nyingi kwenye kudhibiti hii biashara ya madawa ya Kulevya kwa kufanya hivyo nafikiri hawa tunaowaona eti leo hii ni mameneja wa wasanii wetu huku wakiwa wanajipatia fedha kwa kupitia kuharibu vijana wetu watatulia na kujikita kwenye shughuli halali na hawatakuwa na mambo ya kijinga kama haya.pia tusisahau inawezekana kabisa hawa wasanii wetu ndio mabegi ya kusafirisha hiyo mizigo yao.
 
Walivyoning'iniziwa dole la Davido, kimyaaaa, sijui liliwaenea, limefuata la Diamond, watu wanalia lia... sijui lina kucha!!
 

Hujaelewa nilichokiandika, unaongozwa na hisia tu hujahusisha judgement faculty yako.
 
Mi nlidhani diamond peke yake ndio anayepokewaga hivi kumbe wengi tu.
 
kibogo atakuwa anawatia dole nyie mlioshindwa kumpa sapoti.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…