makilo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 2,620
- 5,260
Moja ya wimbo wangu Bora wa wakati wote nikijumlisha
Inama
The one
Ukimwona.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo sisi roho mbaya sanaHarafu Kuna watu wanasema diamond Hana lolote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nataka kulewa, wimbo wa kwaito Ila hauchezeki maana dai alivyolalamika humo, kweli alishikwa pabaya [emoji16]
Ukimuona,1: ukimwona
2: nataka kulewa
Nyimbo zangu bora za muda wote kutoka kwa Diamond
Hy ngoma ni hatari sana, sasa mamaa inakuaje unamchukia mtu pengine ht haujawahi kumuona au kuishi nae.?Ukimuona,
Hapa sikupingi, japo Domo simpendi, ila hii ngoma alijua kuniteka.
Hadi leo ndo wimbo pekee wa domo ulio ktk playlist angu.
Hayo mengine tuyaache, tu deal na"ukimuona"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hy ngoma ni hatari sana, sasa mamaa inakuaje unamchukia mtu pengine ht haujawahi kumuona au kuishi nae.?
Mkuu unaonekana umetendwa sana[emoji23][emoji23]1: ukimwona
2: nataka kulewa
Nyimbo zangu bora za muda wote kutoka kwa Diamond
Kinachonisikisha hii nyimbo haina video 😭😭Hayo mengine tuyaache, tu deal na"ukimuona"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ww acha tuu boss, kila nnayempata baada ya muda kidogo ananipiga na kitu kizito kichwaniMkuu unaonekana umetendwa sana[emoji23][emoji23]
Tatizo mimi sijuiHakuna kama I miss you
Ukimuona...sjawahi kuufuta huu wimbo aiseeUkimuona,
Hapa sikupingi, japo Domo simpendi, ila hii ngoma alijua kuniteka.
Hadi leo ndo wimbo pekee wa domo ulio ktk playlist angu.
Ni hatareeee.Ukimuona...sjawahi kuufuta huu wimbo aisee
Me hizi lala salama1: ukimwona
2: nataka kulewa
Nyimbo zangu bora za muda wote kutoka kwa Diamond
Mwanzoni, Mond alikuwa mnyama kweli kweliMe hizi lala salama
Ukimwona
Kizai zai
Sanaa aiseeMwanzoni, Mond alikuwa mnyama kweli kweli