Acha kumlisha maneno kiduku lilo.yeye ajasema location ambayo kachukuliwaNimechukuliwa Video nikiwa kazini Pasipo Idhini yangu na kusambazwa kwenye Mitandao - JamiiForums
Wa kwanza huyu
Huyu wa pili
msamheni kaonyesha uhalisia wake..kazoea daladala za tandale hata ikiwainaondoka utaambiwa mwana panda tu..Ni ajabu na ajabu kweli.
Sheria za uwanja wa ndege wowote ni pamoja na kutofanya fujo na kudivert attention kwenye uwanja wa ndege.
Diamond jana amefanya fujo ikiwa ni pamona na kunirekodi video bila ruhusa ya mamlaka husika, kupiga kelele na kuhamisha utulivu.
Nchi masikini kama zetu haziendelei kwa sababu ya u-double standard wa watendaji wa serikali, Diamond alipaswa kua ndani kuanzia jana na leo alitakiwa apelekwe mahakamani.
Tuache kubembelezana na kuoneana aibu, kwa mtindo huu maendeleo tutaendelea kuyaona CNN na BBC.
Wewe kwanini uliuza ticket yake kwa Mzungu? Huoni kuwa hazikutoshi!? We ndo unatakiwa kufutwa kazi na kulala ndani kwa ufwala unaofanya kwenye ofisi ya umma!Ni ajabu na ajabu kweli.
Sheria za uwanja wa ndege wowote ni pamoja na kutofanya fujo na kudivert attention kwenye uwanja wa ndege.
Diamond jana amefanya fujo ikiwa ni pamona na kunirekodi video bila ruhusa ya mamlaka husika, kupiga kelele na kuhamisha utulivu.
Nchi masikini kama zetu haziendelei kwa sababu ya u-double standard wa watendaji wa serikali, Diamond alipaswa kua ndani kuanzia jana na leo alitakiwa apelekwe mahakamani.
Tuache kubembelezana na kuoneana aibu, kwa mtindo huu maendeleo tutaendelea kuyaona CNN na BBC.
Mtu kudai haki yake baada ya kuona hatendewi sawa ni kufanya fujo?Ni ajabu na ajabu kweli.
Sheria za uwanja wa ndege wowote ni pamoja na kutofanya fujo na kudivert attention kwenye uwanja wa ndege.
Diamond jana amefanya fujo ikiwa ni pamona na kunirekodi video bila ruhusa ya mamlaka husika, kupiga kelele na kuhamisha utulivu.
Nchi masikini kama zetu haziendelei kwa sababu ya u-double standard wa watendaji wa serikali, Diamond alipaswa kua ndani kuanzia jana na leo alitakiwa apelekwe mahakamani.
Tuache kubembelezana na kuoneana aibu, kwa mtindo huu maendeleo tutaendelea kuyaona CNN na BBC.
ahahaaa huyo anaechungulia kanywa valuuu nini..Kwaiyo bro unataka kusema wewe ndo uli recordiwa paleView attachment 970484
Hahahaa, wtf! Frequent flyer hujui taratibu za kawaida kabisa za usafiri wa ndege? My foot, eti frequent flyer!Just Stupid!! Don't try act like you know everybody.. Unanijua? FYI I am frequent flyer with two flagships!
Ficha upumbavu wako na sio werevu wako! pathetic
HahaaaaAcha kumlisha maneno kiduku lilo.yeye ajasema location ambayo kachukuliwa
kwanza kiduku yeye ni lecture
Rudi shule ujifunze kuandika, moron!Kwa iyoo mkuu wew ndio yule uliyekuwa unachukuliwa video na diamond??? au unaandika humu kutafuta kik....
Get a life my sister, mimi ni mume wa mtu, mke wangu akijua unataka nikufanye kimada atakuumiza dada, tafta mume uolewe achana na sisi waume za watu.What is this blaaa blaaaa... Some vague pathetic rants?? Amekupiga picha who are you?? What happened???
Rudia kusoma hizi hovyo hovyo zako uone umeamdika nini.Una muda gani hujaenda mafunzo ya Huduma kwa Mteja ? Sitarajii kupata majibu ya aina hii kutoka kwa mtu wa Aviation maana hiyo industry ni kama tourism. By the way, unapaswa kufukuzwa kazi, mtumishi wa umma uko pale kuhudumia watu wa aina tofauti tofuati sio kujihudumia wewe na kuja kujisifu kuwa umerekodiwa bila ridhaa yako, kwani hapo ulikuwa chmubani kwako ? Kama unaona hukutendewa haki, nenda mahakamani kutafuta haki yako.
Mbona kuna waliofika saa hiyo hiyo kina diamond wakiwa hapo,na officer pale akaulizwa hana jibu,we mbuzi kweliAcha ushamba.
Tiketi ya ndege hua haiuzwi kama tiketi ya daladala.
Muda wa kuchek in ukiisha wewe hujafika hua tiketi inauzwa maana haupo na ndege siti iko wazi na kuna mtu anaihitaji.
Achana na stori za kwenye vijiwe, panda ndege siku moja ujifunze.
Sasa huyo anayehitaji ukimuuzia atatumia muda gani Kama muda wa check in umeisha???Acha ushamba.
Tiketi ya ndege hua haiuzwi kama tiketi ya daladala.
Muda wa kuchek in ukiisha wewe hujafika hua tiketi inauzwa maana haupo na ndege siti iko wazi na kuna mtu anaihitaji.
Achana na stori za kwenye vijiwe, panda ndege siku moja ujifunze.
Wooo!!! some blabber mouth punk ass..... Why don't you put sugar on your tiny asshole and start fucking yourself .... Lmfao... Mke wa mtu.... my ass....Get a life my sister, mimi ni mume wa mtu, mke wangu akijua unataka nikufanye kimada atakuumiza dada, tafta mume uolewe achana na sisi waume za watu.
Tafta mume uolewe, achana na waume za wenzio.Wooo!!! some blabber mouth punk ass..... Why don't you put sugar on your tiny asshole and start fucking yourself .... Lmfao... Mke wa mtu.... my ass....
Dogo, ngoja nikusaidie.Sasa huyo anayehitaji ukimuuzia atatumia muda gani Kama muda wa check in umeisha???
Kaa kimya tu ndugu Kama hujui jambo.
Kuuza ticket ya mtu ni jambo lisilokubalika maana hata Kama kachelewa si kashalipia??? Utaratibu mbovu First Class huu.
Ni Kweli mimi naweza kua mbuzi ila maelezo au video ya mumeo diamond haielezi mambo mengi, inawezekana wale wakawa wasafiri au staff wa pale ywanja wa ndege, wao wanaingia na kutoka muda wowote.Mbona kuna waliofika saa hiyo hiyo kina diamond wakiwa hapo,na officer pale akaulizwa hana jibu,we mbuzi kweli