Diamond alipaswa kulala ndani na kushtakiwa kwa kufanya fujo uwanja wa ndege

Diamond alipaswa kulala ndani na kushtakiwa kwa kufanya fujo uwanja wa ndege

Dogo, ngoja nikusaidie.

Kuna mtu anaweza kua kachelewa kukata tiketi na mfumo wa kukata tiket sa safari husika ukawa umefungwa, hvyo hawezi kupata tiketi.

Jnaenda uwanja wa ndege, unachek in kama kawaida kama msafiri mwingine, ukaenda kwa wawakilishi wa kampuni ya ndege husika walioko ndani, unawaomba kama kuna msafiri hatatokea wakuuzie hiyo tiketi. Hvyo unakaa hapo ndani unasubiri muda wa kucheki in ukiisha wao wanaangalia nani hakuja siti iliyo wazi wanakuuzia.

Sio lazima ukate tiketi kabla, unaweza kwenda uwanja wa ndege kwa hizi safari za ndani, ukasubiri nani hatatokea ili uuziwe tiketi yake.

Nadhani umeelewa.
Unaingiaje airpot ndani bila ticket? Maana ili uingie airpot ndani unatakiwa uone she ticket na passport au kitambulisho kwa local flight
 
Huwezi kucheck in kama dirisha limeshafungwa,ukiangalia hiyo clip chibu yuko ndani inamaana amecheck in
Hahahaa, wtf! Frequent flyer hujui taratibu za kawaida kabisa za usafiri wa ndege? My foot, eti frequent flyer!

Acha ujuaji wa kishamba, kapamde ndege siku moja hata videnge vinavyoenda mafia au flight link bei kidogo ujifunze.

Ungekua frequent flyer usingeongea hizi hovyo hovyo ulizoandika hapa, labda kama ni frequent flyer wa ungo ila sio ndege.
 
Taarifa ya upande mmoja ya nini,video inaeleza yote,yule bibi aliyepita ni stuff?kauliza mbona wale wanapita hakujibu,wote wamekaa kimya,we utakuwa ndo huyo jamaa kwenye video umekuja kujitetea,kazi unalo komaa
Ni Kweli mimi naweza kua mbuzi ila maelezo au video ya mumeo diamond haielezi mambo mengi, inawezekana wale wakawa wasafiri au staff wa pale ywanja wa ndege, wao wanaingia na kutoka muda wowote.

Taarifa ya upamde mmoja toka kwa mume wako haiwezi kutupatia hitimisho sahihi. Pamoja na kua najua unampenda mume wako diamond, ila huo ndio ukweli. Nadhani sasa kampooze kwa kumpa k au ambaruti yako.

Ahsante.
 
Acha ushamba.

Tiketi ya ndege hua haiuzwi kama tiketi ya daladala.

Muda wa kuchek in ukiisha wewe hujafika hua tiketi inauzwa maana haupo na ndege siti iko wazi na kuna mtu anaihitaji.

Achana na stori za kwenye vijiwe, panda ndege siku moja ujifunze.
Heee heee agiza Pepsi naja kulipa
 
Ni ajabu na ajabu kweli.

Sheria za uwanja wa ndege wowote ni pamoja na kutofanya fujo na kudivert attention kwenye uwanja wa ndege.

Diamond jana amefanya fujo ikiwa ni pamona na kunirekodi video bila ruhusa ya mamlaka husika, kupiga kelele na kuhamisha utulivu.

Nchi masikini kama zetu haziendelei kwa sababu ya u-double standard wa watendaji wa serikali, Diamond alipaswa kua ndani kuanzia jana na leo alitakiwa apelekwe mahakamani.

Tuache kubembelezana na kuoneana aibu, kwa mtindo huu maendeleo tutaendelea kuyaona CNN na BBC.
We ndo wasiojulikana pale uwanja wa ndege?
Maana umesema kazi yako hairuhusu kurekodiwa ukiwa kazini!
 
Taarifa ya upande mmoja ya nini,video inaeleza yote,yule bibi aliyepita ni stuff?kauliza mbona wale wanapita hakujibu,wote wamekaa kimya,we utakuwa ndo huyo jamaa kwenye video umekuja kujitetea,kazi unalo komaa

Kwani huyo aliyepita unajuaje kama sio mteja wa precision air ambaye mda wa ku check in ulikuwa bado haujafungwa?au huko mwanza inatua atcl tuu?
 
Ni ajabu na ajabu kweli.

Sheria za uwanja wa ndege wowote ni pamoja na kutofanya fujo na kudivert attention kwenye uwanja wa ndege.

Diamond jana amefanya fujo ikiwa ni pamona na kunirekodi video bila ruhusa ya mamlaka husika, kupiga kelele na kuhamisha utulivu.

Nchi masikini kama zetu haziendelei kwa sababu ya u-double standard wa watendaji wa serikali, Diamond alipaswa kua ndani kuanzia jana na leo alitakiwa apelekwe mahakamani.

Tuache kubembelezana na kuoneana aibu, kwa mtindo huu maendeleo tutaendelea kuyaona CNN na BBC.

Kumbe ulikuwa wewe pole!
 
Taarifa ya upande mmoja ya nini,video inaeleza yote,yule bibi aliyepita ni stuff?kauliza mbona wale wanapita hakujibu,wote wamekaa kimya,we utakuwa ndo huyo jamaa kwenye video umekuja kujitetea,kazi unalo komaa
Sasa walikaa kimia ndio wewe uhitimishe kua hawakua staff?

Bado hyo video haitoi maelezo ambayo ni final and conclusive.
 
msamheni kaonyesha uhalisia wake..kazoea daladala za tandale hata ikiwainaondoka utaambiwa mwana panda tu..
Kijana Diamond amefanikiwa kifedha lakini bado hajakuwa cultured. Alipata bahati kubwa kuwa na Zari maana yule mama inawezekana ana matatizo yake lakini yuko cultured na ana class.
Nimejaribu kumfananisha na kijana mwenzake, wakigoma mwenzake Ali Kiba.
Tofauti zao ni sawa na tofauti ya usiku na mchana. Ukiangalia utofauti mwingine ni kwamba wakati mwenzake amelelewa na wazazi wote wawili kwenye maadili ya kiislam lakini yeye amelelewa mama yaketu ambaye kwenye ujana wake alikuwa hakosi kwenye majumba ya starehe.
Lakini akitaka anaweza kubadilika. Inachotakiwa atafute a role model ambaye atamsaidia kubadilika.
 
Ameharibu image ya shirika, hatakiwi kuachwa hivi hivi either aombe radhi
Asituletee kiki kwenye mambo serious yenye maslah ya taifa.
 
Huo upupu tu kaandika hapo
Tushamzoea ni mtu wa kutafuta kiki
"
  • Naomba nisisitize kuwa Siku ya jana tareh 16 | 12 Mimi Nasibu Abdul Juma Issaack, na nilokuwa Nasafiri nao Tokea Mwanza Sikuchelewa ndege Kabisa..Nilifika Muda Sawia kama Usafiri wa ndege za ndani unavyotaka, na kulidhihirisha hilo.. nikiwa niko pale kuna hata Abiria wengine waliingia nusu saa baadae, tena nikiwepo nimesimama palepale... na mmoja ya watu waloingia nikiwepo nimesimama ni @Harmonize_tz ... kilichotokea ni kuwa Mmoja ya watu wenye dhamana pale, siti zetu aliziuza kwa abilia wa fastjet...kwa Abiria watalii wazungu, na Walichokuwa hawajajua pia waliwauzia na baadhi ya Watu ambao ni wafanyakazi wetu wa Wasafi Media...Na Kuthibitisha tena kuwa hatukuchelewa, alikuja tena Mtu wa Air Tanzania na Kutuambia kuwa Siti zimebaki Mbili...Hivyo Tuchague watu wawili tu wasafiri.... kama kweli tulichelewa, sasa Hao wawili, sasa wangewezaje ingia??? tukasema hatuwezi safiri wawili lazima tuwe wote kama tulivyokata... hivyo ni dhahiri kuwa hatukuchelewa....ila kutokana na Ndege nyingi za kuja mwanza zilicancel Trip zao, ikiwepo Fastjet hivyo Tickets zikawa ni Dili sana na ndio yote kutokea....
    USHAURI tu kwa Ndugu zetu walopewa dhamana ya Kuliendesha shirika letu la Air Tanzania....tutambue kuwa Mh Rais, Pamoja na Serikali nzima kwa Ujumla imepambana Usiku na Mchana, imeamua kujinyima na kujitoa kwa hali na mali ili kuhakikisha Watanzania nasi tunakuwa na Ndege zetu, kwa kuamini kuwa Licha tu ya kuingiza kipato, lakini Uwepo wa Air Tanzania ni Heshima na fahari kwenye nchi Yetu....Hivyo tunaomba Mzisimamie Vizuri....na nikiwa kama Mtanzania Mzalendo Mwenye akili Timamu, siwezi tu kukurupuka kusema jambo kwani ni jukumu langu kuhakikisha nalilinda shirika hili, nalitangaza na kuwasifia wanapopatia lakini pia ni jukumu langu kuwaambia Mnapokosea ili mfanye marekebisho na AirTanzania kuwa shirika bora Duniani na kuipa sifa Nchi yetu... hivyo nikiwa kama Mtanzania mwenye uchungu siwezi kuona mtu alopewa dhamana ya Kuzisimamia ndege hizo anafanya vitu tofauti halaf eti nikakaa kimya...Ni sawa na Kumvunja moyo Mh Raisi na Serikali nzima kwa juhudi zake hizi... hivyo Mlopewa Dhamana tunaomba Muwe Makini, na kusimamia vyema ili tusitie doa kwenye ndege zetu
    ...
"
Kama hiki anachokiongea Diamond ni kweli kwa wenzetu ulaya hapa ukifungua kesi ya madai ya kumpotezea mda wake (time is money) mahakamani ,unakula hela ndefu na mimi naona ni kweli sababu AirTanzania wamesema saa saba wangelielezea hili jambo kwa undani zaidi lakini mpaka hivi sasa ni saa kumi bado wapo kimya.Hapo ndio utagundua mashirika mengi ya serikali yana matatizo upande wa customer care.
 
Huo upupu tu kaandika hapo
Tushamzoea ni mtu wa kutafuta kiki
Hivi mpaka hii nayo kwa akili zako ni kiki.Basi kama ndio hivyo hata ATC nao wanapenda kiki.Tatizo lenu baada ya kudiscuss tatizo unatataka tudiscuss mtu au ndio wale wa mateam.
 
Hivi ni nini tafasiri ya neno fujo ? Ile yaweza kutafsiriwa kama fujo ?
 
Just Stupid!! Don't try act like you know everybody.. Unanijua? FYI I am frequent flyer with two flagships!

Ficha upumbavu wako na sio werevu wako! pathetic
Kama kweli wewe ni frequent flyer na hujui kuwa ukichelewa ndege kama kuna abiria ambaye yuko kwenye waiting list basi yeye ndiyo anapewa hiyo nafasi basi hiyo sifa yako ya frequent flyer haina maana tena! Jitahidi ufuatilie mambo ili uwe frequent flyer wa maana!! Tena kwa wenzetu wa dunia ya kwanza ulete ujinga wakati umechelewa mwenyewe kama hujalala ndani na kesho yake mahakamani. Diamond anatakiwa ajifunze ustaarabu kama anataka kuheshimika sasa na baadae!
 
IMG_1471.JPG
IMG_1472.JPG
 
Acha ushamba.

Tiketi ya ndege hua haiuzwi kama tiketi ya daladala.

Muda wa kuchek in ukiisha wewe hujafika hua tiketi inauzwa maana haupo na ndege siti iko wazi na kuna mtu anaihitaji.

Achana na stori za kwenye vijiwe, panda ndege siku moja ujifunze.
Halafu huyo anayeuziwa ana-check in saa ngapi?[emoji15] [emoji15]
 
Back
Top Bottom