Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiandika haya unadhani ndiyo utaalikwa wewe?Mlioona clip ya juzi ikimuonyesha Diamond akiwa Rwanda na kukutana na Rais Kagame utaona Approach yake kwa kiongozi huyo ilivyokuwa na kasoro, jinsi Diamond alivyokuwa anamuongelesha Rais huyo ilikuwa kama vile anaongea na Babu Tale au mtu mwenye hadhi ya kawaida tu.
Pia alionekana mara nyingi yeye akimpa mkono Rais na hata kuutikisa. Itifaki inatuongoza kuwa kiongozi ndiye awe wa kwanza kutoa mkono wake, na ni kiongozi tu ndiye atakayetikisa mkono wako.
Simlaumu Diamond ila namshangaa Meneja wake kwa kuwa ninaamini Meneja anatakiwa kujua mambo mengi na sio mambo ya muziki tu. Meneja anatakiwa kuwa mdadisi na anatakiwa kumuandaa boss wake kulingana na nature ya tukio/occasion iliyopo mbeleni.
Tuangalie jinsi wasanii wengi wakubwa wanavyojiweka wanapokutana na viongozi wakubwa wa kitaifa. Mfano Jay-Z au Michael Jackson alipokaribishwa Uingereza na kukutana na King Charles na aliyekuwa Mkewe (Prince Diana). Kwa ukubwa na umaarufu wa Michael Jackson ulivyokuwa lakini alionyesha Approach nzuri sana kiitifaki.
Diamond kwa ukubwa na umaarufu alionao sasa ni dhahiri anahitaji Meneja msomi lakini mwenye exposure kubwa.
Duuh!Haya mambo ya itifaki hutegemea ntu na ntu...
Ni kama wewe unavyo mheshimu mama yako ila Baba yako anakua na access ya hata kumshika makalio.
mwenye hela ndio itifaki mwenyeweTafuta hela hakunaga itifaki kwa mwenye hela.
Nikusaidie mtoa post, Itifaki za Ikulu zinaongozwa na watu wa Ikulu husika na sio meneja wa mtu au mgeni mwenyewe. Kama Kuna mapungufu, walaumiwe watu wa Protocol za Ikulu ya Rwanda.Mlioona clip ya juzi ikimuonyesha Diamond akiwa Rwanda na kukutana na Rais Kagame utaona Approach yake kwa kiongozi huyo ilivyokuwa na kasoro, jinsi Diamond alivyokuwa anamuongelesha Rais huyo ilikuwa kama vile anaongea na Babu Tale au mtu mwenye hadhi ya kawaida tu.
Pia alionekana mara nyingi yeye akimpa mkono Rais na hata kuutikisa. Itifaki inatuongoza kuwa kiongozi ndiye awe wa kwanza kutoa mkono wake, na ni kiongozi tu ndiye atakayetikisa mkono wako.
Simlaumu Diamond ila namshangaa Meneja wake kwa kuwa ninaamini Meneja anatakiwa kujua mambo mengi na sio mambo ya muziki tu. Meneja anatakiwa kuwa mdadisi na anatakiwa kumuandaa boss wake kulingana na nature ya tukio/occasion iliyopo mbeleni.
Tuangalie jinsi wasanii wengi wakubwa wanavyojiweka wanapokutana na viongozi wakubwa wa kitaifa. Mfano Jay-Z au Michael Jackson alipokaribishwa Uingereza na kukutana na King Charles na aliyekuwa Mkewe (Prince Diana). Kwa ukubwa na umaarufu wa Michael Jackson ulivyokuwa lakini alionyesha Approach nzuri sana kiitifaki.
Diamond kwa ukubwa na umaarufu alionao sasa ni dhahiri anahitaji Meneja msomi lakini mwenye exposure kubwa.
Hacha kuongelea vitu usivyovijua,Mlioona clip ya juzi ikimuonyesha Diamond akiwa Rwanda na kukutana na Rais Kagame utaona Approach yake kwa kiongozi huyo ilivyokuwa na kasoro, jinsi Diamond alivyokuwa anamuongelesha Rais huyo ilikuwa kama vile anaongea na Babu Tale au mtu mwenye hadhi ya kawaida tu.
Pia alionekana mara nyingi yeye akimpa mkono Rais na hata kuutikisa. Itifaki inatuongoza kuwa kiongozi ndiye awe wa kwanza kutoa mkono wake, na ni kiongozi tu ndiye atakayetikisa mkono wako.
Simlaumu Diamond ila namshangaa Meneja wake kwa kuwa ninaamini Meneja anatakiwa kujua mambo mengi na sio mambo ya muziki tu. Meneja anatakiwa kuwa mdadisi na anatakiwa kumuandaa boss wake kulingana na nature ya tukio/occasion iliyopo mbeleni.
Tuangalie jinsi wasanii wengi wakubwa wanavyojiweka wanapokutana na viongozi wakubwa wa kitaifa. Mfano Jay-Z au Michael Jackson alipokaribishwa Uingereza na kukutana na King Charles na aliyekuwa Mkewe (Prince Diana). Kwa ukubwa na umaarufu wa Michael Jackson ulivyokuwa lakini alionyesha Approach nzuri sana kiitifaki.
Diamond kwa ukubwa na umaarufu alionao sasa ni dhahiri anahitaji Meneja msomi lakini mwenye exposure kubwa.
Ile wadau mnamadongoKijana umemaliza elimu yako chuo cha foreign affairs hapo, umekosa ajira ukaona bora upoteze muda wako kuwaongelea wasanii. Fanya hata entrepreneurship mdogo wangu, wewe na kujua kwako itifaki hautakaa hata kukutana na PM Majaliwa wala kuushika mkono wa Sophia Mjema, punguzeni ujuaji.
Wewe ni POYOYO NA NDEZI SANA. Diamond hana ukubwa unaowazidi Kina Michael Jackson, Jay-Z, Tyson, Burnaboy, Rihanna nk. Usitake msanii wetu akose Point muhimu katika carrier yake, mnataka awe kama Rodman yule mcheza kikapu aliyepoteza muelekeo. USITAKE DIAMOND AWE KAMA MASANJA Mkandamizaji aliyepewa nafasi siku ya sherehe za kitaifa pale uwanja wa uhuru akatoa kauli ambayo imemuharibia heshima yake na kuonekana mjinga.Wa bongo na kukosoa kosoa hamjambo, ulitaka ampigie magoti au? jua yule ni msani maisha yake yote niakisani ndo huo usani ndo umemfanye akutane na PK, Rwanda inamhitaji sana kuipromote kuliko Diamond anavo hitaji Rwanda kumpromote,........sisi wajinga tunashindwa kutumia diamond kuuza utali wetu tuko bzy kumkosoa tu foolish.
Babu Tale naona umekuja mbio sana hapa. Halafu tumekupa Ubunge kwa heshima ya DiamondPamoja na kwamba umeandika pumba ila hilo tukio halikuwa la kiofisi.. lilikuwa kama la kifamilia tu. Pia kumlaumu Babutale ni uwendawazimu uliotukuka. Mtu wa darasa la saba anawezaje kujua mambo ya itifaki? Mleta uzi pambana uweze kumudu gharama ya milo mitatu kwa siku. Inaonekana una njaa
Kwa wasanii wa Bongo tuTafuta hela hakunaga itifaki kwa mwenye hela.
Diamond ni msanii....itifaki kwa wanasiasa..Mlioona clip ya juzi ikimuonyesha Diamond akiwa Rwanda na kukutana na Rais Kagame utaona Approach yake kwa kiongozi huyo ilivyokuwa na kasoro, jinsi Diamond alivyokuwa anamuongelesha Rais huyo ilikuwa kama vile anaongea na Babu Tale au mtu mwenye hadhi ya kawaida tu.
Pia alionekana mara nyingi yeye akimpa mkono Rais na hata kuutikisa. Itifaki inatuongoza kuwa kiongozi ndiye awe wa kwanza kutoa mkono wake, na ni kiongozi tu ndiye atakayetikisa mkono wako.
Simlaumu Diamond ila namshangaa Meneja wake kwa kuwa ninaamini Meneja anatakiwa kujua mambo mengi na sio mambo ya muziki tu. Meneja anatakiwa kuwa mdadisi na anatakiwa kumuandaa boss wake kulingana na nature ya tukio/occasion iliyopo mbeleni.
Tuangalie jinsi wasanii wengi wakubwa wanavyojiweka wanapokutana na viongozi wakubwa wa kitaifa. Mfano Jay-Z au Michael Jackson alipokaribishwa Uingereza na kukutana na King Charles na aliyekuwa Mkewe (Prince Diana). Kwa ukubwa na umaarufu wa Michael Jackson ulivyokuwa lakini alionyesha Approach nzuri sana kiitifaki.
Diamond kwa ukubwa na umaarufu alionao sasa ni dhahiri anahitaji Meneja msomi lakini mwenye exposure kubwa.
Pumbavu mwenyewe.Pumbavu kabisa, Diamond ni msanii na yeye ana itifaki zake, si watu wote wanafuata itifaki ta Rais
Sio mwanasiasa wala kiongozi. Itifaki pale iko sawa..Samahani mkuu Kwani baada ya hiyo sijui iftaki kutozingatiwa kuna yeyote kati yao amepata ulemavu wa mikono?
Sawasawa 👍 👍Ukiandika haya unadhani ndiyo utaalikwa wewe?
Wivu tu umekujaa,kenge wewe.
Diamond ni msanii wala si mwanasiasa. Itifaki yake ndiyo hiyo aliyoionesha kwa Rais PG.
Sasa na Wewe Si umtengeneze msanii wako akashikane mkono na kagame kiitifaki?..[emoji23]Mlioona clip ya juzi ikimuonyesha Diamond akiwa Rwanda na kukutana na Rais Kagame utaona Approach yake kwa kiongozi huyo ilivyokuwa na kasoro, jinsi Diamond alivyokuwa anamuongelesha Rais huyo ilikuwa kama vile anaongea na Babu Tale au mtu mwenye hadhi ya kawaida tu.
Pia alionekana mara nyingi yeye akimpa mkono Rais na hata kuutikisa. Itifaki inatuongoza kuwa kiongozi ndiye awe wa kwanza kutoa mkono wake, na ni kiongozi tu ndiye atakayetikisa mkono wako.
Simlaumu Diamond ila namshangaa Meneja wake kwa kuwa ninaamini Meneja anatakiwa kujua mambo mengi na sio mambo ya muziki tu. Meneja anatakiwa kuwa mdadisi na anatakiwa kumuandaa boss wake kulingana na nature ya tukio/occasion iliyopo mbeleni.
Tuangalie jinsi wasanii wengi wakubwa wanavyojiweka wanapokutana na viongozi wakubwa wa kitaifa. Mfano Jay-Z au Michael Jackson alipokaribishwa Uingereza na kukutana na King Charles na aliyekuwa Mkewe (Prince Diana). Kwa ukubwa na umaarufu wa Michael Jackson ulivyokuwa lakini alionyesha Approach nzuri sana kiitifaki.
Diamond kwa ukubwa na umaarufu alionao sasa ni dhahiri anahitaji Meneja msomi lakini mwenye exposure kubwa.