Diamond alipokutana na Kagame Rwanda alionesha Mapungufu ya Kiitifaki

Diamond alipokutana na Kagame Rwanda alionesha Mapungufu ya Kiitifaki

Mtoa mada unazijua Standard operating procedures za diamond ama WCB ?

Diamond sio mfanyakazi wa serikali ya nchi yoyote. Yeye anafata procedure za WCB yake tu
 
Mlioona clip ya juzi ikimuonyesha Diamond akiwa Rwanda na kukutana na Rais Kagame utaona Approach yake kwa kiongozi huyo ilivyokuwa na kasoro, jinsi Diamond alivyokuwa anamuongelesha Rais huyo ilikuwa kama vile anaongea na Babu Tale au mtu mwenye hadhi ya kawaida tu.

Pia alionekana mara nyingi yeye akimpa mkono Rais na hata kuutikisa. Itifaki inatuongoza kuwa kiongozi ndiye awe wa kwanza kutoa mkono wake, na ni kiongozi tu ndiye atakayetikisa mkono wako.

Simlaumu Diamond ila namshangaa Meneja wake kwa kuwa ninaamini Meneja anatakiwa kujua mambo mengi na sio mambo ya muziki tu. Meneja anatakiwa kuwa mdadisi na anatakiwa kumuandaa boss wake kulingana na nature ya tukio/occasion iliyopo mbeleni.

Tuangalie jinsi wasanii wengi wakubwa wanavyojiweka wanapokutana na viongozi wakubwa wa kitaifa. Mfano Jay-Z au Michael Jackson alipokaribishwa Uingereza na kukutana na King Charles na aliyekuwa Mkewe (Prince Diana). Kwa ukubwa na umaarufu wa Michael Jackson ulivyokuwa lakini alionyesha Approach nzuri sana kiitifaki.

Diamond kwa ukubwa na umaarufu alionao sasa ni dhahiri anahitaji Meneja msomi lakini mwenye exposure kubwa.

Ukiandika haya unadhani ndiyo utaalikwa wewe?
Wivu tu umekujaa,kenge wewe.
Diamond ni msanii wala si mwanasiasa. Itifaki yake ndiyo hiyo aliyoionesha kwa Rais PG.
 
Wasanii wengi huwa hawajui namna ya kutoa heshima kwa viongozi wa nchi hata Malkia Elizabeth kuna wasanii walikuwa wanamsalimia kishkaji tu
Kwa hiyo ni kawaida makosa kutokea now and then
Huwa makosa yanaonekana baadae na hayazuiliki
 
Kijana umemaliza elimu yako chuo cha foreign affairs hapo, umekosa ajira ukaona bora upoteze muda wako kuwaongelea wasanii. Fanya hata entrepreneurship mdogo wangu, wewe na kujua kwako itifaki hautakaa hata kukutana na PM Majaliwa wala kuushika mkono wa Sophia Mjema, punguzeni ujuaji.
 
Mlioona clip ya juzi ikimuonyesha Diamond akiwa Rwanda na kukutana na Rais Kagame utaona Approach yake kwa kiongozi huyo ilivyokuwa na kasoro, jinsi Diamond alivyokuwa anamuongelesha Rais huyo ilikuwa kama vile anaongea na Babu Tale au mtu mwenye hadhi ya kawaida tu.

Pia alionekana mara nyingi yeye akimpa mkono Rais na hata kuutikisa. Itifaki inatuongoza kuwa kiongozi ndiye awe wa kwanza kutoa mkono wake, na ni kiongozi tu ndiye atakayetikisa mkono wako.

Simlaumu Diamond ila namshangaa Meneja wake kwa kuwa ninaamini Meneja anatakiwa kujua mambo mengi na sio mambo ya muziki tu. Meneja anatakiwa kuwa mdadisi na anatakiwa kumuandaa boss wake kulingana na nature ya tukio/occasion iliyopo mbeleni.

Tuangalie jinsi wasanii wengi wakubwa wanavyojiweka wanapokutana na viongozi wakubwa wa kitaifa. Mfano Jay-Z au Michael Jackson alipokaribishwa Uingereza na kukutana na King Charles na aliyekuwa Mkewe (Prince Diana). Kwa ukubwa na umaarufu wa Michael Jackson ulivyokuwa lakini alionyesha Approach nzuri sana kiitifaki.

Diamond kwa ukubwa na umaarufu alionao sasa ni dhahiri anahitaji Meneja msomi lakini mwenye exposure kubwa.

Nikusaidie mtoa post, Itifaki za Ikulu zinaongozwa na watu wa Ikulu husika na sio meneja wa mtu au mgeni mwenyewe. Kama Kuna mapungufu, walaumiwe watu wa Protocol za Ikulu ya Rwanda.
 
Mlioona clip ya juzi ikimuonyesha Diamond akiwa Rwanda na kukutana na Rais Kagame utaona Approach yake kwa kiongozi huyo ilivyokuwa na kasoro, jinsi Diamond alivyokuwa anamuongelesha Rais huyo ilikuwa kama vile anaongea na Babu Tale au mtu mwenye hadhi ya kawaida tu.

Pia alionekana mara nyingi yeye akimpa mkono Rais na hata kuutikisa. Itifaki inatuongoza kuwa kiongozi ndiye awe wa kwanza kutoa mkono wake, na ni kiongozi tu ndiye atakayetikisa mkono wako.

Simlaumu Diamond ila namshangaa Meneja wake kwa kuwa ninaamini Meneja anatakiwa kujua mambo mengi na sio mambo ya muziki tu. Meneja anatakiwa kuwa mdadisi na anatakiwa kumuandaa boss wake kulingana na nature ya tukio/occasion iliyopo mbeleni.

Tuangalie jinsi wasanii wengi wakubwa wanavyojiweka wanapokutana na viongozi wakubwa wa kitaifa. Mfano Jay-Z au Michael Jackson alipokaribishwa Uingereza na kukutana na King Charles na aliyekuwa Mkewe (Prince Diana). Kwa ukubwa na umaarufu wa Michael Jackson ulivyokuwa lakini alionyesha Approach nzuri sana kiitifaki.

Diamond kwa ukubwa na umaarufu alionao sasa ni dhahiri anahitaji Meneja msomi lakini mwenye exposure kubwa.

Hacha kuongelea vitu usivyovijua,
Diamond, hakwenda pale kukutana na HE Kagame, huyu ni msanii,Hana background yoyote ya kidiplomssia, wangetaka protocol ziende vzr, maofisa balozi wetu wa Rwanda walikuwa wapi? Kwanini hawakujua msanii mkubwa kutoka nyumbani Bongo anakutana na Raisi Kagame? Wangempa dondoo jinsi ya kuvaa,
Mond alijitahidi kuonyesha heshima maana alivua kofia yake alipokutana na Kagame,
Kama kuna kitu Mond alikosea, wakulaumiwa ni maofisa balozi wetu,
 
Kijana umemaliza elimu yako chuo cha foreign affairs hapo, umekosa ajira ukaona bora upoteze muda wako kuwaongelea wasanii. Fanya hata entrepreneurship mdogo wangu, wewe na kujua kwako itifaki hautakaa hata kukutana na PM Majaliwa wala kuushika mkono wa Sophia Mjema, punguzeni ujuaji.
Ile wadau mnamadongo
 
Act ya unyenyekevu tu...haina ubaya wowote ni asili yetu mbona.
 
Pamoja na kwamba umeandika pumba ila hilo tukio halikuwa la kiofisi.. lilikuwa kama la kifamilia tu. Pia kumlaumu Babutale ni uwendawazimu uliotukuka. Mtu wa darasa la saba anawezaje kujua mambo ya itifaki? Mleta uzi pambana uweze kumudu gharama ya milo mitatu kwa siku. Inaonekana una njaa
 
Wa bongo na kukosoa kosoa hamjambo, ulitaka ampigie magoti au? jua yule ni msani maisha yake yote niakisani ndo huo usani ndo umemfanye akutane na PK, Rwanda inamhitaji sana kuipromote kuliko Diamond anavo hitaji Rwanda kumpromote,........sisi wajinga tunashindwa kutumia diamond kuuza utali wetu tuko bzy kumkosoa tu foolish.
Wewe ni POYOYO NA NDEZI SANA. Diamond hana ukubwa unaowazidi Kina Michael Jackson, Jay-Z, Tyson, Burnaboy, Rihanna nk. Usitake msanii wetu akose Point muhimu katika carrier yake, mnataka awe kama Rodman yule mcheza kikapu aliyepoteza muelekeo. USITAKE DIAMOND AWE KAMA MASANJA Mkandamizaji aliyepewa nafasi siku ya sherehe za kitaifa pale uwanja wa uhuru akatoa kauli ambayo imemuharibia heshima yake na kuonekana mjinga.
Wengi tunamkubali sana Diamond hivyo MSIKASIRIKE ANAPOELEZWA UKWELI HATA KAMA NI MCHUNGU. NADHANI NYIE HATA MNAWEZA KUMTETEA MORRISON ALIVYOHARIBU PALE IKULU.

NAJUA WENGI MNAOSHANGAA HII HOJA YANGU NI WASANII AMBAO ASILIMIA KUBWA HAMJAELIMIKA NA HAMNA EXPOSURE KABISA
 
Pamoja na kwamba umeandika pumba ila hilo tukio halikuwa la kiofisi.. lilikuwa kama la kifamilia tu. Pia kumlaumu Babutale ni uwendawazimu uliotukuka. Mtu wa darasa la saba anawezaje kujua mambo ya itifaki? Mleta uzi pambana uweze kumudu gharama ya milo mitatu kwa siku. Inaonekana una njaa
Babu Tale naona umekuja mbio sana hapa. Halafu tumekupa Ubunge kwa heshima ya Diamond
 
Mlioona clip ya juzi ikimuonyesha Diamond akiwa Rwanda na kukutana na Rais Kagame utaona Approach yake kwa kiongozi huyo ilivyokuwa na kasoro, jinsi Diamond alivyokuwa anamuongelesha Rais huyo ilikuwa kama vile anaongea na Babu Tale au mtu mwenye hadhi ya kawaida tu.

Pia alionekana mara nyingi yeye akimpa mkono Rais na hata kuutikisa. Itifaki inatuongoza kuwa kiongozi ndiye awe wa kwanza kutoa mkono wake, na ni kiongozi tu ndiye atakayetikisa mkono wako.

Simlaumu Diamond ila namshangaa Meneja wake kwa kuwa ninaamini Meneja anatakiwa kujua mambo mengi na sio mambo ya muziki tu. Meneja anatakiwa kuwa mdadisi na anatakiwa kumuandaa boss wake kulingana na nature ya tukio/occasion iliyopo mbeleni.

Tuangalie jinsi wasanii wengi wakubwa wanavyojiweka wanapokutana na viongozi wakubwa wa kitaifa. Mfano Jay-Z au Michael Jackson alipokaribishwa Uingereza na kukutana na King Charles na aliyekuwa Mkewe (Prince Diana). Kwa ukubwa na umaarufu wa Michael Jackson ulivyokuwa lakini alionyesha Approach nzuri sana kiitifaki.

Diamond kwa ukubwa na umaarufu alionao sasa ni dhahiri anahitaji Meneja msomi lakini mwenye exposure kubwa.

Diamond ni msanii....itifaki kwa wanasiasa..
Iko sawa tu.
 
Mlioona clip ya juzi ikimuonyesha Diamond akiwa Rwanda na kukutana na Rais Kagame utaona Approach yake kwa kiongozi huyo ilivyokuwa na kasoro, jinsi Diamond alivyokuwa anamuongelesha Rais huyo ilikuwa kama vile anaongea na Babu Tale au mtu mwenye hadhi ya kawaida tu.

Pia alionekana mara nyingi yeye akimpa mkono Rais na hata kuutikisa. Itifaki inatuongoza kuwa kiongozi ndiye awe wa kwanza kutoa mkono wake, na ni kiongozi tu ndiye atakayetikisa mkono wako.

Simlaumu Diamond ila namshangaa Meneja wake kwa kuwa ninaamini Meneja anatakiwa kujua mambo mengi na sio mambo ya muziki tu. Meneja anatakiwa kuwa mdadisi na anatakiwa kumuandaa boss wake kulingana na nature ya tukio/occasion iliyopo mbeleni.

Tuangalie jinsi wasanii wengi wakubwa wanavyojiweka wanapokutana na viongozi wakubwa wa kitaifa. Mfano Jay-Z au Michael Jackson alipokaribishwa Uingereza na kukutana na King Charles na aliyekuwa Mkewe (Prince Diana). Kwa ukubwa na umaarufu wa Michael Jackson ulivyokuwa lakini alionyesha Approach nzuri sana kiitifaki.

Diamond kwa ukubwa na umaarufu alionao sasa ni dhahiri anahitaji Meneja msomi lakini mwenye exposure kubwa.

Sasa na Wewe Si umtengeneze msanii wako akashikane mkono na kagame kiitifaki?..[emoji23]
 
Back
Top Bottom