lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
Mimi sikupenda mavazi kabisa kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aisee wewe😂Dayamond hajasoma,meneja wake pia maamuna,wamesoma kuruwani tu🤣🤣🤣
Afu wamezaliwa na kukulia uswekeni huko
Unategemea nn?
Yule kajaliwa visenti tu Ila ni mjinga wa kutupwa
Kama.Kagame hajakereka basi msisumbuke sana kumsagia kunguni kijanaMlioona clip ya juzi ikimuonyesha Diamond akiwa Rwanda na kukutana na Rais Kagame utaona Approach yake kwa kiongozi huyo ilivyokuwa na kasoro, jinsi Diamond alivyokuwa anamuongelesha Rais huyo ilikuwa kama vile anaongea na Babu Tale au mtu mwenye hadhi ya kawaida tu.
Pia alionekana mara nyingi yeye akimpa mkono Rais na hata kuutikisa. Itifaki inatuongoza kuwa kiongozi ndiye awe wa kwanza kutoa mkono wake, na ni kiongozi tu ndiye atakayetikisa mkono wako.
Simlaumu Diamond ila namshangaa Meneja wake kwa kuwa ninaamini Meneja anatakiwa kujua mambo mengi na sio mambo ya muziki tu. Meneja anatakiwa kuwa mdadisi na anatakiwa kumuandaa boss wake kulingana na nature ya tukio/occasion iliyopo mbeleni.
Tuangalie jinsi wasanii wengi wakubwa wanavyojiweka wanapokutana na viongozi wakubwa wa kitaifa. Mfano Jay-Z au Michael Jackson alipokaribishwa Uingereza na kukutana na King Charles na aliyekuwa Mkewe (Prince Diana). Kwa ukubwa na umaarufu wa Michael Jackson ulivyokuwa lakini alionyesha Approach nzuri sana kiitifaki.
Diamond kwa ukubwa na umaarufu alionao sasa ni dhahiri anahitaji Meneja msomi lakini mwenye exposure kubwa.
Haya mambo ya itifaki hutegemea ntu na ntu...
Ni kama wewe unavyo mheshimu mama yako ila Baba yako anakua na access ya hata kumshika makalio.
Mtanzania wa kweli mzalendo Diamond hongera sana sisi wafuasi wako ni daima na wewe songa mbeleMlioona clip ya juzi ikimuonyesha Diamond akiwa Rwanda na kukutana na Rais Kagame utaona Approach yake kwa kiongozi huyo ilivyokuwa na kasoro, jinsi Diamond alivyokuwa anamuongelesha Rais huyo ilikuwa kama vile anaongea na Babu Tale au mtu mwenye hadhi ya kawaida tu.
Pia alionekana mara nyingi yeye akimpa mkono Rais na hata kuutikisa. Itifaki inatuongoza kuwa kiongozi ndiye awe wa kwanza kutoa mkono wake, na ni kiongozi tu ndiye atakayetikisa mkono wako.
Simlaumu Diamond ila namshangaa Meneja wake kwa kuwa ninaamini Meneja anatakiwa kujua mambo mengi na sio mambo ya muziki tu. Meneja anatakiwa kuwa mdadisi na anatakiwa kumuandaa boss wake kulingana na nature ya tukio/occasion iliyopo mbeleni.
Tuangalie jinsi wasanii wengi wakubwa wanavyojiweka wanapokutana na viongozi wakubwa wa kitaifa. Mfano Jay-Z au Michael Jackson alipokaribishwa Uingereza na kukutana na King Charles na aliyekuwa Mkewe (Prince Diana). Kwa ukubwa na umaarufu wa Michael Jackson ulivyokuwa lakini alionyesha Approach nzuri sana kiitifaki.
Diamond kwa ukubwa na umaarufu alionao sasa ni dhahiri anahitaji Meneja msomi lakini mwenye exposure kubwa.
Mwenyewe hii nimeiona hakuna kama Baba.Duuh!
Hii kali ya mwaka.
Kwa hiyo unataka kusema tuna mwanaume shujaa mmoja tu hapa nchini!(Sijamtaja)
Wa bongo na kukosoa kosoa hamjambo, ulitaka ampigie magoti au? jua yule ni msani maisha yake yote niakisani ndo huo usani ndo umemfanye akutane na PK, Rwanda inamhitaji sana kuipromote kuliko Diamond anavo hitaji Rwanda kumpromote,........sisi wajinga tunashindwa kutumia diamond kuuza utali wetu tuko bzy kumkosoa tu foolish.