Diamond alipokutana na Kagame Rwanda alionesha Mapungufu ya Kiitifaki

Diamond alipokutana na Kagame Rwanda alionesha Mapungufu ya Kiitifaki

Haya wanakuja team mondi
Tayari wameshakuja angalia tu COMMENT ZA KUNITUKANA ZINAVYOTIRIRIKA HUMU. HADI CREW NZIMA YA WASAFI MEDIA IPO HUMU NIMEONA COMMENT YA ZEMBWELA NA KITENGE . BABA LEVO NAYE KANITOLEA POVU BALAA, najua imemuuma maana yeye ni kati ya wanaompotosha sana SIMBA

Nitakoma leo
 
Wewe ni POYOYO NA NDEZI SANA. Diamond hana ukubwa unaowazidi Kina Michael Jackson, Jay-Z, Tyson, Burnaboy, Rihanna nk. Usitake msanii wetu akose Point muhimu katika carrier yake, mnataka awe kama Rodman yule mcheza kikapu aliyepoteza muelekeo. USITAKE DIAMOND AWE KAMA MASANJA Mkandamizaji aliyepewa nafasi siku ya sherehe za kitaifa pale uwanja wa uhuru akatoa kauli ambayo imemuharibia heshima yake na kuonekana mjinga.
Wengi tunamkubali sana Diamond hivyo MSIKASIRIKE ANAPOELEZWA UKWELI HATA KAMA NI MCHUNGU. NADHANI NYIE HATA MNAWEZA KUMTETEA MORRISON ALIVYOHARIBU PALE IKULU.

NAJUA WENGI MNAOSHANGAA HII HOJA YANGU NI WASANII AMBAO ASILIMIA KUBWA HAMJAELIMIKA NA HAMNA EXPOSURE KABISA
Wale yupo White House,vip hapa label yake chini ya Rick Ross, walikosea?
wale-and-obama.png

Halafu unaweza ukakuta hata huyo Diamond kafanyiwa surprise kukutana Rais, sio vitu vyote vinapangwa vingine sababu tu za kiusalama vinaweza vikawa ni siri.
 
Pamoja na kwamba umeandika pumba ila hilo tukio halikuwa la kiofisi.. lilikuwa kama la kifamilia tu. Pia kumlaumu Babutale ni uwendawazimu uliotukuka. Mtu wa darasa la saba anawezaje kujua mambo ya itifaki? Mleta uzi pambana uweze kumudu gharama ya milo mitatu kwa siku. Inaonekana una njaa
🤣🤣🤣🤣
 
Tayari wameshakuja angalia tu COMMENT ZA KUNITUKANA ZINAVYOTIRIRIKA HUMU. HADI CREW NZIMA YA WASAFI MEDIA IPO HUMU NIMEONA COMMENT YA ZEMBWELA NA KITENGE . BABA LEVO NAYE KANITOLEA POVU BALAA, najua imemuuma maana yeye ni kati ya wanaompotosha sana SIMBA

Nitakoma leo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mtoa mada unazijua Standard operating procedures za diamond ama WCB ?

Diamond sio mfanyakazi wa serikali ya nchi yoyote. Yeye anafata procedure za WCB yake tu
Nadhani wewe kwa nafasi yako na cheo hicho ulichonacho unapaswa kujua kuwa itifaki inapaswa kuzingatiwa na yeyote yule, hasa unapo deal na VVIP.
 
Kila kitu mnachambua Hadi kupeana mikoni duh mmekuwa Kama radio fln HV inachambua Hadi jesi ya timu masaa mawili

Jusi frahani alichambua wimbo wa alikiba huku akiuponda mziki wa yanga iliyotaja mastaa
 
Diamond alimtreat Kagame kama mzazi. Ni kama vile alikuwa anaongea na Baba ndio maana kwa heshima kubwa alivua kofia kabla ya kumwambia Mzee Kagame " Shikamoo". Na wakati wote Mzee Kagame akiwa anaongea Diamond alikuwa anaweka mikono yake katika lugha ya mwili inayo onyesha heshima na utiifu kwa mamlaka
Sahihi kbsaa [emoji41] siyo kammleta Uzi anavyochambu maharage ya itifaki
 
Pengine hata kagame ndio amemuomba apige picha na Simba diamoby mwambino
 
Unadhani Obama akikutana na Snoop DOG..., watasalimia vipi kama sio Hommy What's Up !!!; Fo shizzle my nizzle
 
Wewe ni POYOYO NA NDEZI SANA. Diamond hana ukubwa unaowazidi Kina Michael Jackson, Jay-Z, Tyson, Burnaboy, Rihanna nk. Usitake msanii wetu akose Point muhimu katika carrier yake, mnataka awe kama Rodman yule mcheza kikapu aliyepoteza muelekeo. USITAKE DIAMOND AWE KAMA MASANJA Mkandamizaji aliyepewa nafasi siku ya sherehe za kitaifa pale uwanja wa uhuru akatoa kauli ambayo imemuharibia heshima yake na kuonekana mjinga.
Wengi tunamkubali sana Diamond hivyo MSIKASIRIKE ANAPOELEZWA UKWELI HATA KAMA NI MCHUNGU. NADHANI NYIE HATA MNAWEZA KUMTETEA MORRISON ALIVYOHARIBU PALE IKULU.

NAJUA WENGI MNAOSHANGAA HII HOJA YANGU NI WASANII AMBAO ASILIMIA KUBWA HAMJAELIMIKA NA HAMNA EXPOSURE KABISA
Wengi tukipelekwa shule tunaenda kucheza kumbe Kuna mada zinatusaidia mbeleni, Kuna mada tulisoma mashuleni Matumizi ya lugha ktk miktadha mbalimbali, hii mada ndio inatufundisha jinsi ya kuongea kutokana na sehemu Au mtu unayeongea naye, naona humu wanaona sawa tu kisa msanii.
 
Wengi tukipelekwa shule tunaenda kucheza kumbe Kuna mada zinatusaidia mbeleni, Kuna mada tulisoma mashuleni Matumizi ya lugha ktk miktadha mbalimbali, hii mada ndio inatufundisha jinsi ya kuongea kutokana na sehemu Au mtu unayeongea naye, naona humu wanaona sawa tu kisa msanii.
Tuwasamehe tu maana wengi humu hawana elimu na exposure . Ndio yale mambo unampeleka mchumba kumtambulisha kwa wazazi halafu anaongea na simu anasema "kausha kausha nipo na wakwe kudadadeki"
 
Mlioona clip ya juzi ikimuonyesha Diamond akiwa Rwanda na kukutana na Rais Kagame utaona Approach yake kwa kiongozi huyo ilivyokuwa na kasoro, jinsi Diamond alivyokuwa anamuongelesha Rais huyo ilikuwa kama vile anaongea na Babu Tale au mtu mwenye hadhi ya kawaida tu.

Pia alionekana mara nyingi yeye akimpa mkono Rais na hata kuutikisa. Itifaki inatuongoza kuwa kiongozi ndiye awe wa kwanza kutoa mkono wake, na ni kiongozi tu ndiye atakayetikisa mkono wako.

Simlaumu Diamond ila namshangaa Meneja wake kwa kuwa ninaamini Meneja anatakiwa kujua mambo mengi na sio mambo ya muziki tu. Meneja anatakiwa kuwa mdadisi na anatakiwa kumuandaa boss wake kulingana na nature ya tukio/occasion iliyopo mbeleni.

Tuangalie jinsi wasanii wengi wakubwa wanavyojiweka wanapokutana na viongozi wakubwa wa kitaifa. Mfano Jay-Z au Michael Jackson alipokaribishwa Uingereza na kukutana na King Charles na aliyekuwa Mkewe (Prince Diana). Kwa ukubwa na umaarufu wa Michael Jackson ulivyokuwa lakini alionyesha Approach nzuri sana kiitifaki.

Diamond kwa ukubwa na umaarufu alionao sasa ni dhahiri anahitaji Meneja msomi lakini mwenye exposure kubwa.

Sijaona shida hapo
 
Ulitaka apige magoti unadhani kila
Mahali ni kusifu na kuabudu kama mlivyozoea wabongo?
 
Tuwasamehe tu maana wengi humu hawana elimu na exposure . Ndio yale mambo unampeleka mchumba kumtambulisha kwa wazazi halafu anaongea na simu anasema "kausha kausha nipo na wakwe kudadadeki"
Unaongea na mtu mzima mnapeana mikono, baada mtu mzima atikise mkono unatikisa we mtoto, mwee.
 
Back
Top Bottom