Tayari wameshakuja angalia tu COMMENT ZA KUNITUKANA ZINAVYOTIRIRIKA HUMU. HADI CREW NZIMA YA WASAFI MEDIA IPO HUMU NIMEONA COMMENT YA ZEMBWELA NA KITENGE . BABA LEVO NAYE KANITOLEA POVU BALAA, najua imemuuma maana yeye ni kati ya wanaompotosha sana SIMBAHaya wanakuja team mondi
Wale yupo White House,vip hapa label yake chini ya Rick Ross, walikosea?Wewe ni POYOYO NA NDEZI SANA. Diamond hana ukubwa unaowazidi Kina Michael Jackson, Jay-Z, Tyson, Burnaboy, Rihanna nk. Usitake msanii wetu akose Point muhimu katika carrier yake, mnataka awe kama Rodman yule mcheza kikapu aliyepoteza muelekeo. USITAKE DIAMOND AWE KAMA MASANJA Mkandamizaji aliyepewa nafasi siku ya sherehe za kitaifa pale uwanja wa uhuru akatoa kauli ambayo imemuharibia heshima yake na kuonekana mjinga.
Wengi tunamkubali sana Diamond hivyo MSIKASIRIKE ANAPOELEZWA UKWELI HATA KAMA NI MCHUNGU. NADHANI NYIE HATA MNAWEZA KUMTETEA MORRISON ALIVYOHARIBU PALE IKULU.
NAJUA WENGI MNAOSHANGAA HII HOJA YANGU NI WASANII AMBAO ASILIMIA KUBWA HAMJAELIMIKA NA HAMNA EXPOSURE KABISA
🤣🤣🤣🤣Pamoja na kwamba umeandika pumba ila hilo tukio halikuwa la kiofisi.. lilikuwa kama la kifamilia tu. Pia kumlaumu Babutale ni uwendawazimu uliotukuka. Mtu wa darasa la saba anawezaje kujua mambo ya itifaki? Mleta uzi pambana uweze kumudu gharama ya milo mitatu kwa siku. Inaonekana una njaa
Dah! Wadau mnamajibu si ya nchi hiiSasa na Wewe Si umtengeneze msanii wako akashikane mkono na kagame kiitifaki?..[emoji23]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tayari wameshakuja angalia tu COMMENT ZA KUNITUKANA ZINAVYOTIRIRIKA HUMU. HADI CREW NZIMA YA WASAFI MEDIA IPO HUMU NIMEONA COMMENT YA ZEMBWELA NA KITENGE . BABA LEVO NAYE KANITOLEA POVU BALAA, najua imemuuma maana yeye ni kati ya wanaompotosha sana SIMBA
Nitakoma leo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Pumbavu mwenyewe.
Nadhani wewe kwa nafasi yako na cheo hicho ulichonacho unapaswa kujua kuwa itifaki inapaswa kuzingatiwa na yeyote yule, hasa unapo deal na VVIP.Mtoa mada unazijua Standard operating procedures za diamond ama WCB ?
Diamond sio mfanyakazi wa serikali ya nchi yoyote. Yeye anafata procedure za WCB yake tu
NDIE ANAE Imiliki hi boda boda hapo home😂🤣🤣🤣Samahani mkuu, kwani huyo daimondi ndio nani huko Rwanda...?🤔
Sahihi kbsaa [emoji41] siyo kammleta Uzi anavyochambu maharage ya itifakiDiamond alimtreat Kagame kama mzazi. Ni kama vile alikuwa anaongea na Baba ndio maana kwa heshima kubwa alivua kofia kabla ya kumwambia Mzee Kagame " Shikamoo". Na wakati wote Mzee Kagame akiwa anaongea Diamond alikuwa anaweka mikono yake katika lugha ya mwili inayo onyesha heshima na utiifu kwa mamlaka
Wengi tukipelekwa shule tunaenda kucheza kumbe Kuna mada zinatusaidia mbeleni, Kuna mada tulisoma mashuleni Matumizi ya lugha ktk miktadha mbalimbali, hii mada ndio inatufundisha jinsi ya kuongea kutokana na sehemu Au mtu unayeongea naye, naona humu wanaona sawa tu kisa msanii.Wewe ni POYOYO NA NDEZI SANA. Diamond hana ukubwa unaowazidi Kina Michael Jackson, Jay-Z, Tyson, Burnaboy, Rihanna nk. Usitake msanii wetu akose Point muhimu katika carrier yake, mnataka awe kama Rodman yule mcheza kikapu aliyepoteza muelekeo. USITAKE DIAMOND AWE KAMA MASANJA Mkandamizaji aliyepewa nafasi siku ya sherehe za kitaifa pale uwanja wa uhuru akatoa kauli ambayo imemuharibia heshima yake na kuonekana mjinga.
Wengi tunamkubali sana Diamond hivyo MSIKASIRIKE ANAPOELEZWA UKWELI HATA KAMA NI MCHUNGU. NADHANI NYIE HATA MNAWEZA KUMTETEA MORRISON ALIVYOHARIBU PALE IKULU.
NAJUA WENGI MNAOSHANGAA HII HOJA YANGU NI WASANII AMBAO ASILIMIA KUBWA HAMJAELIMIKA NA HAMNA EXPOSURE KABISA
Tuwasamehe tu maana wengi humu hawana elimu na exposure . Ndio yale mambo unampeleka mchumba kumtambulisha kwa wazazi halafu anaongea na simu anasema "kausha kausha nipo na wakwe kudadadeki"Wengi tukipelekwa shule tunaenda kucheza kumbe Kuna mada zinatusaidia mbeleni, Kuna mada tulisoma mashuleni Matumizi ya lugha ktk miktadha mbalimbali, hii mada ndio inatufundisha jinsi ya kuongea kutokana na sehemu Au mtu unayeongea naye, naona humu wanaona sawa tu kisa msanii.
Sijaona shida hapoMlioona clip ya juzi ikimuonyesha Diamond akiwa Rwanda na kukutana na Rais Kagame utaona Approach yake kwa kiongozi huyo ilivyokuwa na kasoro, jinsi Diamond alivyokuwa anamuongelesha Rais huyo ilikuwa kama vile anaongea na Babu Tale au mtu mwenye hadhi ya kawaida tu.
Pia alionekana mara nyingi yeye akimpa mkono Rais na hata kuutikisa. Itifaki inatuongoza kuwa kiongozi ndiye awe wa kwanza kutoa mkono wake, na ni kiongozi tu ndiye atakayetikisa mkono wako.
Simlaumu Diamond ila namshangaa Meneja wake kwa kuwa ninaamini Meneja anatakiwa kujua mambo mengi na sio mambo ya muziki tu. Meneja anatakiwa kuwa mdadisi na anatakiwa kumuandaa boss wake kulingana na nature ya tukio/occasion iliyopo mbeleni.
Tuangalie jinsi wasanii wengi wakubwa wanavyojiweka wanapokutana na viongozi wakubwa wa kitaifa. Mfano Jay-Z au Michael Jackson alipokaribishwa Uingereza na kukutana na King Charles na aliyekuwa Mkewe (Prince Diana). Kwa ukubwa na umaarufu wa Michael Jackson ulivyokuwa lakini alionyesha Approach nzuri sana kiitifaki.
Diamond kwa ukubwa na umaarufu alionao sasa ni dhahiri anahitaji Meneja msomi lakini mwenye exposure kubwa.
Unaongea na mtu mzima mnapeana mikono, baada mtu mzima atikise mkono unatikisa we mtoto, mwee.Tuwasamehe tu maana wengi humu hawana elimu na exposure . Ndio yale mambo unampeleka mchumba kumtambulisha kwa wazazi halafu anaongea na simu anasema "kausha kausha nipo na wakwe kudadadeki"
Ha haahHaya mambo ya itifaki hutegemea ntu na ntu...
Ni kama wewe unavyo mheshimu mama yako ila Baba yako anakua na access ya hata kumshika makalio.