Diamond alipokutana na Kagame Rwanda alionesha Mapungufu ya Kiitifaki

Dayamond hajasoma,meneja wake pia maamuna,wamesoma kuruwani tu๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Afu wamezaliwa na kukulia uswekeni huko
Unategemea nn?
Yule kajaliwa visenti tu Ila ni mjinga wa kutupwa
 
HIVI MENEJA WAKE NI YULE MWENYE SAUTI YA KAMAMA FLANI?
 
Kama.Kagame hajakereka basi msisumbuke sana kumsagia kunguni kijana
 
๐ค๐จ๐ฃ๐จ๐š ๐ฎ๐ค๐š๐ฅ๐š๐ฅ๐ž
 
๐š๐ฎ ๐ฆ๐š๐ฏ๐ข ๐ฒ๐š๐ง๐š๐ค๐ฎ๐ฌ๐ฎ๐ฆ๐›๐ฎ๐š ๐ค๐š๐ง๐ฒ๐ž
 
Haya mambo ya itifaki hutegemea ntu na ntu...

Ni kama wewe unavyo mheshimu mama yako ila Baba yako anakua na access ya hata kumshika makalio.

Heee! ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Mtanzania wa kweli mzalendo Diamond hongera sana sisi wafuasi wako ni daima na wewe songa mbele
 
D
Kijana anatuwakilisha vema, big up makosa unayatafuta wewe mpe maua yake
 
Wewe ndio unatakiwa umuogope kiongozi, mwenzio mondi keshapita huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ