Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Wewe unaonaje?Kwan unatakaje labda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unaonaje?Kwan unatakaje labda?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leo utasema vyote ila boss wenu kajua kuwakomesha, alikuwa anacheza hit ya mwl wake. HahahahahahOk kalale
Mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] npo simple sanaaaaaaah, wala sijuagi kutake serious huku mtandaoni. Relaaaaaaaaaaaaax
Sijawahi na siwezi kumchukia Diamond, kwan haniongezei wala kunipunguzia chochote kweny maisha yangu. Ila tyuu sio fan wake, na haihusian na chuki. Hivyooooh yaaanMkuu
kumchukia mondi na management yake nayo ni sehemu u simple wako ?
Nimesema Diamond na management yake. BTW hakuna hasiyejua kwamba humpendi Mondi.Sijawahi na siwezi kumchukia Diamond, kwan haniongezei wala kunipunguzia chochote kweny maisha yangu. Ila tyuu sio fan wake, na haihusian na chuki. Hivyooooh yaaan
Tena huyu mbweha kasema kali sanaHisia kali hapo ziko wapi
It's ouk ni sawa simpendi Mondi na management yake, Aaaaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimesema Diamond na management yake. BTW hakuna hasiyejua kwamba humpendi Mondi.
Fact, achana na hao kina cocasticMimi kila mtu nampenda jinsi alivyo. Ally Kiba nampenda ana sauti nzuri na anaimba nyimbo zenye kusikilizika hata ukiwa na mkwe wako pia hapendi show off. Dimond nampenda he is so creative na ongea yake naipenda sana akiwa kwenye interview anakua so hummble. Pia hajivungi akisikia mdundo wa wimbo wowote lazima ajitingishe hata kichwa yani kiufupi anapenda mziki na mziki ni maisha yake. Tuwapende wote na tuwasapoti.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee unaumia sanaaaah eeeeh? Hebu kunywa maji afu relaaaaaaaaaaxFact, achana na hao kina cocastic