Diamond alivyompata Mimi Mars ni kama watu wanaonunua bidhaa online na kuletewa wanapoishi!

Status
Not open for further replies.
Tandale boy smells a lot of dough

U can't resist him .
 
Ebu kuwa serious diamond Hana hela?Mtu anamiliki magari ya kifahari Kama MBW x 6 ana company kubwa ya WCB label, Ana hotel bado pia kawekeza kwenye media unasema ana hela du! hii kali
 
Ebu kuwa serious diamond Hana hela?Mtu anamiliki magari ya kifahari Kama MBW x 6 ana company kubwa ya WCB label, Ana hotel bado pia kawekeza kwenye media unasema ana hela du! hii kali
Hvo vitu sijui hotel ni minor issues kwangu mimi coz I don't mind material thing's kwa kweli mahalo Sana kusimamia msimamo wangu mwenyewe, ninaoishi kwenye ulimwengu wangu
 
Shangazi power [emoji2]

Feminists wanamchukia dai wa watu.

Dai nae ana moyo nyie
Feminist has nothing to do with preferences my dear, wewe kupenda Jambo flani haihusikani na lolote it's just what you want I don't hate diamond as you used kuchukia basi tu kila mtu na aina ya watu wanaopenda kulingana na chemistry na kiupaumbele that's all. Don't blame feminist to even what we like and don't like
 
Sawa mkuu
 
Hvo vitu sijui hotel ni minor issues kwangu mimi coz I don't mind material thing's kwa kweli mahalo Sana kusimamia msimamo wangu mwenyewe, ninaoishi kwenye ulimwengu wangu
Natamani nione sura yako yangenipa majibu mengi kuhusu wewe
 
Manene yamkosaji hayooo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…