Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Funny enough ni kua, wote wanaoshobokea mastar wanakua na ushamba kwenye damu zao,Exactly.
Mimi nakubaliana wewe na cariha na mifano ipo.
Mb Doggy aliwahi kuwa kwenye Peak kubwa mnoooo, na akawa anamtaka Nancy Sumary anamtungia mpaka nyimbo [emoji1][emoji1].
Ila mdada hakuwa hata na mapenzi naye.
Hahaaa umenifuraisha Sana mkarukaKupigwa miti kwa mwanamke ni kawaida. Na kuzaana ni nature, Wewe ulitaka azae na kobe.
Hapa watu wanazungumzia jambo ambalo ni dhahili. Siyo kila mwanamke anamtaka Diamond.
Maana kwa haki ilivyo hata ninyi mashabiki zake type za kina Juma Lokole, Aristote sidhani kama jamaa hawafukui mtaro
Wewe nakukubali ni akili kubwaSijasoma comments lakini kama ndivyo walivyosema kua kila mwanamke wa bongo anamtaka Diamond wamekosea sana,
Kila mwanamke ana vigezo vyake, si kila mtu anataka kutoka na mtu maarufu, si kila mtu anataka kutoka na kicheche, si kila mtu anataka kutoka mwanaume mwenye sura iliyopinda na kubonyea at the same time, lol
cariha big up kwa msimamo wako, achana na hao machokoraa.
Mwanamke akiona mwenzake kapata anapotamani yeye, huwa anaanza mshambulia mwenzake kwa maneno makali.Mkuu
Umejuaje mimi mars ni malaya ?
Nime support wapi udangaji Soma uelewe hoja vizuriKumbe unasapoti udangaji alafu unasema sitaki hela
Wewe ni mnafiki ukizeeka utakuwa mchawiMwanamke akiona mwenzake kapata anapotamani yeye, huwa anaanza mshambulia mwenzake kwa maneno makali.
Sasa nakwambia Mimi naishi maisha yangu sitegemei favor ya mwanaume, I work hard chini ya jua namtegea Mungu nakujishugjulisha that's allHata huyo demu anajishughulisha ila vizinga havikauki kunipiga.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Dah aisee kweli nimeamini mwalimu wa wanawake nae nikipofu. Wewe ndio wa kuongea maneno hayo....?! Ha ha ha ha ha ha dah.Diamond sio hadhi yangu kwa kweli namwona mjingajinga hivi flani pia Mimi staki umaarufu wa uzinifu yeye aendelee na hao kina mobeto ndio hadhi yake kwa kweli how can I date a tandale boy, mimi napenda wanaume timamu kichwani so diamond is not my type
Unakuwaga nae au basi na wewe utakuwa na matukio kama yake maana wavuvi hujuana kwa kwenda baharini au ziwani pamoja.Mambo yake hufanya kimya kimya sana
Wamefilisika tu Hawa hawajui lolote imagine my simple explanation hawajaelewa vipi kwenye Mambo mengine si watakuwa janga la kitaifa. Wasifikiri kuandika ubaya nitachamge what I think wanajisumbua tu, na hyo wa wembamba sijui Nani kawadaganya Mimi kibonge tuAcheni kumuattack Cariha, yeye ameelezea msimamo wake kuwa siyo kweli kwamba kila mwanamke wa bongo anatamani kutoka na Diamond, madai hayo siyo kweli , na ameelezea kwa nini siyo kweli , sasa badala ya kumjibu kwa hoja naona mmeanza kumshambulia yeye binafsi kuwa ana sura ya hivi na vile mara mwembamba , hang’ai n.k
Nani anataka Mwanaume cha wote?!
Sasa nawauliza huo ubaya wake mnaupimaje?
Acheni mfumo dume wa kuwa embarrassing wanawake !
Mtakeni radhi !
Ila huyu binti ni mkali sana anakasura na kamwili kakitoto so diamond anaweza tulia hapo. Wewe ni wivu tu ulitaka uwe wewe but ndio haiwezekani.Yeye atajiaminisha ni Bora kuliko wote sijui huwa wanafikiria nini
Ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]empty setI know myself on my mind dear
Wewe narudia kukwambia ni mnafiki wa kiwango Cha PhDIla huyu binti ni mkali sana anakasura na kamwili kakitoto so diamond anaweza tulia hapo. Wewe ni wivu tu ulitaka uwe wewe but ndio haiwezekani.
Like ur empty a.ss hole eehHa ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]empty set
Ndio nakuwaga naye mda wote una swali jingineUnakuwaga nae au basi na wewe utakuwa na matukio kama yake maana wavuvi hujuana kwa kwenda baharini au ziwani pamoja.
Sema wanawake wengi munakawaida yakusema mwanaume yule hawezi kunioa sio type yangu ila ni kwa vile hamujaitwa tu tunawajua nyinyi
Ha ha ha ha true pesa ni remote ya kumgeuza demu mwenye njaa vile unataka. Na kwa bahati mbaya Tanzania especially Dar, mademu ni wananjaa ile mbaya yaaniAnarusha kipindi tu huyo, wanawake wote wa mjini wanataka wanaume wenye hela. Kwa privacy huyu anaitwa kwenye private boat ya dollar 1200 tu. Anapangwa Don Fumbwe amlete anafatwa na dereva wa V8 alipo huko na analetwa.
Yani analika vizuri tu asikuchosheni, hamna mwanamke wa kichaga asiyependa pesa au mwanaume mwenye life. Tena anaweza chilwa na asipewe hata sumni akatulia zake just for fame
Hata huyo mimi mars alikataa kuwa hawez gongwa na wasanii ila ndio hao hao wanamchilla
Hayo Mambo ya njaa ni irrelevant na kitu nilichoandika hapo no applicability kabisa Toka lini mtu akawa na njaa afate mtu badala ya kula msosi, na Mimi sijawahi kukosa chochote Hadi nifike nijizalilishe kiasi hicho[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Dah aisee kweli nimeamini mwalimu wa wanawake nae nikipofu. Wewe ndio wa kuongea maneno hayo....?! Ha ha ha ha ha ha dah.
Anyways, tufanye hivi, unanjaa ya siku mbili, halafu umewekewa hapo chakula unasema sitaki kula maana hicho chakula sio cha hadhi yangu..... Ha ha ha ha ha ha eti mtu mwenye njaa ya siku mbili anasomaga menyu.... Si anasema leta chochote.
Hapo penyewe unakuta anachezeshwa ukuni na dereva wa bodabodaSi anasema hapa tu mkuu,akiitishwa kwenye BMW X 6 aende mjengoni unadhani atachomoka,inamaana akina joket ni hadhi ya chini?
Hata boda boda ni mwanaume ka walivo wengine kikubwa body satisfactionHapo penyewe unakuta anachezeshwa ukuni na dereva wa bodaboda