Diamond alivyompata Mimi Mars ni kama watu wanaonunua bidhaa online na kuletewa wanapoishi!

Status
Not open for further replies.
Exactly.

Mimi nakubaliana wewe na cariha na mifano ipo.

Mb Doggy aliwahi kuwa kwenye Peak kubwa mnoooo, na akawa anamtaka Nancy Sumary anamtungia mpaka nyimbo [emoji1][emoji1].

Ila mdada hakuwa hata na mapenzi naye.
Funny enough ni kua, wote wanaoshobokea mastar wanakua na ushamba kwenye damu zao,

Msanii wa bongo awe wa kike au wakiume wakitongozwa kitu cha kwanza kinawajia wewe ndio uwape hela, wasanii wa bongo wanawaza kuhongwa tu, wanaona kama kutoka na wewe anakusafishia nyota so na wewe u need to pay back,

Ukishawajua hawakusumbui hao mabwege.
 
Hahaaa umenifuraisha Sana mkaruka
 
Wewe nakukubali ni akili kubwa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Dah aisee kweli nimeamini mwalimu wa wanawake nae nikipofu. Wewe ndio wa kuongea maneno hayo....?! Ha ha ha ha ha ha dah.

Anyways, tufanye hivi, unanjaa ya siku mbili, halafu umewekewa hapo chakula unasema sitaki kula maana hicho chakula sio cha hadhi yangu..... Ha ha ha ha ha ha eti mtu mwenye njaa ya siku mbili anasomaga menyu.... Si anasema leta chochote.
 
Wamefilisika tu Hawa hawajui lolote imagine my simple explanation hawajaelewa vipi kwenye Mambo mengine si watakuwa janga la kitaifa. Wasifikiri kuandika ubaya nitachamge what I think wanajisumbua tu, na hyo wa wembamba sijui Nani kawadaganya Mimi kibonge tu
 
Ha ha ha ha true pesa ni remote ya kumgeuza demu mwenye njaa vile unataka. Na kwa bahati mbaya Tanzania especially Dar, mademu ni wananjaa ile mbaya yaani
 
Hayo Mambo ya njaa ni irrelevant na kitu nilichoandika hapo no applicability kabisa Toka lini mtu akawa na njaa afate mtu badala ya kula msosi, na Mimi sijawahi kukosa chochote Hadi nifike nijizalilishe kiasi hicho
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…