Pawa chilonda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 356
- 418
Alikiba huwa anapeleka mkuu?Diamond hajapiga marufuku nyimbo ya msanii yoyote kuchezwa Wasafi Fm acha kupotosha. Harmonize ndio hataki nyimbo zake zichezwe Wasafi media wala hataki any interview na Wasafi. Tangu atoke Wasafi hajawai peleka nyimbo yake ipigwe pale Wasafi ndio maana unaona nyimbo za nyuma zipo zinapigwa sana tu.
Kuna wasanii wanataka kuitia ubaya Wasafi media so wanazuia kiaina content zao ziende pale mwingine ni Kiba, sema kwa Kiba Wasafi wameamua kufosi tu ili kuondoa picha ya ubaya.
Mtoa mada kaingia choo Cha kike diamond hajawahi kulalamika kutopigwa ngoma zake Bali alitoa ufafanuzi kwanini hizo redio hawapigi nyimbo zake.Diamond platinumz hakulalamika Bali alisema yeye ni kama maji hata wasipopiga nyimbo zake watacheza hata matangazo yake kama Pepsi, pari match nk.
Na hakuishia hapo akafungua na media yake,
So na uyo konde kama cloudsfmtz na E-fm hawamtoshi basi na yeye afungue CHITOHOLI FM REDIO apigage hizo bedroom mix na za ibraa tz.
Maisha Hayahitaji complications sana,kukizibwa huku basi unaangalia upande mwingine.
Point ya msingi mto mada aoneshe wapi diamond alisema ni marufuku ngoma za Harmonize kupigwa?
leta ushahidi wa uyaemayo, maana mie nasikia ngoma za jamaa zikitwangwa WCB MEDIA'sFanya utafiti sio una tetea tuu!
Sent from my iPhone using Tapatalk
Mtoa mada hakujipanga.Mkuu, uliandika ukiwa usingizini? Maana title na content vinatofautiana, mimi nilitegemea kuona ushahidi kudhibitisha ulichokiandika kwenye title yako.
Mtoa mada hakujipanga.Bado umelala nahis ukiamka rudia kwandika vizur tuelewe.
Pesa ya mtu usimpangie cha kuifanyia au matumizi
Ndo kina hao mnawazungumzia hapa sijawahi kuwaona msondo ngoma wala vijana jazz,,?
Mkuu umenifurahisha sana...[emoji1787][emoji1787]Nyie ndio wenye zile page za baikoko kule instagram. Ulimsikia wapi ametoa maneno hayo?
Kwani nyimbo huwa zinapelekwa uko ??? Hahahahahaha hahahaha na zile za eminem na jay z huwa wanawapelekea wasafi ili wazipige hahahahahaha hahahahahahaDiamond hajapiga marufuku nyimbo ya msanii yoyote kuchezwa Wasafi Fm acha kupotosha. Harmonize ndio hataki nyimbo zake zichezwe Wasafi media wala hataki any interview na Wasafi. Tangu atoke Wasafi hajawai peleka nyimbo yake ipigwe pale Wasafi ndio maana unaona nyimbo za nyuma zipo zinapigwa sana tu.
Kuna wasanii wanataka kuitia ubaya Wasafi media so wanazuia kiaina content zao ziende pale mwingine ni Kiba, sema kwa Kiba Wasafi wameamua kufosi tu ili kuondoa picha ya ubaya.
Nilitaka kuuliza swali kama lako mwanzoni na nikaahirisha baada ya kuona amejbu pale mwisho kabisa. Nilipoona umeuliza ikabidi ni-expand post uliyoquote labda ameedit baadae nikakuta sio. Imebidi nikushangae