herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,967
- 3,212
kwani kunaushahidi gani wa Ruge/clouds walioongea kuhusu marufuku ya kupiga nyimbo za DiamondPoint ya msingi mto mada aoneshe wapi diamond alisema ni marufuku ngoma za Harmonize kupigwa?
PumbaDiamond atakuwa fala kupiga nyimbo za Harmonize zinazotoka sa hv , atakuwa bonge la faaala saaana , yaan umboost competitor wako ,?? Swala hapo ni kupiga nyimbo zilizochuja za mshindan au kutopiga kabisa .... Mshindan ni mshindan tuu huwez kumchekea wakat yeye anakulia timing ,.....
Nakumbuka maneno ya MasterJ , alipohojiwa kutokana na kuhama Kwa konde boy Wasafi , akasema lazima waumizane tuu , fairness inayoonyeshwa ni ya kinafki tuu , ila reality kila mmoja anamuona mwenzake nin adui ....
Na kweli, maana huwa ana taarifa zile zenyewe kabisa ukiacha hao wadaku wengine.Ruttashobolwa ni mshabiki kindaki ndaki,mkereketwa au mfia leble wa msanii diamond platnumz pamoja na WCB,naomba tuzingatie hili kwanza.
hiki alichokiandika ana uhakika nacho kwa asilimia fulani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kinachotuponza sisi wa bongo ni unafiki tu leo hii watu wanataka ushahidi wa kuwa wapi Mond amekataza nyimbo ya Harmo isipigwe ila kipindi cha Ruge hawakuwa na ushahidi na walishupalia hii kituTena muulize ni lini ameusikia wimbo wowote wa Harmonize baada ya kuhama lebo ya WCB? Tofauti ya Diamond na Kina Majizo .Regina iko wapi? Diamond alipost Album ya Harmonize akiipromote lakini hata nyimbo moja ya kwenye hiyo Album haijawqi chezwa wasafi!
Sent from my iPhone using Tapatalk
Diamond hajapiga marufuku nyimbo ya msanii yoyote kuchezwa Wasafi Fm acha kupotosha. Harmonize ndio hataki nyimbo zake zichezwe Wasafi media wala hataki any interview na Wasafi. Tangu atoke Wasafi hajawai peleka nyimbo yake ipigwe pale Wasafi ndio maana unaona nyimbo za nyuma zipo zinapigwa sana tu.
Kuna wasanii wanataka kuitia ubaya Wasafi media so wanazuia kiaina content zao ziende pale mwingine ni Kiba, sema kwa Kiba Wasafi wameamua kufosi tu ili kuondoa picha ya ubaya.
AKAUNTI HAIJAIBWA KWELI??..HUYU NI WEWE AMA?Wasalaam!
Baada ya Harmonize kuondoka Wasafi tulitegemea Diamond atochukua hatua ambazo hutumiwa na wamiliki wa Radio nyingine wanapo tofautiana na wasanii!
Diamond amekuwa dictator mwingine ndani ya Tasnia ya muziki. Diamond amekuwa akilia na wamiliki wa radio kutopiga nyimbo zake na wasanii wake lakini sasa amepata radio yake anafanya yale aliyokukuwa anayapinga!
Nini kimpata Diamond? Kuna wasanii wengi nyimbo zao hazipigwi Wasafi lakini Harmonize ni mfano wetu wa Leo!
Diamond bado anayo shida na Harmonize na hataki kukubali kijana aliamua kusonga mbele na kujitegemea kama yeye alivyo amua kutoka kwenye mikono ya Clouds Fm
Diamond alipaswa kuwa mfano wa kuigwa kwa kuhakisha kila wimbo unapigwa kwenye radio yake....
Pamoja na Diamond kupost album ya Harmonize instagram akionesha kusupport lakini haileti maana kama Wasafi Fm hawachezi hata wimbo mmoja wa Harmonize....
Lazima watu watambua kuwa Nasema ni wasafi Fm kwakuwa radio ina nguvu kuliko tv hivyo platfomu muhimu kwa wanamuziki ni radio na tangu Harmonize aachane na lebo ya Wasafi ,Wasafi Fm waliacha kucheza nyimbo zake......
Ni wazi madj na watangazaji hawawezi kufanya jambo bila maelekezo ya mabosi wao....
Tumeona tuyaseme haya hili Diamond kama msanii ajirekebishe na asifanye yale ambayo alikuwa ana yakataa kwa wamiliki wengine wa radio
Wasalaam!
Sent from my iPhone using Tapatalk
Mkuu umenichekesha Hadi manager kanishangaaDiamond platinumz hakulalamika Bali alisema yeye ni kama maji hata wasipopiga nyimbo zake watacheza hata matangazo yake kama Pepsi, pari match nk.
Na hakuishia hapo akafungua na media yake.
So na uyo konde kama cloudsfmtz na E-fm hawamtoshi basi na yeye afungue CHITOHOLI FM REDIO apigage hizo bedroom mix na za ibraa tz.
Maisha Hayahitaji complications sana,kukizibwa huku basi unaangalia upande mwingine.
Ndo hapo Sasa mwisho wa skuNikishawai kusema watu wengi wanalaumu Clouds kwakuwa hawakuwai pata nafasi ya kuwa kama Clouds....wamiliki wa E-Fm nao walikuwa wanapinga wasanii kutopigiwa nyimbo zao lakini aliposhika mpini wakawa wabaya zaidi ya Clouds na sasa Wasafi Fm imeshakuwa Clouds iliyokuwa ina lalamikiwa kila leo
Sent from my iPhone using Tapatalk
Unajua kinachotuponza sisi wa bongo ni unafiki tu leo hii watu wanataka ushahidi wa kuwa wapi Mond amekataza nyimbo ya Harmo isipigwe ila kipindi cha Ruge hawakuwa na ushahidi na walishupalia hii kitu