Na ulimi ao ??Msanii ngwiji wa kimataifa kutoka Tanzania Jana alipata mapokezi makubwa mkoani mbeya ikiwemo kusafishiwa Barabara wakati gari lake linanapita na wanambeya Kama vile ni Raisi na shangwe kubwa wakiimba Simba Simba pamoja na kuimba wimbo baba lao kuanzia mwanzo mpaka mwisho.
NB: binafsi nimefuraishwa na hili tukio maana tumekuwa tunayaona haya kwa nchi za wenzetu hasa wasanii wa Marekani Sana.Hii inaonesha jinsi gani watanzania wanapenda mziki wetu sana
#Musicstartathome
Msanii ngwiji wa kimataifa kutoka Tanzania Jana alipata mapokezi makubwa mkoani mbeya ikiwemo kusafishiwa Barabara wakati gari lake linanapita na wanambeya Kama vile ni Raisi na shangwe kubwa wakiimba Simba Simba pamoja na kuimba wimbo baba lao kuanzia mwanzo mpaka mwisho.
NB: binafsi nimefuraishwa na hili tukio maana tumekuwa tunayaona haya kwa nchi za wenzetu hasa wasanii wa Marekani Sana.Hii inaonesha jinsi gani watanzania wanapenda mziki wetu sana
#Musicstartathome
Sijasema wasanii wa Marekani wanasafishiwa Barabara ukisoma vizuri ila nimesema wanapata mapokezi makubwa.Niletee hata picha moja wasanii wa marekani wakisafishiwa barabara
Sent using Jamii Forums mobile app
Walioangalia watawaekeni me natumia tecno na kila nikijaribu humu jamiiforum Mara nyingi inakataa sijui kwaniniPicha za wasafisha barabara
Sijajua ni sh ngapi kalipwa ila yule ni mwanasiasa lazima atumie ushawishi wa mondi kuteka hisia za wanambeya ili achukue Jimbo.Nimeona pia alimkaribisha mondi nyumbani kwake na wakafanya Kama tafrija fulani hivi
Mbona King kiba alibebwa na gari yake akiwa ndani huko kusikojulikana sema tuu hapendagi shoo ofu....[emoji1549][emoji1549][emoji1549]
Kwa hiyo unataka kuniambia Yale mafuriko ya watu wamelipwa?Ukitoa buku mbili kwa kila kijana na mafuta ya buku mbili kila bodaboda wanakusafishia na kusindikiza msafara, usishangae ni sehemu ya usanii.
Kiba amekuzidi maisha wewe kima kaa kimyaMbona King kiba alibebwa na gari yake akiwa ndani huko kusikojulikana sema tuu hapendagi shoo ofu....🚶🏿🚶🏿🚶🏿
ata Mimi nilikuwa najua haya mapokezi ya boda boda watu wanafanya tu kwa mapenzi yao tu kwa msanii kumfuata gari yake kwa nyuma kumbe vijana wanakuwa wameshalipwa chaoUkitoa buku mbili kwa kila kijana na mafuta ya buku mbili kila bodaboda wanakusafishia na kusindikiza msafara, usishangae ni sehemu ya usanii.
Wewe ni chama gani?Domo keshaanza siasa chafu aiseee misukule yake yote naikaribisha CCM. CCM oyeeeeee huu ndo mwendo wa team domo kuanzia mwakani.
Show ilikua mbovu sana
Diamond ni msanii mwenye umaarufu mkubwa na mwenyekufanya wafuasi wengi sana kwa jina lingine wanaitwa team diamond haitaji kulipa watu ili wafanye hivyoAt
ata Mimi nilikuwa najua haya mapokezi ya boda boda watu wanafanya tu kwa mapenzi yao tu kwa msanii kumfuata gari yake kwa nyuma kumbe vijana wanakuwa wameshalipwa chao