Mbona umepanic sana wewe kwahyo ambavo hawapatani na mzazi wake ndo sifa na ndo mana atazidi kukosa tuzo na nyimbo zake hvo eti anafunga hata kama baba ake alimkosea yeye ni kioo cha jamii na we shabiki maandazi kweli kumbe uko empty kiasi hcho mxiuuuuuuuu
we umesamehe wangap waliokuchukulia bwanako??ulitaka amsamehe nae apewe gari ndo usuuzike??we ndo bure kbissaaa.kusamehe ni jambo la moyoni.waeza msameh mtu na wote mkala 50 zenu.ndo mana na bana kanumba hakula jasho la mwanae kwa usaliti huo huo.
Binamu princess sayuni ebu achana na huyo boko haramu hana nyimbo mpya
Duh hahaha...! Aisee jamiiforums mnajua kudis. Hiyo kali.diamond asije kurusha ngumi tu akiona baba zake wa kambo viserengeti boys wanavyosukuma hilo ndinga....si unajua bongo vijana wanavyopenda kuteleza na ganda la ndizi!
Unachekesha kama sio kufurahisha unawaza mabwana wengne hatuko hvo wewe labda mabwana wanaokupumulia mbona gari used alitoa hadharani sembuse kwa aliyemleta duniani au ndo show off za kijinga gari ni jambo la kawaida sana sasa kwa malimbukeni ndo wanaona mwisho wa matatizo poor you think out of the box
Yaaan maskini unavyoumia na kuongea kwa hisia.dahhh mungu akulinde angalau upate na wewe kazawadi ka boda boda uwe unapata ka kukupeleka kazini.pole sana mungu atakujalia ila kumbuka roho mbaya haijengi.unapoenda utakuja kua mchawi maana roho imejaa kutu.utaponda sana na utaombea mabaya bt dau la kuku halimpati mwewe.
Hapa ni wivu wa watanzania uliokithiri, huu ni ugonjwa sugu wa watanzania usokua na dawa wala hospitali. Kutwa tuko negative na maendeleo ya wengine, kila mtu amesema aliloweza kusema kwa uwezo na upeo wake lakini kila ukiangalia ni wivu tu unawasakama. Diamond na mama yake hawakwenda shule ndio maana hafikirii nini afanye, nime quote mliyoandika. Nyie ambao vidato vimepanda hamkupaswa pia kuongea haya mnayoyaongea. Watu wasiosoma ndio wanaweza kuongea haya.
Kujenga au kuangalia kesho haihusiani na elimu wala darasa la mtu, bali akili na wito wa kufanya kile kitu. Sio Marehemu Kanumba au Diamond ambao wana pesa Tanzania na hawakufanya hayo mnayotaka, wako viongozi walioshika nyathifa mbali mbali kubwa tu na uwezo ulikuwepo lakini akili ya nitafanya kesho iliwatawala, walipoondoka madarakani walirudi kwenye vibanda vya wazazi wao vijijini bila chochote. Hawakua na nyumba wala magari ya kifahari waliyokua wanatembelea hapa mjini, hao ni wazee kabisa lakini hawakuangalia kesho.
Diamond na Marehemu Kanumba (RIP) bado hata 30 hawajafika, they still have time kama wana uhai na uzima.
Nitafurahi kama nyie ambao mmesoma sana mtatuorodheshea hapa rasilimali zetu tuzisome japo kwa uchache ili tujue na nyie wasomi mmefanya ya maana na mmeona kesho mkiwa bado vijana.
Acheni hizo, mpeni sifa Diamond pale anapostahili.
Mmh!! Hilo gari mbona sijawahi kuliona mama ndomo akiendesha? Na wala pale sinza halipo mmh kazi kweli kweli
Toka anunuliwe hlo gar mpaka kesho sijawahi kumuona mama ndomo akiendesha
binamu miminasubilitu kufuru ya private jet, kwa kipato cha diamond kumnunulia mama yake gari sioni kufuru maana alishamnunulia gari marehemu gurumo fun cargo. mama yake anastahili zawadi hiyo, atakuwa anakwenda nalo wapi hilo gari?
bado diamond ana tatizo la kuwa na washauri uchwara bila shaka kuna mjanja kalamba commission yake kwenye ununuzi wa hilo gari, hapa nazidi kuona umuhimu wa shule. je mama yake anakabiashara chochote cha kumuingizia kipato hata diamond akifa ghafla mama mtu asitiye aibu kama mama yake kanumba?
Wapumbavu sana hawa vijana, huko shuleni sijui walienda kufanya nini tu!= nasubiri
Hujaacha tu ujinga niliokushikia fimbo kwa miaka kadhaa humu JF?
Punguani wahed.