Diamond ampa kipigo Wema Sepetu amharibu uso kisa sms ya mapenzi

Diamond ampa kipigo Wema Sepetu amharibu uso kisa sms ya mapenzi

Hawa wana kazi ..ila ni udhaifu wa hali ya juu kumpiga mwanamke kiasi hicho cha kumtoa alama.
 
I hate domestic violence .... ....
Haijalishi nani kafanya nini,
Ni ujinga ku support kitu hiki
Tena sababu zenyewe zikiwa kama hizi "text"
 
Yaani mpaka leo kuna wanaume wanapiga wanawake!!!
Wanaume wa kiafrika bwana huwa hawastaarabiki....Yaani huo ni udhaifu wa kiwango cha juu kabisa kwa mwanaume.Diamond nilikuwa na nakuheshimu sikujua kama wewe ni mtu wa hovyo kiasi hicho.
 

Hata angemfungia ndani akamtw
anga kimya kimya bado ni udhalilishaji. [SIZE]
Na si udhalilishwaji tu, domestic violence ni abomination, ni jinai, ni ugaidi, ni human rights violation, ni udhalimu. Sio "udhalilishaji wa aina yake." Hivi mtajikomboa lini Gaijin?

Matokeo ya kusubiri Mwanamme "awawezeshe," Mwanamme mwenyewe wa Tanzania bado anafafana na Zinjanthropus wa Kondoa Irangi, wako humu wanasema kutwanga mwanamke ni "mambo binafsi" yanayohusu "wapen
danao." Hawa hawawezi kuwawezesheni.




Hao si ni wanaume suruali,mwanaume wa kweli hampigi mwanamke hata siku moja.
 
Hiyo ni mbaya sana kwa Diamond maana yeye ni kioo cha jamii kama wanavyojiitaga/wanavyoitwa.....pole Wema ndo ukubwa huo. Bora muachane tu kila mtu ale hamsini zake mambo gani kupigana pigana hovyo
 
Kuanzia sasa nikisikia nyimbo yako nazima redio,na thamani yako sio ya Diamond tena ila ni bati tena lenye kutu.
 
Kumbukeni Wema ni mwigizaji/msanii ukute kaigiza kupigwa, c unajua hawa wanatafuta umaarufu everday?
 
Yaani mpaka leo kuna wanaume wanapiga wanawake!!!
Wanaume wa kiafrika bwana huwa hawastaarabiki....Yaani huo ni udhaifu wa kiwango cha juu kabisa kwa mwanaume.Diamond nilikuwa na nakuheshimu sikujua kama wewe ni mtu wa hovyo kiasi hicho.

Una exposure kiasi gani wewe? Manake umehusisha utovu wa ustaarabu wa wanaume wa Kiafrika na unyanyasaji wa nguvu (physical abuse) dhidi ya wanawake wakati haya mambo hayana bara, taifa, rangi, kabila, wala dini!

Spousal abuse ni tatizo kubwa katika jamii zote. Pengine tofauti kubwa iliyopo baina ya jamii na jamii ni uvumilivu (na wakati mwingine ukubaliwaji - 'acceptance') wa hilo ovu.
 

Hata angemfungia ndani akamtwanga kimya kimya bado ni udhalilishaji.
Na si udhalilishwaji tu, domestic violence ni abomination, ni jinai, ni ugaidi, ni human rights violation, ni udhalimu. Sio "udhalilishaji wa aina yake." Hivi mtajikomboa lini Gaijin?

Matokeo ya kusubiri Mwanamme "awawezeshe," Mwanamme mwenyewe wa Tanzania bado anafafana na Zinjanthropus wa Kondoa Irangi, wako humu wanasema kutwanga mwanamke ni "mambo binafsi" yanayohusu "wapendanao." Hawa hawawezi kuwawezesheni.

Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.ngoja alambe kichapo kwani ndiyo size ya masupa vichaa wa bongo.
 
...ni ujinga na upumbavu wa kutokuwa na elimu na utambuzi wa haki za binaadamu! Kumpiga mtu siyo suruhisho wala siyo heshima bali ni kufadhaisha kiumbe kilichoumbwa kwa utukufu wa Mungu wetu aliye mkuu!!

Kwa wanaume semeni "nitalinda uhuru wa mwanamke kwa kutokumpiga, bali kwa kumsikiliza"
 
Una exposure kiasi gani wewe? Manake umehusisha utovu wa ustaarabu wa wanaume wa Kiafrika na unyanyasaji wa nguvu (physical abuse) dhidi ya wanawake wakati haya mambo hayana bara, taifa, rangi, kabila, wala dini!


Spousal abuse ni tatizo kubwa katika jamii zote. Pengine tofauti kubwa iliyopo baina ya jamii na jamii ni uvumilivu (na wakati mwingine ukubaliwaji - 'acceptance') wa hilo ovu.

Sidhani kama inahitaji Exposure yoyote ya ajabu kujua kama Mwanamke kupigwa na kunyanyaswa kijinsia kwenye mahusiano ya kimapenzi na hasa ya ndoa yana uhusiano mkubwa na mila na destusturi za kiafrika.

Na pia acceptance ya ovu lolote katika jamii,inaelezea kwa kiasi kikubwa kuhusu watu wa jamii husika.
 
Spousal abuse ni tatizo kubwa katika jamii zote. Pengine tofauti kubwa iliyopo baina ya jamii na jamii ni uvumilivu (na wakati mwingine ukubaliwaji - 'acceptance') wa hilo ovu.
Kama jamii X ina "uvumilivu" na "acceptance" ya abuse kuliko jamii Y then obviously tatizo litakuwa kubwa katika jamii X kuliko jamii Y. Simply because katika jamii Y hakuna tolerance kwa mambo hayo. I mean, this isn't rocket astrophysics.

Hivi unadhani kwenye forum ya magharibi, kwa mfano, celebrity kapigwa na mwanamme watu wangejibu kama ma Zinanthropus wa humu kwamba ni "mambo ya wapendanao...ni alama za mkorogo...afunzwe tabia...acha watwangane"?
 
Wema ni penda penda tu aridhiki na m\me 1 tatizo anaowapata wote hawajui kupiga game ndo maana mtoto anahangaika kama hela wema anayo so anachotuta ni sexual satisfaction
 
Hakuna kosa linalostahili adhabu ya aina hii.

Mwanamme hawezi kukaa na mwanamke na waachane, kumpiga hakuhusu kabisa

Na hiyo ati "kumpiga ndo ishara ya mapenzi" ni upuuzi unaopaswa kukemewa
 
Back
Top Bottom