Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
Haya mambo acha kabisa mkuu! Usisikie! Binadamu mchekeane tu usoni. Hatuna maana!Mkuu nyota isipochezewa kumbe mafanikio ni kugusa tu??? Kwamba kila utakachofanya kitanyooka na kuleta matokeo makubwa?