SatCitAnanda
JF-Expert Member
- Dec 11, 2022
- 643
- 1,099
We hustle kivyako usijifananishe na wengine, safari ya kutafuta utajiri wengine wanajitoa muhanga and forsake every damn thing just to show people they got the latest toys and gadgets.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyeokoka ana Kila kitu.Ni aibu mtu mwenye umri sawa na wewe, tena mtoto wa masikini kama naseed Abdul kuwa na maendeleo kukuzidi.
Mungu amekupa umri sawq na diamond ila wewe huna lolote aibu yako...
Bora uishi kwa raha duniani ufe uende motoni.Aliyeokoka ana Kila kitu.
Unaonaje ukiupata Ulimwengu wote na fahari zake na ukaishia kutupiwa JEHANUM?
Maskini au tajiri, kutokuwa na YESU maishani ni HASARA kubwa sana.
Amen
Kauli ya kipumbavuHayo yote yanapita, muhimu uzima.
Ona hii KengeTutakutana kaburini
[emoji23][emoji23][emoji23]Kauli ya kipumbavu
[emoji23][emoji23][emoji23].Ona hii Kenge
Ona hii nyanyaMfano wewe umri wako ni upinde n wewe uwe upinde basi
Ona hii nyanya. Unaweza thibitisha kuwa Yesu alikuwa masikini?Hata hapo kale walikuwepo akina Yesu Kristu maskini na akina Zakayo matajiri!
Aisee ukiyawaza sana haya unaweza ku panic kabisa btwHaaland ana 22yrs
Hakimi ana 24
Mbappe ana 24
Ethan Mbappe ana 16
Turudi kwako, wakati uko kwa early 20s ulikuwa na nini? Au ndio utasema tusikufananishe na wazungu?
Una uhakika ni Mungu ndiye kampa? Una uhakika? Kwa herufi kubwa.!Mkuu kutoa maoni yangu mara hii nimekuwa mjinga na Bwege?
Mitazamo ya aina yako ndiyo inawafanya Vijana wadogo wapate maradhi ya moyo kwa stress kisa umewataka wamiliki gari wakati kipato Chao ni wastani.
Kiimani, wanasema Mungu anakupa mafanikio wakati atakaopenda yeye ukitia bidii.
Huenda kwa umri huo wa miaka 33 ndiyo Umri sahihi na wakati sahihi ambao Mungu ameona ni sahihi kumpa Mwenzetu Diamond mafanikio. Sisi wengine tunasubiria wakati sahihi, haijalishi tutapata tukiwa na 40 au 55
EnheeeeUna uhakika ni Mungu ndiye kampa? Una uhakika? Kwa herufi kubwa.!
FatuNacheka Uzi huu, umekuwa wakuchambana, mondi tufundishe kukata miuno tupate Mali na majina na sisi.
Amekuwa muwaziSafi
[emoji23][emoji23]Amekuwa muwazi
Hizi kauli zinasababisha vijana wawe na msongo mnoDuh! Ila haya maisha ukishafikisha miaka 40 na uwe huna chochote Cha kujivunia Ni Bora uanze kuutafuta ufalme wa mbinguni maana huku Duniani hutoboi tena
Aache unafiki na cheap popularity siyo[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna watu wengi wanaomba kazi JF fanya msaada kuliko kunilisha mm mpaka nisitembeee