The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Mbona Babu wa Loliondo alitoboa uzeeni?Duh! Ila haya maisha ukishafikisha miaka 40 na uwe huna chochote Cha kujivunia Ni Bora uanze kuutafuta ufalme wa mbinguni maana huku Duniani hutoboi tena
😀😀