Diamond ana miaka 33 na wewe una miaka 33 ila wewe huna kitu

Diamond ana miaka 33 na wewe una miaka 33 ila wewe huna kitu

Sawa mkuu!
Nimekuelewa sana na umenisaidia sana kuondoa hiyo mentality ya kupima mafanikio kwq umri, nimekuelewa sana kwenye level nk hasa kupitia mfano wako dhahili,

Ahsantee sana umenitoa kwenye giza Mungu akubaliki mkuu..

Ndio umenielewesha na kunitoa kwenye giza kula Chuma nyoko wewe.
(SIKUTUKANI TENA)
Umri wako una shida natanguliza salamu za pole kwa wanaokutegemea,
 
hoja ya mleta uzi ilikuwa nzuri ila huenda uwasilishaji wake wa kukera ndo umefanya watu wameenda against


pia katika maisha ya mafanikio jifunze, usijifananishe na mwngne (hilo ni kosa kubwa utakuwa umefanya)


MFANO ULIO HAI

mimi na ww tunafanya biashara ya aina moja ,mtaji wa aina moja (hapa namaanisha mimi nimeingia na 500k na ww pia 500k

biashara tumeifanya ndani ya mwaka mmoja tu mi nikawa mbali kukuzidi ww( yaan mara tatu ya mtaji wako)


unabaki unajiuliza mbna mm nimepiga hatua sana???


sasa hujui humo katikat nimekutana na nini ,huenda tumegawana mali za urithi,huenda ndugu wameona tu wanichangie kukuza mtaji,huenda kaka yangu ameniwezesha zaid na zaid

tukija kwako humo katikat umepata majanga ya kufa mtu ,kila ukitaka kuinuka yanakuja matatzo yanalamba ukichokuwa nacho.


NJE YA TASWIRA

watu wataamini nina pambana kuliko ww,wataamin ww ni mzembe,au huna uwezo wa kuzalisha biashara na kwenda na muda


KWA HIYO USIPENDE KUJIFANANISHA,NJIA UNAZOPITIA NI TOFAUTI NA WENGNE.


MWISHO

kuna watu kwenye maisha wana kismart yaan mtu agonga 60yrs hajawahi kukutana na majanga makubwa wala mitikas migumu ya maisha ,ila ww hata 28 hujafikisha mara umeibiwa ,mara umefiwa na mke ,mara nyumba imesombwa na maji hahaha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ha ha ha yan maisha ukishanza kujifanamishanna wengine lazma utapata BP tu.... Afu utakufuru Mungu
 
Unanitafutia BAN ya kilazima wanasema muungwana akivuliwa nguo huchutama, Sina haja ya kujobizana na wewe maana nimeshaisoma akili yako na nimeelewa umri gan uliopo kwa kifuatilia majibizano yetu, kwa hio sema unavyojisikia kusema sitojibu maana kuna wakati ukikimbizana na chizi ukataka kumvisha nguo akiwa yungali uchi wa mnyama wote wawili mnaonekana ni machizi hata km wewe mmoja ukiwa timamu, naweka nukta we endelea KUTUKANA.
Mimi sina ubavu kumtukana mtu asie nitukana matusi yangu ni product ya mdomo wa mchafu kama choo cha Soko au stand ya Bus.
Nimemaliza.
 
Watu tumestaafu kazi miaka 15 iliyopita, hivyo hatufai kuteuliwa kwa chochote labda nafasi ya kushauri kutokana na mvi zetu [emoji2957]

Fanya unitumie kiporo cha biriani, nina uhakika kilibaki
Mkuu tumekubali wewe mkubwa sawa
Unaongea fact sawa
Tunakuheshimu sawa.

Ila suala la kusema sijui nafasi ya kushauri mkuu unatafuta sifa.
Kila mtu akisema asema kada yake hapatoshi humu.

Umeshastaafu basi tena acha vijana tulambe asali ya taifa.
Kusema wewe mkubwa ni kutafuta sifa za kijinga
 
Hebu nipe kwanza umri wa baba yako mzazi halafu nilinganishe na bakhresa na ikiwa baba yako ni mkubwa au yupo sawa na bakhresa nadhani ingependeza kumuuliza dingi yako kwanini bakhresa tajiri na yeye yupo yupo tu wakati wanalingana au kamzidi umri bakhresa
 
Ni aibu mtu mwenye umri sawa na wewe, tena mtoto wa masikini kama naseed Abdul kuwa na maendeleo kukuzidi.

Mungu amekupa umri sawq na diamond ila wewe huna lolote aibu yako...
Kosa kwa vijana ni kujilinganisha na watu wengine. Umri wa miaka 33 ni mdogo bado. Jipange kutokana na uwezo aliokupa Mungu yaani kipaji ambacho amekupa Mungu usisikilize machawa na hawa washabiki

Raisi wa 43 George Bush akiwa na miaka 40 alikuwa mlevi hapa Dallas Texas hana kitu zaidi ya mtoto wa kigogo. Baada ya hapo amekuwa gavana wa Texas na Rais wa Marekani wa mihula miwili sasa alivyokuwa analinganisha na miaka 35 ilikuwaje? Kama maisha ni kulinganishana.
 
Sipingi na kila ulichoandika ni ukweli uliotukuka!... lakini inamaana hutaki kwamba wapo wataalam wa kuchungulia nyota za watu na kuharibu ili usitoboe maishani?! [emoji4]

unafahamu kwamba hata hao matajiri huwa na wataalam wao wa kuwatazamia nyota takribani kila siku au kila wiki wajuvi wa mambo wasije kupindua mambo?!

Hayajakukuta mkuu... nina mfano hai!
Sikupingi,ila Nina amin katika karma...
Hujawahi ona kuna mtu kila akijibidisha afanikiwi?
Na kuna ambaye kila akigusa anafanikiwa...

Tenda mema sasa,Yale mazuri yako ni matokeo ya wanao baadae.
Na kila baya kama alijakurudia wewe basi wanao ama wajukuu.

Hakuna uchawi.

Nina mifano Pia kupitia mimi.

Hakuna anaweza kuaribu nyota yako ni Mungu peke yake akiruhusu,na hawezi ruhusu bila sababu.
 
Ukiondoa jitihada, bahati, talanta na 'privileges' nyingine, mafanikio katika maisha huja kulingana na Qadari kutoka kwa Mungu. Mungu humpa amtakae, muda autakao na kwa kiwango akitakacho...

Hivyo basi hakuna haja ya kujilinganisha na wengine, na pia Hakuna sehemu imeandikwa ukifikisha miaka fulani lazima uwe Kama fulani, au lazima uwe na mafanikio fulani.

Cha msingi tupambane, na kila pumzi tunayovuta tukumbuke ni fursa ya kipekee ya kupambana kufikia mafanikio tunayoyahitaji kwa kadri Mungu alivyotukadiria.

Msanii 50 cent aliwahi kusema 'Get rich or die trying' akimaanisha
'pata utajiri/tajirika ama kufa ukiwa unajaribu/unapambana kuwa tajiri'...
 
Back
Top Bottom