Diamond ana miaka 33 na wewe una miaka 33 ila wewe huna kitu

Diamond ana miaka 33 na wewe una miaka 33 ila wewe huna kitu

watu wanasema Diamond ni muumini wa yale mambo yalee ... jumba fulani pale posta, je ni kweli?
 
𝒀𝒆𝒂𝒉 𝒎𝒂𝒓𝒂𝒏𝒚𝒊𝒏𝒈𝒊 𝒖𝒏𝒂𝒘𝒆𝒛𝒂 𝒌𝒖𝒂𝒏𝒛𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑼𝒛𝒊 𝒖𝒌𝒊𝒘𝒂 𝒏𝒂 𝒎𝒕𝒂𝒛𝒂𝒎𝒐 𝒇𝒍𝒂𝒏𝒊 𝒌𝒊𝒄𝒉𝒘𝒂𝒏𝒊, 𝑳𝒂𝒌𝒊𝒏𝒊 𝒎𝒈𝒐𝒏𝒈𝒂𝒏𝒐 𝒘𝒂 𝒎𝒂𝒘𝒂𝒛𝒐 𝒉𝒖𝒎𝒖 𝒖𝒏𝒂𝒘𝒆𝒛𝒂 𝒖𝒌𝒂𝒃𝒂𝒅𝒊𝒍𝒊 𝒎𝒕𝒂𝒛𝒂𝒎𝒐 𝒘𝒂𝒌𝒐 𝒌𝒂𝒃𝒊𝒔𝒂.

𝑵𝒊𝒎𝒆𝒑𝒆𝒏𝒅𝒂 𝒌𝒊𝒕𝒖 𝒌𝒊𝒎𝒐𝒋𝒂 𝒌𝒘𝒂𝒌𝒐, 𝒉𝒂𝒖𝒌𝒐 𝒄𝒐𝒏𝒔𝒆𝒓𝒗𝒂𝒕𝒊𝒗𝒆/𝒎𝒉𝒂𝒇𝒊𝒅𝒉𝒊𝒏𝒂 𝒃𝒂𝒍𝒊 𝒖𝒏𝒂𝒑𝒆𝒏𝒅𝒂 𝒌𝒖𝒋𝒊𝒇𝒖𝒏𝒛𝒂 𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 𝒌𝒘𝒆𝒏𝒚𝒆 𝒇𝒊𝒌𝒓𝒂 𝒎𝒑𝒚𝒂, 𝒉𝒐𝒏𝒈𝒆𝒓𝒂 𝒌𝒘𝒂 𝒉𝒊𝒍𝒐 𝒑𝒊𝒂.

𝑲𝒖𝒏𝒂 𝒘𝒂𝒕𝒖 𝒘𝒆𝒏𝒈𝒊𝒏𝒆 𝒉𝒖𝒎𝒖 𝒏𝒊 𝒘𝒂𝒉𝒂𝒅𝒉𝒊𝒏𝒂 𝒔𝒂𝒏𝒂, 𝒂𝒏𝒂𝒍𝒆𝒕𝒂 𝑼𝒛𝒊 𝒉𝒖𝒎𝒖 𝒉𝒂𝒕𝒂𝒌𝒊 𝒌𝒖𝒋𝒊𝒇𝒖𝒏𝒛𝒂 𝒌𝒘𝒆𝒏𝒚𝒆 𝒎𝒂𝒘𝒂𝒛𝒐 𝒚𝒂 𝒘𝒆𝒏𝒈𝒊𝒏𝒆, 𝒂𝒏𝒂𝒆𝒏𝒅𝒆𝒍𝒆𝒂 𝒌𝒖𝒔𝒉𝒊𝒌𝒊𝒍𝒊𝒂 𝒌𝒊𝒍𝒆 𝒌𝒊𝒍𝒆 𝒉𝒂𝒕𝒂 𝒌𝒂𝒎𝒂 𝒌𝒊𝒌𝒐 𝑾𝒓𝒐𝒏𝒈
Mkuu hiyo lugha yako siielewi kabisa. Nini shida?
 
Bora uishi kwa raha duniani ufe uende motoni.
Kuliko kuishi masikini kufa kwenda motoni kwa uzinzi usengenyaji, dhuluma nk

Amina
Utajiri wa kidunia una majuto, Ule usiotokana na Mungu.

Wana wa Mungu, waeza muona anaishi maisha ya kawaida, lakini jambo moja Mungu hufanya, hapungukiwi anachohitaji.

Amani hutawala maisha ya mtu aliye na Mungu, Mwana wa Mungu haezi kuzini, kusengenya kuiba, kuzini nk nk.

Huishi maisha ya Utakatifu duniani.

Amen
 
Una uhakika ni Mungu ndiye kampa? Una uhakika? Kwa herufi kubwa.!
Mara ya kwanza nimeenda kwa Mtaalam, kabla hajaanza kunitibu akamwomba Mungu kwanza.

Kwahiyo haijalishi alivyopata ila Mungu atakuwa alivibariki.

Mungu anasema "Nitabariki kazi ya Mikono yako"
 
Mara ya kwanza nimeenda kwa Mtaalam, kabla hajaanza kunitibu akamwomba Mungu kwanza.

Kwahiyo haijalishi alivyopata ila Mungu atakuwa alivibariki.

Mungu anasema "Nitabariki kazi ya Mikono yako"
Kwamba muungu wa Mtaalamu ndiye Mungu aliyeumba Mbingu na Nchi?

Usijifariji, muungu wa Mtaalamu ndiye yule maandiko yamemwita muungu wa Dunia hii, na huyo ni Ibilisi na shetani.

Kama ilipata Mali fake kupitia mganga, uwe na HAKIKA umebadilishana na shetani Roho Yako na ukapewa utajiri fake.

Kutoka huko, kubali kupoteza Mali fake zote ulizopata Kwa uchawi, la Sivyo, endelea na uchawi wako.
 
Kila mtu ana namna yake ya kufanikiwa acheni kulazimisha tufanane.
Ni aibu mtu mwenye umri sawa na wewe, tena mtoto wa masikini kama Naseed Abdul kuwa na maendeleo kukuzidi.

Mungu amekupa umri sawa na Diamond ila wewe huna lolote aibu yako...
 
Ni aibu mtu mwenye umri sawa na wewe, tena mtoto wa masikini kama Naseed Abdul kuwa na maendeleo kukuzidi.

Mungu amekupa umri sawa na Diamond ila wewe huna lolote aibu yako...
Mkuu ukumbuke alichonacho Diamond ni kipaji. Sikatai, ni kweli hadi kufika hapo alipo amepambana na kujitahidi kuwa na discipline. Ila sasa nikuulize mkuu Je wote twaweza kuimba??
 
Sasa ww hivi ukiambiwa kinyume chake kwamba Diamond unayedhani ni tajiri ila sio tajiri utaamini au unaamini kile unachosikia kwa watu hii dunia ina mengi kijana,kumbuka kuna watu ni matajiri ila hawajapata vijana wajanja Diamond kapata tajiri afu yeye kawa mjanja umeelewa?
 
Sasa ww hivi ukiambiwa kinyume chake kwamba Diamond unayedhani ni tajiri ila sio tajiri utaamini au unaamini kile unachosikia kwa watu hii dunia ina mengi kijana,kumbuka kuna watu ni matajiri ila hawajapata vijana wajanja Diamond kapata tajiri afu yeye kawa mjanja umeelewa?
Nimeelewa ahsantee
 
Kwamba muungu wa Mtaalamu ndiye Mungu aliyeumba Mbingu na Nchi?

Usijifariji, muungu wa Mtaalamu ndiye yule maandiko yamemwita muungu wa Dunia hii, na huyo ni Ibilisi na shetani.

Kama ilipata Mali fake kupitia mganga, uwe na HAKIKA umebadilishana na shetani Roho Yako na ukapewa utajiri fake.

Kutoka huko, kubali kupoteza Mali fake zote ulizopata Kwa uchawi, la Sivyo, endelea na uchawi wako.
Sawa Mkuu, ila kumbuka kuna watu wameajiriwa naye na wanatoa sadaka zao siku za Ibada.

Whatever you have, comes from him. Mimi/Wewe jukumu letu ni kupokea tu kama baraka
 
ALiyetoa hii Habari ni mjinga na niwaombe wengine msimfuatishe UNAJUAJE KAMA JITU NI SHOGA AU LAH
 
Back
Top Bottom