Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Oscar Oscar tangu uende Wasafi umekuwa chawa .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaumepiga kwenye mshono, subiri majibu
Imba imba mkuuInaumiza ila ndo ivo.....ngoja nami nianze kuimba
Pesa pesa kakaOscar Oscar tangu uende Wasafi umekuwa chawa .
Ukweli unauma[emoji23][emoji23]Nyuzi zako nyingi zina uvulana mwingi kuliko uanaume...
Acha visingizio umasikini mbayaKila mtu angekuwa tajiri kusingekuwa na uchumi
Huo ndio ukweli umri uendane na mafanikio yako
So miaka 35 huna hata kiwanja
Kuna mambo unapaswa kujifunza...hata mm kuna kipindi nilikua nawaza kama ww ila nilivyoamua kujifunza niliachaUkweli unauma[emoji23][emoji23]
❤😘😘🎤Imba imba mkuu
SijakuelewaunamaanaganisasaYote mipango yake Mola
Hayati Somaiya akiwa na miaka 32 alishakuwa sio tu Tajiri Mkubwa bali pia mpanga mikakati ya hali ya juu sana
alitengeneza mchongo wa Rada mwaka 2000 kati ya Dola mbili za Tanzania na Uingereza
Usijifananishe na mimi!Kuna mambo unapaswa kujifunza...hata mm kuna kipindi nilikua nawaza kama ww ila nilivyoamua kujifunza niliacha
Mfano wewe umri wako ni upinde n wewe uwe upinde basiNi aibu mtu mwenye umri sawa na wewe, tena mtoto wa masikini kama naseed Abdul kuwa na maendeleo kukuzidi.
Mungu amekupa umri sawq na diamond ila wewe huna lolote aibu yako...
Imba tusikie tune yakoInaumiza ila ndo ivo.....ngoja nami nianze kuimba
Vipi kuhusu diamond ana kipi hasa?? Acha visingizioKwa mfumo wa nchi yetu huwez kulaumu sana mzee , vijana wengi tanzania huanza kuonyesha mafanikio 30+ , wengi ndo huwa wamekaa kwenye ajira walau miaka 2+ so mda wa kuanza kuinvest sasa ,..... Hata wanaojitafta mtaani wengi inawachukua mpk miaka 5 kuanza kuonyesha matunda