Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe unaweza kufa masikini ukiwa na umri mdogoDah,..huwezi jua,..ya Mungu mengi inawezekana akafa akiwa na umri mdogo Kama kanumba...
Acha ujingaKibongo Bongo Maisha yaanza ukiwa na umri wa miaka 40.
Life begins at 40
Wacha kutufanya tu overthink kuhusu maisha ya Duniani wakati ukifa hauendi hata na Kijiko cha Chai [emoji848]
Jifananishe wewe sio mimi!Haaland ana 22yrs
Hakimi ana 24
Mbappe ana 24
Ethan Mbappe ana 16
Turudi kwako, wakati uko kwa early 20s ulikuwa na nini? Au ndio utasema tusikufananishe na wazungu?
Mie ndio nafika miaka 12 december 31,2023Jifananishe wewe sio mimi!
Imitation is your limitation.
Haya kaa kuleMie ndio nafika miaka 12 december 31,2023
Daah 🤣We najua una umri sawa na jini halaand wa man city, vipi unafikia hata utajiri alionao house girl wake
Sawa sawaUsijifananishe na mimi!
Kwanza vp ulishahama kule unapokaa ukahamia kwa manzi wako? Tulia dogo uendelee kulelewa na wifi yetu, mambo kwa ground hayako simple kama unavyosoma kwenye magazeti.Haya kaa kule
Acha kunifananisha mimiWe najua una umri sawa na jini halaand wa man city, vipi unafikia hata utajiri alionao house girl wake
Acha kiherehere nyoko jibu hoja sio unatraceback ujinga.Kwanza vp ulishahama kule unapokaa ukahamia kwa manzi wako? Tulia dogo uendelee kulelewa na wifi yetu, mambo kwa ground hayako simple kama unavyosoma kwenye magazeti.
Mkuu kutoa maoni yangu mara hii nimekuwa mjinga na Bwege?Acha ujinga
Toa mentality ya kimasikini bwege wewe!
Miaka 40 ndio nin! Hakuna umri maalumu wa mafanikio
Unaamini huyo ndio oscar oscar?Kwanza vp ulishahama kule unapokaa ukahamia kwa manzi wako? Tulia dogo uendelee kulelewa na wifi yetu, mambo kwa ground hayako simple kama unavyosoma kwenye magazeti.
Huyo dogo unampata vizuri. Sema kabadili ID anajikuta mwamba.Unaamini huyo ndio oscar oscar?
Hili ni parody tu
Hiyo ni mentality ya kimasikini.Mkuu kutoa maoni yangu mara hii nimekuwa mjinga na Bwege?
Mitazamo ya aina yako ndiyo inawafanya Vijana wadogo wapate maradhi ya moyo kwa stress kisa umewataka wamiliki gari wakati kipato Chao ni wastani.
Kiimani, wanasema Mungu anakupa mafanikio wakati atakaopenda yeye ukitia bidii.
Huenda kwa umri huo wa miaka 33 ndiyo Umri sahihi na wakati sahihi ambao Mungu ameona ni sahihi kumpa Mwenzetu Diamond mafanikio. Sisi wengine tunasubiria wakati sahihi, haijalishi tutapata tukiwa na 40 au 55
Acha kiherehere nyoko jibu hoja sio unatraceback ujinga.
Compare your self!
Usijifananishe na mimi.
Nyoko mbili
Mimi sio dogo aisee chunga bakuri lako!Huyo dogo unampata vizuri. Sema kabadili ID anajikuta mwamba.
ID yangu inahusiana vipi hapa??I didn’t traceback.
Basi tu ID yako sio ngeni.
Uwe na adabu kwa wakubwa zako, sawa dogo?