Diamond ana miaka 33 na wewe una miaka 33 ila wewe huna kitu

Diamond ana miaka 33 na wewe una miaka 33 ila wewe huna kitu

Sio mbwewe, muhimu itunze hii ID then ukiona umekwama huko mambo hayaendi nicheki nikupe kazi ya Masoko.

Ila utalipwa kadri unavyomeet target zangu, ukishindwa huenda nikavunja mkataba baada ya mwezi mmoja tu
Kutembea na mabeseni nyie ndio huwa mnaleta vijana kutoka kigoma na kuwaita maafisa masoko kuwavisha suit za ajabu wauze mabeseni na sabuni.
[emoji23][emoji23]
 
Ni aibu mtu mwenye umri sawa na wewe, tena mtoto wa masikini kama naseed Abdul kuwa na maendeleo kukuzidi.

Mungu amekupa umri sawq na diamond ila wewe huna lolote aibu yako...
𝐖𝐞𝐰𝐞 𝐧𝐢 𝐰𝐞𝐰𝐞, 𝐧𝐚 𝐃𝐢𝐚𝐦𝐨𝐧𝐝 𝐧𝐢 𝐃𝐢𝐚𝐦𝐨𝐧𝐝.
𝐌𝐮𝐧𝐠𝐮 𝐚𝐦𝐞𝐤𝐮𝐮𝐦𝐛𝐚 𝐰𝐞𝐰𝐞 𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐰𝐞𝐰𝐞, 𝐧𝐚 𝐊𝐚𝐦𝐮𝐮𝐦𝐛𝐚 𝐃𝐢𝐚𝐦𝐨𝐧𝐝 𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐃𝐢𝐚𝐦𝐨𝐧𝐝.

𝐔𝐧𝐚𝐤𝐨𝐬𝐞𝐚 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐩𝐨𝐣𝐢𝐟𝐚𝐧𝐚𝐧𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐰𝐞𝐰𝐞 𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐮 𝐰𝐞𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞.

𝐖𝐞𝐰𝐞 𝐮𝐧𝐚𝐰𝐚𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐩𝐞𝐬𝐚 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐌𝐨𝐧𝐝𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐬𝐚𝐛𝐚𝐛𝐮 𝐥𝐚𝐛𝐝𝐚 𝐮𝐦𝐫𝐢 𝐮𝐧𝐚𝐥𝐢𝐧𝐠𝐚𝐧𝐚.

𝐈𝐦𝐚𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐃𝐢𝐚𝐦𝐨𝐧𝐝 𝐚𝐧𝐠𝐞𝐰𝐚𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐟𝐚𝐧𝐢𝐤𝐢𝐨 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐉𝐮𝐬𝐭𝐢𝐧𝐞 𝐁𝐢𝐞𝐛𝐞𝐫 𝐚𝐦𝐛𝐚𝐲𝐞 𝐚𝐧𝐚 𝐦𝐢𝐚𝐤𝐚 29 𝐭𝐮.

𝐃𝐢𝐚𝐦𝐨𝐧𝐝 𝐚𝐧𝐚 𝐮𝐭𝐚𝐣𝐢𝐫𝐢 𝐰𝐚 𝐃𝐨𝐥𝐚𝐫 𝐌𝐢𝐥𝐥𝐢𝐨𝐧 12 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐮𝐣𝐢𝐛𝐮 𝐰𝐚 𝐭𝐚𝐤𝐰𝐢𝐦𝐮 𝐳𝐚 𝐦𝐰𝐚𝐤𝐚 2023, 𝐰𝐚𝐤𝐚𝐭𝐢 𝐉𝐮𝐬𝐭𝐢𝐧𝐞 𝐁𝐢𝐞𝐛𝐞𝐫 𝐚𝐧𝐚 𝐮𝐭𝐚𝐣𝐢𝐫𝐢 𝐰𝐚 𝐃𝐨𝐥𝐚𝐫 𝐦𝐢𝐥𝐢𝐨𝐧𝐢 300 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐮𝐣𝐢𝐛𝐮 𝐰𝐚 𝐝𝐚𝐭𝐚 𝐳𝐚 𝐦𝐰𝐚𝐤𝐚 2023.

𝐓𝐡𝐚𝐭 𝐦𝐞𝐚𝐧𝐬 𝐁𝐢𝐞𝐛𝐞𝐫 𝐚𝐧𝐚𝐰𝐞𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐭𝐮𝐦𝐢𝐚 𝐩𝐞𝐬𝐚 𝐲𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐭𝐡𝐚𝐦𝐚𝐧𝐢 𝐲𝐚 𝐮𝐭𝐚𝐣𝐢𝐫𝐢 𝐦𝐨𝐧𝐝𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐬𝐢𝐤𝐮 𝐦𝐨𝐣𝐚 𝐭𝐮 𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐥𝐞 𝐚𝐬𝐢𝐨𝐧𝐞 𝐡𝐚𝐬𝐚𝐫𝐚, 𝐦𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐝𝐨𝐥𝐚𝐫 𝐦𝐢𝐥𝐢𝐨𝐧 300 𝐤𝐰𝐚 𝐝𝐨𝐥𝐚𝐫 𝐦𝐮𝐥𝐢𝐨𝐧 12 𝐡𝐚𝐳𝐢𝐧𝐚 𝐮𝐡𝐮𝐬𝐢𝐚𝐧𝐨 𝐤𝐚𝐛𝐢𝐬𝐚.


𝐊𝐰𝐚 𝐡𝐢𝐲𝐨 𝐦𝐤𝐮𝐮 𝐮𝐬𝐢𝐩𝐞𝐧𝐝𝐞𝐥𝐞𝐞 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐣𝐢𝐟𝐚𝐧𝐚𝐧𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐮 𝐰𝐞𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐤𝐢𝐦𝐚𝐢𝐬𝐡𝐚, 𝐮𝐭𝐚𝐤𝐮𝐣𝐚 𝐤𝐮𝐣𝐢𝐨𝐧𝐚 𝐮𝐦𝐞𝐜𝐡𝐞𝐥𝐞𝐰𝐚 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐮𝐤𝐚𝐟𝐚 𝐧𝐚 𝐩𝐫𝐞𝐬𝐬𝐮𝐫𝐞 𝐤𝐮𝐦𝐛𝐞 𝐡𝐮𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐦𝐮𝐝𝐚 𝐰𝐚𝐤𝐨 𝐛𝐚𝐝𝐨 𝐧𝐚 𝐬𝐢𝐲𝐨 𝐥𝐚𝐳𝐢𝐦𝐚 𝐮𝐰𝐞 𝐧𝐚𝐳𝐨 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐳𝐚 𝐅𝐥𝐚𝐧𝐢.


𝐀𝐬𝐚𝐧𝐭𝐞.
 
𝐖𝐞𝐰𝐞 𝐧𝐢 𝐰𝐞𝐰𝐞, 𝐧𝐚 𝐃𝐢𝐚𝐦𝐨𝐧𝐝 𝐧𝐢 𝐃𝐢𝐚𝐦𝐨𝐧𝐝.
𝐌𝐮𝐧𝐠𝐮 𝐚𝐦𝐞𝐤𝐮𝐮𝐦𝐛𝐚 𝐰𝐞𝐰𝐞 𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐰𝐞𝐰𝐞, 𝐧𝐚 𝐊𝐚𝐦𝐮𝐮𝐦𝐛𝐚 𝐃𝐢𝐚𝐦𝐨𝐧𝐝 𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐃𝐢𝐚𝐦𝐨𝐧𝐝.

𝐔𝐧𝐚𝐤𝐨𝐬𝐞𝐚 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐩𝐨𝐣𝐢𝐟𝐚𝐧𝐚𝐧𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐰𝐞𝐰𝐞 𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐮 𝐰𝐞𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞.

𝐖𝐞𝐰𝐞 𝐮𝐧𝐚𝐰𝐚𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐩𝐞𝐬𝐚 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐌𝐨𝐧𝐝𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐬𝐚𝐛𝐚𝐛𝐮 𝐥𝐚𝐛𝐝𝐚 𝐮𝐦𝐫𝐢 𝐮𝐧𝐚𝐥𝐢𝐧𝐠𝐚𝐧𝐚.

𝐈𝐦𝐚𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐃𝐢𝐚𝐦𝐨𝐧𝐝 𝐚𝐧𝐠𝐞𝐰𝐚𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐟𝐚𝐧𝐢𝐤𝐢𝐨 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐉𝐮𝐬𝐭𝐢𝐧𝐞 𝐁𝐢𝐞𝐛𝐞𝐫 𝐚𝐦𝐛𝐚𝐲𝐞 𝐚𝐧𝐚 𝐦𝐢𝐚𝐤𝐚 29 𝐭𝐮.

𝐃𝐢𝐚𝐦𝐨𝐧𝐝 𝐚𝐧𝐚 𝐮𝐭𝐚𝐣𝐢𝐫𝐢 𝐰𝐚 𝐃𝐨𝐥𝐚𝐫 𝐌𝐢𝐥𝐥𝐢𝐨𝐧 12 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐮𝐣𝐢𝐛𝐮 𝐰𝐚 𝐭𝐚𝐤𝐰𝐢𝐦𝐮 𝐳𝐚 𝐦𝐰𝐚𝐤𝐚 2023, 𝐰𝐚𝐤𝐚𝐭𝐢 𝐉𝐮𝐬𝐭𝐢𝐧𝐞 𝐁𝐢𝐞𝐛𝐞𝐫 𝐚𝐧𝐚 𝐮𝐭𝐚𝐣𝐢𝐫𝐢 𝐰𝐚 𝐃𝐨𝐥𝐚𝐫 𝐦𝐢𝐥𝐢𝐨𝐧𝐢 300 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐮𝐣𝐢𝐛𝐮 𝐰𝐚 𝐝𝐚𝐭𝐚 𝐳𝐚 𝐦𝐰𝐚𝐤𝐚 2023.

𝐓𝐡𝐚𝐭 𝐦𝐞𝐚𝐧𝐬 𝐁𝐢𝐞𝐛𝐞𝐫 𝐚𝐧𝐚𝐰𝐞𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐭𝐮𝐦𝐢𝐚 𝐩𝐞𝐬𝐚 𝐲𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐭𝐡𝐚𝐦𝐚𝐧𝐢 𝐲𝐚 𝐮𝐭𝐚𝐣𝐢𝐫𝐢 𝐦𝐨𝐧𝐝𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐬𝐢𝐤𝐮 𝐦𝐨𝐣𝐚 𝐭𝐮 𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐥𝐞 𝐚𝐬𝐢𝐨𝐧𝐞 𝐡𝐚𝐬𝐚𝐫𝐚, 𝐦𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐝𝐨𝐥𝐚𝐫 𝐦𝐢𝐥𝐢𝐨𝐧 300 𝐤𝐰𝐚 𝐝𝐨𝐥𝐚𝐫 𝐦𝐮𝐥𝐢𝐨𝐧 12 𝐡𝐚𝐳𝐢𝐧𝐚 𝐮𝐡𝐮𝐬𝐢𝐚𝐧𝐨 𝐤𝐚𝐛𝐢𝐬𝐚.


𝐊𝐰𝐚 𝐡𝐢𝐲𝐨 𝐦𝐤𝐮𝐮 𝐮𝐬𝐢𝐩𝐞𝐧𝐝𝐞𝐥𝐞𝐞 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐣𝐢𝐟𝐚𝐧𝐚𝐧𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐮 𝐰𝐞𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐤𝐢𝐦𝐚𝐢𝐬𝐡𝐚, 𝐮𝐭𝐚𝐤𝐮𝐣𝐚 𝐤𝐮𝐣𝐢𝐨𝐧𝐚 𝐮𝐦𝐞𝐜𝐡𝐞𝐥𝐞𝐰𝐚 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐮𝐤𝐚𝐟𝐚 𝐧𝐚 𝐩𝐫𝐞𝐬𝐬𝐮𝐫𝐞 𝐤𝐮𝐦𝐛𝐞 𝐡𝐮𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐦𝐮𝐝𝐚 𝐰𝐚𝐤𝐨 𝐛𝐚𝐝𝐨 𝐧𝐚 𝐬𝐢𝐲𝐨 𝐥𝐚𝐳𝐢𝐦𝐚 𝐮𝐰𝐞 𝐧𝐚𝐳𝐨 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐳𝐚 𝐅𝐥𝐚𝐧𝐢.


𝐀𝐬𝐚𝐧𝐭𝐞.
Ahsantee sana Nashukuru sana mkuu.
 
Kutembea na mabeseni nyie ndio huwa mnaleta vijana kutoka kigoma na kuwaita maafisa masoko kuwavisha suit za ajabu wauze mabeseni na sabuni.
[emoji23][emoji23]
Najua wewe lazima utataka kazi ya Ofisini, yangu pia itakuwa ni ya ofisini full Koyoyozi kama vijana wengi mnavyopenda ila ukishindwa kumeet target ujue kibarua kitaishia hapo
 
Back
Top Bottom