Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,656
- 6,886
Kua uyaone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kati ya majina huwa yananichekesha ni hili NALIA NGWENA kila nikiliona nakumbuka depo,uliwaza nini mpaka ukajiita hiviTujue umri wako kwanza wew una miaka mingapi ili tukufananishe na dodo janja[emoji41]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Vipi bado unasimamia bajaji?
Kuna mtu alikufa akiwa na miaka 2..!! Tafakari na chukua hatuaNi aibu mtu mwenye umri sawa na wewe, tena mtoto wa masikini kama naseed Abdul kuwa na maendeleo kukuzidi.
Mungu amekupa umri sawq na diamond ila wewe huna lolote aibu yako...
Hope bado hujafikisha hiyo miaka ya diamond[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio
Umepiga kwenye mshono[emoji23]Kagame akiwa na miaka 27 tu alishakuwa kamanda wa jeshi la waasi wa rwanda.
Akiwa na miaka 30 anafanya mapinduzi na kuwa mkuu wa majeshi rwanda.
Siku hizi tunachelewa sana maisha.
Mtu ana miaka 30 bado anajiona mtoto anazunguka na bahasha kusaka ajira
Bado sanaHope bado hujafikisha hiyo miaka ya diamond
Dunia tunapitaaaa eeeh kila kitu kitapita eeeeeeh itabaki milima eeeh mileleeeHayo yote yanapita, muhimu uzima.
Twende kwenye uzi wa vyakula ..huku hapafaiHuyo dogo unampata vizuri. Sema kabadili ID anajikuta mwamba.
[emoji23][emoji23]Dunia tunapitaaaa eeeh kila kitu kitapita eeeeeeh itabaki milima eeeh mileleee
😁😁🤣🤣🤣🤣🤣Ni aibu mtu mwenye umri sawa na wewe, tena mtoto wa masikini kama naseed Abdul kuwa na maendeleo kukuzidi.
Mungu amekupa umri sawq na diamond ila wewe huna lolote aibu yako...
Dokta wa una mafanikio gani zaidi ya kutibu kwa mtitishamba hapo kaliua🤣ila kaliua kuna nini kunaogopesha ati,wakitolea umaskin ulokithir Wanataka kaliua,wakiongelea matukio ya ujambazi wanataja kaliua🤣itabidi nifike huko kutembea one dayHuo ndio ukweli umri uendane na mafanikio yako
So miaka 35 huna hata kiwanja
Naangalia ⚽️Twende kwenye uzi wa vyakula ..huku hapafai
Karibu sanaDokta wa una mafanikio gani zaidi ya kutibu kwa mtitishamba hapo kaliua[emoji1787]ila kaliua kuna nini kunaogopesha ati,wakitolea umaskin ulokithir Wanataka kaliua,wakiongelea matukio ya ujambazi wanataja kaliua[emoji1787]itabidi nifike huko kutembea one day
Show offNaangalia [emoji460]️
FA cup