Kamwe siwezi ku
mwonea wivu mfu, najua nachosema.[emoji23]acha wivu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwonea wivu mfu, najua nachosema.[emoji23]acha wivu
Duuh sawa mkuu, unaonekana una focus kubwa sana kwenye malengo yako!Najua wewe lazima utataka kazi ya Ofisini, yangu pia itakuwa ni ya ofisini full Koyoyozi kama vijana wengi mnavyopenda ila ukishindwa kumeet target ujue kibarua kitaishia hapo
Hahaha..............huyu Bwana mdogo ana dharau watu kisa yupo nyuma ya keyboard.Boss kama boss comment yako sipingi😁
Mungu yupoNimecheka kwa sauti aisee sema mi na ofsi a.k.a duka ,ndo nataka ninunue kiwanja ha haa
[emoji23][emoji23]daaah matajiri wa JFHahaha..............huyu Bwana mdogo ana dharau watu kisa yupo nyuma ya keyboard.
Ningekuwa mjini ningehakikisha anakula na kunywa kwa gharama zangu hadi ashindwe kutembea [emoji2957]
Uko salama lakini?
[emoji23][emoji23]daaah matajiri wa JF
Nashukuru sana.𝐊𝐚𝐫𝐢𝐛𝐮 𝐭𝐞𝐧𝐚
Kuishi bila malengo, itakuwa hauna tofauti na kuku. Kwahiyo kila Kijana ni muhimu asset malengo yake.Duuh sawa mkuu, unaonekana una focus kubwa sana kwenye malengo yako!
Nimejifunza hilo!
Mengine polojo tu
Hahaha..........usiwaze Mkuu, let's keep on chasing everyone's dream 💪[emoji23][emoji23]daaah matajiri wa JF
NIMEJIFUNZA KITU HAPAKuishi bila malengo, itakuwa hauna tofauti na kuku. Kwahiyo kila Kijana ni muhimu asset malengo yake.
Ila kwakuwa una lugha za maudhi nasubiria ufukuzwe kazi huko uje nikupe mkataba wa miezi 3 na nitawaambia wote hapa uliowatolea lugha za kuudhi kuwa kijana wenu nimemuajiri [emoji2957]
𝒀𝒆𝒂𝒉 𝒎𝒂𝒓𝒂𝒏𝒚𝒊𝒏𝒈𝒊 𝒖𝒏𝒂𝒘𝒆𝒛𝒂 𝒌𝒖𝒂𝒏𝒛𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑼𝒛𝒊 𝒖𝒌𝒊𝒘𝒂 𝒏𝒂 𝒎𝒕𝒂𝒛𝒂𝒎𝒐 𝒇𝒍𝒂𝒏𝒊 𝒌𝒊𝒄𝒉𝒘𝒂𝒏𝒊, 𝑳𝒂𝒌𝒊𝒏𝒊 𝒎𝒈𝒐𝒏𝒈𝒂𝒏𝒐 𝒘𝒂 𝒎𝒂𝒘𝒂𝒛𝒐 𝒉𝒖𝒎𝒖 𝒖𝒏𝒂𝒘𝒆𝒛𝒂 𝒖𝒌𝒂𝒃𝒂𝒅𝒊𝒍𝒊 𝒎𝒕𝒂𝒛𝒂𝒎𝒐 𝒘𝒂𝒌𝒐 𝒌𝒂𝒃𝒊𝒔𝒂.Nashukuru sana.
Nimekuelewa mno.
Unajua sometimes tunaanzisha thread sio kwa ajili ya kudharau wengine, ila ni njia ya kujifunza tu.
Kama hivi umenipa somo kubwa sana.
Nashukuru sana aisee!𝒀𝒆𝒂𝒉 𝒎𝒂𝒓𝒂𝒏𝒚𝒊𝒏𝒈𝒊 𝒖𝒏𝒂𝒘𝒆𝒛𝒂 𝒌𝒖𝒂𝒏𝒛𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑼𝒛𝒊 𝒖𝒌𝒊𝒘𝒂 𝒏𝒂 𝒎𝒕𝒂𝒛𝒂𝒎𝒐 𝒇𝒍𝒂𝒏𝒊 𝒌𝒊𝒄𝒉𝒘𝒂𝒏𝒊, 𝑳𝒂𝒌𝒊𝒏𝒊 𝒎𝒈𝒐𝒏𝒈𝒂𝒏𝒐 𝒘𝒂 𝒎𝒂𝒘𝒂𝒛𝒐 𝒉𝒖𝒎𝒖 𝒖𝒏𝒂𝒘𝒆𝒛𝒂 𝒖𝒌𝒂𝒃𝒂𝒅𝒊𝒍𝒊 𝒎𝒕𝒂𝒛𝒂𝒎𝒐 𝒘𝒂𝒌𝒐 𝒌𝒂𝒃𝒊𝒔𝒂.
𝑵𝒊𝒎𝒆𝒑𝒆𝒏𝒅𝒂 𝒌𝒊𝒕𝒖 𝒌𝒊𝒎𝒐𝒋𝒂 𝒌𝒘𝒂𝒌𝒐, 𝒉𝒂𝒖𝒌𝒐 𝒄𝒐𝒏𝒔𝒆𝒓𝒗𝒂𝒕𝒊𝒗𝒆/𝒎𝒉𝒂𝒇𝒊𝒅𝒉𝒊𝒏𝒂 𝒃𝒂𝒍𝒊 𝒖𝒏𝒂𝒑𝒆𝒏𝒅𝒂 𝒌𝒖𝒋𝒊𝒇𝒖𝒏𝒛𝒂 𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 𝒌𝒘𝒆𝒏𝒚𝒆 𝒇𝒊𝒌𝒓𝒂 𝒎𝒑𝒚𝒂, 𝒉𝒐𝒏𝒈𝒆𝒓𝒂 𝒌𝒘𝒂 𝒉𝒊𝒍𝒐 𝒑𝒊𝒂.
𝑲𝒖𝒏𝒂 𝒘𝒂𝒕𝒖 𝒘𝒆𝒏𝒈𝒊𝒏𝒆 𝒉𝒖𝒎𝒖 𝒏𝒊 𝒘𝒂𝒉𝒂𝒅𝒉𝒊𝒏𝒂 𝒔𝒂𝒏𝒂, 𝒂𝒏𝒂𝒍𝒆𝒕𝒂 𝑼𝒛𝒊 𝒉𝒖𝒎𝒖 𝒉𝒂𝒕𝒂𝒌𝒊 𝒌𝒖𝒋𝒊𝒇𝒖𝒏𝒛𝒂 𝒌𝒘𝒆𝒏𝒚𝒆 𝒎𝒂𝒘𝒂𝒛𝒐 𝒚𝒂 𝒘𝒆𝒏𝒈𝒊𝒏𝒆, 𝒂𝒏𝒂𝒆𝒏𝒅𝒆𝒍𝒆𝒂 𝒌𝒖𝒔𝒉𝒊𝒌𝒊𝒍𝒊𝒂 𝒌𝒊𝒍𝒆 𝒌𝒊𝒍𝒆 𝒉𝒂𝒕𝒂 𝒌𝒂𝒎𝒂 𝒌𝒊𝒌𝒐 𝑾𝒓𝒐𝒏𝒈
𝑨𝒔𝒂𝒏𝒕𝒆, 𝒕𝒖𝒌𝒐 𝒑𝒂𝒎𝒐𝒋𝒂Nashukuru sana aisee!
Haya nitakuwa mfuasi wako katika mada zako na reply kama hizi mana ziko BOLD kutokana na uzito wa ujumbe[emoji120]
Hongera kuwa muungwana, ukikosea huna budi kujisahihisha.NIMEJIFUNZA KITU HAPA
malengo
Asset
Lugha nzuri.
Mmh sawa Huenda hii ikawa opportunity kwangu mkuu!
Emu nambie unahitaji unachangamoto gani kwenye biashara yako?
Naweza kuja kuongeza mapato ya kampuni mpaka ukashaangaa!
Karibu, nipe idea nipe muda Alafu tufanye kazi.
Nina ruhusu uje uwambie ulinipa kazi
Kuchezewa vipi mkuuNikwambie tu mkuu,Kila kitu Ni nyota Kama nyota yako haijachezewa kufanikiwa Ni jambo rahisi
Huo ndio ukweliMungu akuwekavyo ndivyo ukaavyo, miye ni nani mpk nishindane nae, kuna watu mpaka anazeeka kapanga bwana wewe.