Diamond ana miaka 33 na wewe una miaka 33 ila wewe huna kitu

Diamond ana miaka 33 na wewe una miaka 33 ila wewe huna kitu

Kagame akiwa na miaka 27 tu alishakuwa kamanda wa jeshi la waasi wa rwanda.

Akiwa na miaka 30 anafanya mapinduzi na kuwa mkuu wa majeshi rwanda.

Siku hizi tunachelewa sana maisha.

Mtu ana miaka 30 bado anajiona mtoto anazunguka na bahasha kusaka ajira
 
Huo ndio ukweli umri uendane na mafanikio yako
So miaka 35 huna hata kiwanja
Dokta wa una mafanikio gani zaidi ya kutibu kwa mtitishamba hapo kaliua🤣ila kaliua kuna nini kunaogopesha ati,wakitolea umaskin ulokithir Wanataka kaliua,wakiongelea matukio ya ujambazi wanataja kaliua🤣itabidi nifike huko kutembea one day
 
Back
Top Bottom