Diamond ana miaka 33 na wewe una miaka 33 ila wewe huna kitu

Yote mipango yake Mola

Hayati Somaiya akiwa na miaka 32 alishakuwa sio tu Tajiri Mkubwa bali pia mpanga mikakati ya hali ya juu sana

alitengeneza mchongo wa Rada mwaka 2000 kati ya Dola mbili za Tanzania na Uingereza
Sijakuelewaunamaanaganisasa
 
Vipi kuhusu diamond ana kipi hasa?? Acha visingizio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…