Diamond anaona mbali sana, hakukosea kabisa alipoimba Makonda baba lao!

Diamond anaona mbali sana, hakukosea kabisa alipoimba Makonda baba lao!

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
images (7).jpeg

Tuseme tu ukweli, mganga aliyempata Makonda ni kiboko, asimuache kabisa.

Maana kutoka kuchukiwa na wengi mpaka kuwa kipenzi cha wengi si jambo dogo ujue.

Ila yote tisa, kumi ni hili suala la kuwawawashia moto mpaka Mawaziri, jambo ambalo hata Mh Rais hawezi kulifanya. Ndio maana Mawaziri walikuwa wanafanya wanachojiskia kufanya.

Viva Makonda viva.
 

Tuseme tu ukweli, mganga aliyempata Makonda ni kiboko, asimuache kabisa.

Maana kutoka kuchukiwa na wengi mpaka kuwa kipenzi cha wengi si jambo dogo ujue.

Ila yote tisa, kumi ni hili suala la kuwawawashia moto mpaka Mawaziri, jambo ambalo hata Mh Rais hawezi kulifanya. Ndio maana Mawaziri walikuwa wanafanya wanachojiskia kufanya.

Viva Makonda viva.
Dume zima linasifia dume mwenzako. Huoni aibu?

Mxieewwwww
 
Makonda ni nyundo ya kuwaponda (kisiasa) wanaotaka kuleta kuharibu hatamu za chama tawala.
 

Tuseme tu ukweli, mganga aliyempata Makonda ni kiboko, asimuache kabisa.

Maana kutoka kuchukiwa na wengi mpaka kuwa kipenzi cha wengi si jambo dogo ujue.

Ila yote tisa, kumi ni hili suala la kuwawawashia moto mpaka Mawaziri, jambo ambalo hata Mh Rais hawezi kulifanya. Ndio maana Mawaziri walikuwa wanafanya wanachojiskia kufanya.

Viva Makonda viva.
Yeye na makonda wote madako
 
Back
Top Bottom