Diamond anapata wapi kiburi cha kuidharau BASATA na kuimba wimbo uliopigwa marufuku?

Diamond anapata wapi kiburi cha kuidharau BASATA na kuimba wimbo uliopigwa marufuku?

BASATA NDIO KITU GANI?
WALIUFUNGIA WIMBO WA NYEGEZI LEO NAMWONA NAIBU SUPIKA ANAUIMBA NA KUCHEZA BILA HATA SONI. TENA ANATAMKA KABISA nyege nyege nyegez
 
BARAZA LA SANAA TANZANIA (BASATA)... ONLY FOR TANZANIAN, NA LINAFANYA KAZI NDANI YA TANZANIA TU
 
Tafuta pesa acha kufuatilia maisha ya watu.... Utakufa maskini na roho mbaya yako
 
Kama watunga sheria za nchi wapo busy na NYEGEZI wewe hizo sheria unazotaka zichukue mkondo wake kwa Diamond unajua kuwa hao BASATA wanaweza kutungiwa sheria ya kumsalimia Diamond na kutakiwa kuuimba huo wimbo kabisa na wao
 
Kama inavyofahamika kwamba hivi karibuni baraza la sanaa Tanzania (BASATA) liliufungia wimbo wa "Mwanza" ulioimbwa na mwanamuziki Diamond kutokana na maneno ya matusi aliyoyangiza makusudi kwenye wimbo huo..katika kuufungia wimbo huo BASATA walieleza wazi (kama inavyoonyesha barua ambatanishi) kuwa msanii Diamond hatakiwi kuutumia huo wimbo huo tena kwa vyovyote vile na vyombo vya habari pia vilionywa visiutumie kamwe lakini katika hali ya kushangaza jana usiku akiwa jukwaani nchini Kenya aliuimba huo wimbo...Swali je wapi Diamond anapata kiburi cha kutofuata masharti ya BASATA.. Natumai kwa dharau hizi alizoonyesha BASATA watamfungia si chini ya miezi sita kufanya shoo zake tena waanze kesho...
MWENYEKITI WA KAMATI YA ROHO MBAYA, HUSUDA, FITNA, WIVU, NA FIGISU FIGISU KATIKA UBORA WAKO!
 
Mkuu nasikia Leo wabunge wakiongozwa na naibu spika walikuwa wakicheza hiyo nyimbo.
Sasa washitaki na hao wabunge kwa basata.
Fanya ya kwako roho mbaya haisaidii
Kosa limefanyika nje ya Tanzania. Watashtakiwa kwa sheria za huko Burundi ambako hakuna BASATA.
 
Kama inavyofahamika kwamba hivi karibuni baraza la sanaa Tanzania (BASATA) liliufungia wimbo wa "Mwanza" ulioimbwa na mwanamuziki Diamond kutokana na maneno ya matusi aliyoyangiza makusudi kwenye wimbo huo..katika kuufungia wimbo huo BASATA walieleza wazi (kama inavyoonyesha barua ambatanishi) kuwa msanii Diamond hatakiwi kuutumia huo wimbo huo tena kwa vyovyote vile na vyombo vya habari pia vilionywa visiutumie kamwe lakini katika hali ya kushangaza jana usiku akiwa jukwaani nchini Kenya aliuimba huo wimbo...Swali je wapi Diamond anapata kiburi cha kutofuata masharti ya BASATA.. Natumai kwa dharau hizi alizoonyesha BASATA watamfungia si chini ya miezi sita kufanya shoo zake tena waanze kesho...
Sheria za nchi huwa hazivuki mipaka, hutumika katika nchi husika tu.
Jaribu jingine labda utafanikiwa.
 
Kama inavyofahamika kwamba hivi karibuni baraza la sanaa Tanzania (BASATA) liliufungia wimbo wa "Mwanza" ulioimbwa na mwanamuziki Diamond kutokana na maneno ya matusi aliyoyangiza makusudi kwenye wimbo huo..katika kuufungia wimbo huo BASATA walieleza wazi (kama inavyoonyesha barua ambatanishi) kuwa msanii Diamond hatakiwi kuutumia huo wimbo huo tena kwa vyovyote vile na vyombo vya habari pia vilionywa visiutumie kamwe lakini katika hali ya kushangaza jana usiku akiwa jukwaani nchini Kenya aliuimba huo wimbo...Swali je wapi Diamond anapata kiburi cha kutofuata masharti ya BASATA.. Natumai kwa dharau hizi alizoonyesha BASATA watamfungia si chini ya miezi sita kufanya shoo zake tena waanze kesho...


Kilicho haramu MACCA SI HARAMU VATICAN na kinyume chake.
Kwa hiyo muda mwingine tumieni kichwa kwa kazi sahihi.
 
Back
Top Bottom