Diamond anunua Iphone kwa mara ya kwanza

HAHAHAHA TAKO LA JUMALOKOLE LITAPATA TABU SANA MAANA NA YEYE ATATAKA 12 KWA HIYO TAKO LAZIMA LIWEKWE REHENI HAHAHHA

FOR JF USE ONLY
 
Bado sijaelewa, kwamba unashangaa Chibu kununua IPhone au???

Then, una uhakika gani kama ni yake? Japokuwa ana uwezo wa kununua hizo zaidi ya 1OO lakini sio kila unachomuona nacho mtu ni cha kwake
Inno dependent na kigoma independent watakuwa wanajua!!!
 
HAHAHAHA TAKO LA JUMALOKOLE LITAPATA TABU SANA MAANA NA YEYE ATATAKA 12 KWA HIYO TAKO LAZIMA LIWEKWE REHENI HAHAHHA

FOR JF USE ONLY

Hat alale na WCB wotee Iphone 12 ataishia kuiona kwa boss wake [emoji16]
 
Ukiwa mgeni jf unaweza dhani ni kweli kinachoongelewa ni simu ya diamond..
 
Nimeagiza yangu tarehe 13 inaingia mbona mtanikoma mbwa nyie[emoji23]
Tutakukoma kivipi? yaani simu yako mwenyewe mtumiaji wewe mwenyewe sisi tunaingiaje na kukukomaje. Ukizaliwa masikini na ukiwa na roho ya kimasikini mpk nguo unayovaa unahisi unawakomesha wanaokuangalia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…