Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inno dependent na kigoma independent watakuwa wanajua!!!Bado sijaelewa, kwamba unashangaa Chibu kununua IPhone au???
Then, una uhakika gani kama ni yake? Japokuwa ana uwezo wa kununua hizo zaidi ya 1OO lakini sio kila unachomuona nacho mtu ni cha kwake
Tutakukoma kivipi? yaani simu yako mwenyewe mtumiaji wewe mwenyewe sisi tunaingiaje na kukukomaje. Ukizaliwa masikini na ukiwa na roho ya kimasikini mpk nguo unayovaa unahisi unawakomesha wanaokuangalia.Nimeagiza yangu tarehe 13 inaingia mbona mtanikoma mbwa nyie[emoji23]
Kwamba hyo j lokole Mil 4 hana au hawez kua nayo? Uwiiiiiiiiiih.Hat alale na WCB wotee Iphone 12 ataishia kuiona kwa boss wake [emoji16]
Sidhani kama kuna iPhone za milioni kumiMbona bei ya kawaida sana 3.5m? Nilitegemea labda inauzwa 10m.
Customized -Fabrication za Gold etcSidhani kama kuna iPhone za milioni kumi
Eti kasema wewe shoga! Sasa ilo ni tusi au ndio kakupaisha udange vizuri?Mi ndo wa kwanza kukwambia mbwa, yako hainogi pyeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ungeumuka manundu binamu yani uuuuwiiihWarumi mie mwili mzima ungekua na makovu[emoji23][emoji23][emoji23]