Mkuu unajua bei ya show moja ya Mondi akiwa nje?unadhani kwa nini hapigi mara nyingi bongo?unajua kalipwa sh ngapi kuitangaza black bottle?dogo kayatoa maisha acha nyodo za kibongo!kupanga haimaanishi umaskini kama unajua kiuchumi nini liabilities na assetsHuyo scober ni muongo muongo na mpenda sifa angekua amemuuzia nyumba 29 basi nae scober angekua na maendeleo sio kumiliki duet gari ya 5m kma bajaji..aache kumsifu chibu kwa sifa za uongo.
Chibu angekua amenunua hiyo nyumba angehama madale kwenye mafuriko ..mkuu pesa huwa haijifichi
Mkuu hakuna anaebisha hana pesa ila dalali anageuza maneno kua kanunua,hiyo nyumba ingekua inauzwa kitambo watu wangelipia wameivizia iuze alipopata case ya ml...dalali wke ndio muongo chibu hajasema kanunua hiyo nyumbaMkuu unajua bei ya show moja ya Mondi akiwa nje?unadhani kwa nini hapigi mara nyingi bongo?unajua kalipwa sh ngapi kuitangaza black bottle?dogo kayatoa maisha acha nyodo za kibongo!kupanga haimaanishi umaskini kama unajua kiuchumi nini liabilities na assets
Nimekuelewa ila kuna sehemu umesema Mondi asingeishi Madale kwenye maji!tuache mizengwe ya Kiswahili huyo dogo anaweza kuishi popote Dar kwa sasa!Mkuu hakuna anaebisha hana pesa ila dalali anageuza maneno kua kanunua,hiyo nyumba ingekua inauzwa kitambo watu wangelipia wameivizia iuze alipopata case ya ml...dalali wke ndio muongo chibu hajasema kanunua hiyo nyumba
Mkuu chibu anapambana sana hilo liko wazi,cku zote mpambanaji husifiwa mimi huwa nampa sifa zake anazostahili...ila hiyo nyumba kununua ni katoo za huyo dalali wke..hiyo nyumba kuna watu wanaitaka kitambo ila dogo hauzi na case yke haina ushahidi atatoka...ndio mpigaji mwenye nyumba ya gharama kuliko hata ndama na msofeNimekuelewa ila kuna sehemu umesema Mondi asingeishi Madale kwenye maji!tuache mizengwe ya Kiswahili huyo dogo anaweza kuishi popote Dar kwa sasa!
Anakesi ya ML na wachinaDaah maskini..alikuwa na kesi ya nini huyo John ?? Poor him
ML...!???Anakesi ya ML na wachina
Napata kesi ya mwenye nyumba yawezekana amelegeza huwezi kujuaMkuu chibu anapambana sana hilo liko wazi,cku zote mpambanaji husifiwa mimi huwa nampa sifa zake anazostahili...ila hiyo nyumba kununua ni katoo za huyo dalali wke..hiyo nyumba kuna watu wanaitaka kitambo ila dogo hauzi na case yke haina ushahidi atatoka...ndio mpigaji mwenye nyumba ya gharama kuliko hata ndama na msofe
Mkuu wenye pesa wanaijua hiyo nyumba na wanasubiria jamaa aseme anauza walipe...hiyo nyumba ni zaidi ya nyumba dogo aliweka 600m kwenye ujenziNapata kesi ya mwenye nyumba yawezekana amelegeza huwezi kujua
Kesi imekua nyepesi walitakiwa watoke....ml bila ushahidi hakuna case boss wke john juma nae case imekua haina ushahidiAnakesi ya ML na wachina
Ni jamaa gani uyo hugo?? Ama alikua pundaJojn hajauza hiyo nyumba na kama atauza watanunua wapigaji wenzake...chibu kapanga ila dalali wke ndio anadai wamenunua
Alikua mbeshi kma ndama au msofeNi jamaa gani uyo hugo?? Ama alikua punda
Alikua mbeshi kma ndama au msofeNi jamaa gani uyo hugo?? Ama alikua punda
Alikua mpigaji kwenye ishu ganiMkuu chibu anapambana sana hilo liko wazi,cku zote mpambanaji husifiwa mimi huwa nampa sifa zake anazostahili...ila hiyo nyumba kununua ni katoo za huyo dalali wke..hiyo nyumba kuna watu wanaitaka kitambo ila dogo hauzi na case yke haina ushahidi atatoka...ndio mpigaji mwenye nyumba ya gharama kuliko hata ndama na msofe
Dhahabu,gemstone yani kma ndama mtoto wa ngombe anavyofanya..mzungu analipia dhahabu kg 10 ila mzigo anapewa fekiAlikua mpigaji kwenye ishu gani
Kukaa kimya nako ni kuzuriNi hatua nzuri sana kwa maendeleo ya muziki wao. Ila amini kwamba Ali Kiba ana ofisi kubwa mara 10 zaidi ya hiyo ila hapendi kujionesha onesha na kujikweza.